Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Wanajamvi, uzi huu utakuwa endelevu ukizijadili siasa za Marekani kuelekea uchaguzi
Tumefanya hivyo chaguzi zilizopita na tunaendelea ingawa tumechelewa kidogo
Siasa za ndani ya nchi zimechukua sehemu kubwa ya mijadala kutokana na umuhimu
Mchakato wa kupata wagombea kwa Republican(GOP) na Democrat(Dem) unaendelea.
Mlolongo wa wagombea umepungua na kufikia 4 kwa republican na 2 kwa Dem
Katika chama cha Dem, wagombea waliojitokeza walikuwa watatu ambao ni secretary Hillary Clinton, Seneta Bernie Sander na aliyejiondoka O'Malley
Kwasasa wamebaki wawili baada ya O'Malley kuhitimisha kampeni mapema
Kwa upande wa GOP wagombea waliobaki ni 4, Tajiri Donald Trump, Seneta Marco Rubio, Seneta Ted Cruz na Gavana Kasich wa Ohio
Mchakato unaendelea Trump akiongoza upande wa GOP, na Clinton upande wa Dem
Kuna wasi wasi mkubwa upande wa GOP kutokana na kampeni za rafu zilizochezwa
Wasi wasi kutoka vigogo wa GOP juu ya Trump kubeba bendera ya GOP uchaguzi mkuu
Trump hakupewa nafasi ndani ya GOP alipoanza kampeni.
Kasi yake na kauli zake zinaonekana kusikika miongoni mwa wahifidhina.
GOP 'establishment' wameshikwa na butwaa endapo Trump ata kuwa mgombea
Nini kinaendelea katika kampeni? Kwanini kuna wasi wasi ndani ya GOP?
Kwanini wanataka 'kumkata' Trump kiaina?
Nini kinaendelea upande Dem kati ya Clinton na Sander?
Tutaendelea kumega kila wakati tukiangalia wagombea na nini wamarekani wanafikiri
Ni uzi endelevu utakaokuwa unajadiliwa kila Jumatatu. Jumatano na Jumamosi
Tuwe pamoja
Tumefanya hivyo chaguzi zilizopita na tunaendelea ingawa tumechelewa kidogo
Siasa za ndani ya nchi zimechukua sehemu kubwa ya mijadala kutokana na umuhimu
Mchakato wa kupata wagombea kwa Republican(GOP) na Democrat(Dem) unaendelea.
Mlolongo wa wagombea umepungua na kufikia 4 kwa republican na 2 kwa Dem
Katika chama cha Dem, wagombea waliojitokeza walikuwa watatu ambao ni secretary Hillary Clinton, Seneta Bernie Sander na aliyejiondoka O'Malley
Kwasasa wamebaki wawili baada ya O'Malley kuhitimisha kampeni mapema
Kwa upande wa GOP wagombea waliobaki ni 4, Tajiri Donald Trump, Seneta Marco Rubio, Seneta Ted Cruz na Gavana Kasich wa Ohio
Mchakato unaendelea Trump akiongoza upande wa GOP, na Clinton upande wa Dem
Kuna wasi wasi mkubwa upande wa GOP kutokana na kampeni za rafu zilizochezwa
Wasi wasi kutoka vigogo wa GOP juu ya Trump kubeba bendera ya GOP uchaguzi mkuu
Trump hakupewa nafasi ndani ya GOP alipoanza kampeni.
Kasi yake na kauli zake zinaonekana kusikika miongoni mwa wahifidhina.
GOP 'establishment' wameshikwa na butwaa endapo Trump ata kuwa mgombea
Nini kinaendelea katika kampeni? Kwanini kuna wasi wasi ndani ya GOP?
Kwanini wanataka 'kumkata' Trump kiaina?
Nini kinaendelea upande Dem kati ya Clinton na Sander?
Tutaendelea kumega kila wakati tukiangalia wagombea na nini wamarekani wanafikiri
Ni uzi endelevu utakaokuwa unajadiliwa kila Jumatatu. Jumatano na Jumamosi
Tuwe pamoja