Uchaguzi Marekani

Uchaguzi Marekani

UPDATE ZA USIKU WA 'WESTERN TUESDAY'

Trump ameshinda Arizona, jimbo ambalo mshindi huchukua wajumbe wote wajumbe takriban 58. Trump anakaribia nomination na Cruz aliyetegemewa kumzuia hajaweza
`
Hapa ndipo tunaona hali ikizidi kuleta utata. Je, GOP wataendelea na Trump kama kioo (mirror) aliyosema msemaji wa video hapo juu, au watatafuta namna nyingine?

Republican wapo katika wakati mgumu

DEMOCRAT
Hillary Clinton ameshinda Arizona, atamshinda Bwana Sanders kwa asilimia nyingi
Kura zikiwa zimefikia 71% wakati huu, Hillary anaongoza 60% dhidi ya 37% za Sanders

Kwa maneno mengine jimbo la Arizona lina wajumbe 75 hivyo Bi Clinton atachukua wajumbe wa kutoasha. Ukubwa wa jimbo unampa nafasi nzuri katika idadi ya wajumbe

Idaho na Utah bado kura zinaendelea na kuna watu wengi waliojitokeza.

Ni wazi idadi kubwa katika Caucus itamsaidia Sanders kushinda.

Kama tulivyoeleza jana, idadi ya wajumbe wa Idaho na Utah ni wachache.
Kwa ujumla idadi ni chache kuliko Arizona. Kwa mtindo wa uwiano watagwana wajumbe

Hata kama Sander atashinda kwa 70% katika majimbo yote mawili, bado hatafidia kupoteza Arizona au atakuwa ameongeza wajumbe si Zaidi ya 10 ambao hawamsaidii kwa wakati akiwa na upungufu wa mamia

Tutaendelea kuwaletea update
 
12642640_1094525283973858_4096573307952498857_n.jpg


 
Update

Dem: Clinton ameshinda Arizona iliyokuwa na wajumbe 75 kwa asilimia 58 kwa 40 ya Sander
Idaho caucus: Sanders ameshinda kwa asilimia 78
Utah Caucus: Sanders ameshinda kwa asilimia 80

Sanders anaonekana kushinda Caucus. Bi Clinton haku campaign Utah
Hata hivyo, Utah na Idaho zina wajumbe wachache. Kwa hesabu za uwiano Sanders haukuongeza wajumbe licha ya ushindi wake mkubwa.

Hili linaeleza kitu kimoja, kwamba Clinton amelenga majimbo yenye wajumbe wengi wakati Sanders akitaka ushindi ili kuendelea kujenga hoja yake ya kubadili mtazamo wa super delegates wamuunge mkono

Super delegate wanaweza kubadili kibao wakati wowote kwa kumuunga mkono wanayemtaka
Ushindi wa Sanders ulikuwa kuongeza morali baada ya kufanya vibaya wiki iliyopita katika majimbo 5

Haukuongeza wajumbe wa kutosha kuziba pengo

Republican
Trump kashinda Arizona na kuzoa wajumbe wote 58
Cruz kashinda Utah na kuzoa wajumbe 40

Hili pia linaeleza jinsi GOP wanavyopigana kumzuia Trump.
'The establishment' wanamuunga mkono Cruz. Jeb Bush na Mitt Romney ni wachache tu walio onyesha nia

Hesabu bado ni nzito kwani Trump anaongoza kwa kiasi kikubwa akikaribia namba ya ushindi 1237

Tusemezane
 
Trump analeta mpasuko kwa Republicans

Akipitishwa kuwa mgombea wapinzani wake ndani ya chama wanaweza kuamua kuwapa kura Democrats.

Na asipopitishwa kuwa mgombea vile vile wafuasi wake kwa hasira watapeleka kura kwa Democrats

All in all Republicans wana wakati mgumu sana
 
REPUBLICAN WAPO NJIA PANDA

Trump anazidi kuwachanganya GOP.Uwezekano wa kumzuia kufikia idadi ya wajumbe inapungua

Kwenda mkutano mkuu (RNC) kuna matatizo. Wapiga kura wataambiwa nini akikatwa?

Uwezekano wa kutoshiriki uchaguzi mkuu upo, uwezekano wa kususia kupiga kura upo na uwezekano wa Trump kama mgombea binafsi upo.

Hoja ya kuvuta muda kuelekea RNC Cleveland ina mawaa

Ted Cruz anaonekana kama mbadala. Historia na mahusiano na wabunge wa seneti na Congress yana matatizo. Si mara moja ametofautiana na wenzaka'the establishment'

Cruz anaungwa mkono na 'the establishment' si kumpendwa hawana chaguo.

Siku za mwisho Rubio alichangiwa pesa nyingi kumwezesha kuvuka japo Florida

Tatizo lililomuangusha Marco Rubio ni kutosoma mwelekeo wa uchaguzi.

Rubio alijikita kama kiongozi wa siasa za nje akiwa na nadharia ya 'conservatism'

Alisahau Wamerekani wana matatizo ya ndani makubwa Zaidi ya siasa za nje

Wakati GOP wakiwa katika mtafaruku, suala la Jaji wa Mahakama kuu linawachanganya

Nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Scalia inatakiwa kujazwa. GOP wana hofu chaguo la Obama litaharibu uwiano na kuongeza waliberali mahakama kuu

Shinikizo linatoka kwa jamii kuwa Seneti ishughulikie suala hilo.
GOP wana hofu na msimamo wa Jaji mtajwa, kusikiliza hawataki. umma hauelewi hilo

Shinikizo lina uhusiano na uchaguzi wa seneta. Marekani huchagua wabunge wa congress na seneti kila miaka 2. Wengi wanahofu, uchaguzi wa Jaji uta athiri maeneo yao.

Hili ni suala la umma na shinikizo linatoka kwa umma

Wapo maseneta wanaotaka uteuzi wa Jaji Ufanyiwe kazi kuepuka maanguko, wengine wakipinga kwa hoja kuwa uchaguzi wa Jaji utaaribu utangamano wa nguvu mahakama kuu 'power balance'

GOP wana tembo wawili, Trump na Jaji wa mahakama kuu

Haya yote yanatishia sana ustawi wa GOP kuelekea uchaguzi mkuu na yanajenga hofu

Tusemezane
 
SHAMBULIO LA UBELEGIJI

YAWA AGENDA YA UCHAGUZI

Shambulio la kigaidi limeingia katika siasa za Marekani katika uchaguzi huu
Siku zote Republican wana ajenda ya ulinzi na usalama kama ni nguvu yao

Mwaka 2008, Meya wa NY, Rud Gulian alitumia shambulizi la 9/11 kugombea Urais.
Naye kama ilivyo kwa Rubio, hoja ahkuijenga kwa mashiko, wote wakaishia Florida

GOP wanasema nchi inakuwa salama chini ya Republican

GOP hawazungumzii agenda za Uchumi wanatambua ni tatizo kwao
Yanapotokea mashambuzi ya Kigaidi ni agenda na hutumia kutisha watu

Trump ameshadidia hoja ya kuzuia watu kutoka mataifa ya kiislam
Mgombea T anaishia hapo bila kufafanua atafanya nini na wale waliopo ndani ya nchi

Trump haelezi namna gani Marekani italipa gharama kwa kutekeleza anayosema

Kwa mfano, atawezaje kujua huyu si mwislamu wakati wa kutoa ruhusua kuingia?

Jihad John alijificha Uingereza akiwa mzaliwa wa hapo

Trump ameshindwa kuelewa wanaoleta matatizo siyo wanaoingia bali vizazi vinavyozaliwa na kuelimishwa na nchi za magharibi.(second or third generation)

Sera ya kuzuia Waislam itasaidiaje kuondoa tatizo katika dunia ya sasa?

Je, Trump atakuwa tayari kutenga mataifa ya kiarabu, yaungane na mahusimu wake?

Uhusiano wa Marekani na mtaifa mengine ni kwa usalama wa Marekani.
Uwepo wa majeshi mashariki ya kati/mbali ni kwa usalama wa Marekani na si msaada

Ikitokea Marekani inajenga mazingira ya chuki na washirika, anayepoteza ni Marekani

Hapa tunapata hoja nyingine ya Trump, kwamba Marekani iondoe majeshi nchi za nje

Uwepo wa Majeshi ni sehemu ya ulinzi wa Marekani.
Mfano, kituo cha majeshi Japan ni kwasababu ya eneo la Asia mashariki n.k.

Wakati wa vita vya Gulf military base za Marekani zilikuwa katika nchi za Kiarabu

Wakati wa kutuliza mgogoro wa Bosnia, Marekani ilitumia vituo vyake nchi za NATO

Trump anaposema ataondoa majeshi,anapunguza uwezo wa Marekani kuwa karibu na mahasimu wake ikitokea lisilotarajiwa. Je ndiyo sera ya usalama sahihi ya U.S?

Trump anahoji matumizi ya gharama NATO. Ni kweli baada ya vita baridi umuhimu wa NATO hauonekani. Lakini kupitia washirika wa NATO Marekani inalinda masilahi yake (interest)

Mgombea Cruz naye akimlaumu Obama kwa suala la ISIS na kwamba hajatamka ' Magaidi wa Kiislam'' Cruz anaamini kutamka ni hatua kubwa ya ufumbuzi.

Intelejensia inaonyesha utawala Obama umeondoa Magaidi wengi kuliko huko nyuma
Leo zimekuja habari za kuuawa kwa makamu wa ISIS kwa jina la Abd Al-rhaman

Inaonekana GOP wanasubiri tatizo la usalama ili wajenge hoja. Kiuchumi ni pagumu

Reactions za GOP kuhusu usalama kwa wagombea waliobaki zitawaweka mahali pagumu wakati wa Uchaguzi mkuu.

Hoja za Trump na Cruz haziendi mbali kufikirisha bali zinacheza na hofu za watu

Zipo nyakati matishio yao yasiyoenda kwa kina yanaingia akilini mwa baadhi ya watu.

Haishangazi kwanini Trump anaungwa mkono na anashinda chaguzi

Tusemezane
 
UCHAGUZI: DEMOCRAT 26 MARCH

Habari za shambulio la ubelegiji limefunika habari za uchaguzi wa Jumamosi

Kesho kuna uchaguzi kwa upande wa Democrat katika majimbo yafutayo
Alaska , Hawaii na Washington state(siyo DC). kwa mtindo wa Caucus

Alaska kuna wajumbe 20, Hawaii 34 na Washington 118, jumla kuu 172

'Vita' ya Sanders na Bi Clinton itakuwa Washington.
Ni jimbo mgombea hatakiwa kupoteza 10%. Wajumbe 118 ni wengi.

Tunategemea matokeo ya karibu katika 50% na hivyo watagawana wajumbe.

Hawaii na Alaska kuna wajumbe 54, endapo mgombe atapoteza kwa 60% athari zake katika tofauti ya wajumbe ni ndogo, Washington state athari ni kubwa sana

Upo ukweli kuhusu chaguzi za Caucus. Sanders anashinda kuliko Bi. Clinton.

Hili linamweka Bi Clinton katika wakati mgumu kesho

Anachotakiwa kukifanya ni kuzuia kupoteza ushindi kwa 10%, iwe katika 45-55, halitaathiri tofauti yake na Sanders kwa wajumbe

Endapo Sanders atashinda hata kwa asilimia chache, bado litampa nguvu na matumaini ya kushawishi wajumbe 'super delegates' kuhamia kambi yake.

Tulisema, super delegates wanaingia mkutano mkuu kwa nyadhifa na hawapigiwi kura

Republicana hawana uchaguzi kesho hadi April 5

April 5 itakuwa Wisconsin kwa vyama vyote. Wajumbe ni 42 kwa GOP na winner take all, huku Dem wakiwania wajumbe 96

Bi Clinton anakabiliana na Caucus inayomsumbua mara zote,kwa idadi ya wajumbe 96 lazima afunge mkanda, kinyume chake super delegates watalazimika kufikiri tena

Tusemezane
 
DEM: HAWAII, ALASKA NA WASHINGTON STATE
CAUCUS

Uchaguzi unaendelea, na idadi ya watu waliojitokeza ni wengi, dalili ya Sanders atashinda caucus. Bernie ni mzuri katika caucus na Clinton ni mzuri katika primaries.

Clinton anazuia ushindi mkubwa ili,mgawanyo wa wajumbe usiathiri idadi ya wajumbe
Hali ikiendelea ilivyo Sanders atajenga hoja ya kupata wajumbe kundi la 'super delegates'

Mwaka 2008 Hillary alikuwa na wajumbe 'super delegates' wengi kuliko Obama.
Uchaguzi ulivyoonyesha Obama kukubalika, super delegates wakamuunga mkono

Hii ndiyo hatari inayomkabili Bi Clinton kwa sasa.
Anapopoteza 'momemntum' anatengeneza mazingira ya kupoteza super delegates

Tutawaletea update kadri zinavyotokea

Kwa upande wa Republican hali ni mbaya kati ya Trump na Cruz.
Kampeni sasa zimegeuka kuwa matusi na si hoja za nchi na wananchi

Wiki iliyopita tulieleza kauli ya Trump kuhusu NATO ilikuwa na mapungufu.
Shambulio la Ubelegeji linaonyesha Trump alivyo dhaifu katika siasa za kimataifa

Wapinzani wake wametumia fursa hiyo kumkomalia na kuonyesha udhaifu wake

Trump kwa kuelewa hilo kabadilisha mwelekeo wa mazungumzo.
Jana alituma picha ya mke wa Cruz (Bi Heidi) akimfananisha na mkewe

Suala hilo limemuudhi sana Cruz akitaka familia zisiwe sehemu ya kampeni.

Jana kukatoka habari katika gazeti la udaku likionyesha Cruz kafanya ufuska na wanawake 5.

Wanawake 2 kati ya watano wamekanusha kuwa na uhusiano na Cruz

Cruz karejea katika media kukanusha akisema gazeti limetumiwa na Trump kumchafua

Trump anatumia mbinu za kumuondoa Cruz katika hoja muhimu.
Trump ni mzuri sana katika siasa za matusi na ndiko anakomwelekeza Cruz

'The establishment' hawamtaki, kura za maoni akishindwa na wagombea-Democrat

Trump anatumia mbinu ya kuchafuana iliyowadhoofisha wagombe wengi huko nyuma

Tutaendelea na mjadala
 
Hii article ya Benjamin Studebaker katika gazeti la Huffington Post hapa chini iliniwezesha kuielewa siasa ya Marekani kuliko article yoyote niliyowahi kuisoma huko nyuma. Naomba wenye uvumilivu watafute muda waisome yote...inawaongelea wagombea wawili wote Democrats; Hilary Clinton na Bernie Sanders na tofauti zao kiitikadi, kisera na dhana zima la mabadiliko kisiasa katika kuutafuta Urais wa Marekani 2016. Karibuni;

Why Bernie vs Hillary Matters More Than People Think - Benjamin Studebaker

Lately the Internet has become full of arguments about the merits and demerits of Bernie Sanders and Hillary Clinton. Over the past couple weeks, I’ve been discussing and pondering all the various views about this, and I’m increasingly of the opinion that most of the people engaging in this debate don’t really understand what is at stake in the democratic primary.

This is in part because many Americans don’t really understand the history of American left wing politics and don’t think about policy issues in a holistic, structural way. So in this post, I want to really dig into what the difference is between Bernie and Hillary and why that difference is extremely important.

We have a tendency in American politics to focus too much on individuals and personal narratives, especially in presidential campaigns. Who’s in touch with ordinary people? Who is experienced? Who is a nice person? Who connects better with different identity groups? Who would you like to have a beer with? This is in large part because many democrats like to think of Hillary and Bernie as different flavors of the same Democratic Party popcorn.

Consequently, they mostly just pay attention to which candidate they feel they can more readily identify with. But Sanders and Clinton represent two very different ideologies. Each of these ideologies wants control of the Democratic Party so that this party’s resources can be used to advance a different conception of what a good society looks like. This is not a matter of taste and these are not flavors of popcorn.

What are these two groups? Bernie Sanders describes himself as a democratic socialist — he connects himself politically with Franklin Roosevelt and Lyndon Johnson, with the New Deal and the Great Society. To understand what that means, we need to know the history of this ideology. Under Calvin Coolidge’s right wing economic policy in the 1920s, economic inequality in the United States spiked:

2016-02-11-1455204655-4038583-ben1.png


The left in the 1930s understood rising inequality as the core cause of the Great Depression. Because wealth was concentrating in the hands of the top 1 percent, the amount of investment steadily increased while the amount of consumption stagnated. Whenever there is too little consumption to support the level of investment in the economy, investors struggle to find profitable places to invest their money.

Investment is usually a positive thing — it helps businesses increase their production and create jobs. But with consumption weak, businesses have little reason to increase their production, because no one will buy the additional goods and services provided. So instead, businesses that receive investment tend to reinvest that money rather than use it to grow. That investment circulates through the financial system and accumulates in speculative bubbles — places like the stock market, housing market, commodities market, or various foreign markets.

These assets become massively overvalued until one day, the markets recognize the overvaluation. The assets collapse in value and the bubble bursts. People relying on these assets to pay off other debts get into serious trouble, and a contagion can spread throughout the economy with horrifying consequences.


So what did the left do?

As you can see in the chart, between the 1930s and the 1970s, the United States drastically reduced economic inequality. It redistributed wealth from the top to the middle and the bottom, resulting in consistent wage increases and consequently consistent consumption increases. This allowed investment to be put to effective use — because the bottom and the middle were rising, they were able to support the additional spending that business owners needed to successfully expand.

This was accomplished through a series of policies that if they were proposed today, would strike most Americans as socialist-Social Security, Medicare, Medicaid, welfare, strong union rights, high minimum wages, high marginal tax rates on the wealthy (with a 90 percent top rate under Eisenhower), and strong enforcement of financial regulations and anti-trust laws.

Democratic presidential candidates that can be associated with this ideological tradition include Franklin Roosevelt, Harry Truman, Adlai Stevenson, John F. Kennedy, Lyndon Johnson, Hubert Humphrey, and George McGovern. That’s it. Starting with Jimmy Carter in 1976, the Democratic Party became something different, something that was no longer ideologically continuous with this. Even the Republican Party to a large degree acknowledged the need for these policies during this period-Eisenhower and Nixon supported and even extended parts of this system that kept investment and consumption in balance.

I’ve written about what happened in the 1970s in detail elsewhere — the short version is that in the ‘70s there were two oil shocks, in which the price of oil went up very rapidly (the OPEC embargo in the early ‘70s and the Iranian Revolution at the end of the decade). Rising oil prices created stagflation, because they drastically increased the price of goods over a very short span of time. This reduced consumption, damaging economic growth, while simultaneously leading governments to increase wages in an attempt to prevent workers from rapidly losing purchasing power, creating inflation.

To solve this problem, governments needed to stabilize oil prices or reduce dependency on foreign oil. They also could have allowed real wages to fall temporarily until that was accomplished (in tandem with a strong social safety net to protect those at the bottom of the wage scale).

Instead what happened is that the right co-opted the oil crisis to claim that the entire project of balancing investment with consumption was fundamentally mistaken, that the problem was that there was not enough investment and too much consumption. The right embarks on a political platform of reducing union power, reducing the real value of the minimum wage, cutting welfare spending, reducing taxes on the wealthy, and deregulating the financial sector.

Inequality, which in the U.S. bottomed out in 1978, began rising rapidly and during the new millennium has frequently approached depression-era levels, having the same harmful effects on consumption that it had in the early 20th century and creating the same endemic risk of bubbles and financial crises.

Many people think that it is the Republican Party alone that is responsible for this, but beginning in 1976 with Jimmy Carter, the Democratic Party was captured by this same ideology, which in academic circles is often referred to as neoliberalism. It is now largely forgotten that it was Carter, not Reagan, who began deregulating the market. Indeed, during the 1976 democratic primary, there was an ABC movement — Anybody But Carter.

Democrats who remained committed to the party’s egalitarian ideology rightly feared that Carter was too right wing and would effectively strip the party of its historical commitment to the continuation and expansion of the legacy of FDR and LBJ. However, they ran too many candidates against Carter, splitting the left vote and allowing Carter to win the nomination.

Bill Clinton took the party even further to the right. In 1992, he ran on the promise to “end welfare as we know it,” a total repudiation of the FDR/LBJ legacy. With the help of republicans, Clinton was eventually successful in drastically cutting the welfare program. Clinton also signed important deregulatory bills into law, like the Commodities Futures Modernization Act and the Gramm-Leach-Bliley Act.

Most economists blame one or both of these pieces of legislation with directly facilitating the housing crisis in 2008 (there is a robust debate about which one is more important, with economists like Paul Krugman leaning toward CFMA as the more important one while Robert Reich argues GLBA). Hillary Clinton supported these measures during the 1990s and has in some cases continued to voice support for them. Bill signed all of this legislation into law. Bernie Sanders was against welfare reform and GLBA at the time (he voted for CFMA-it was snuck into an 11,000 page omnibus spending bill at the last minute).

The 2008 primary between Hillary Clinton and Barack Obama is sometimes billed as if it were a contest between two ideologies, but the most prominent difference between them was the vote on the Iraq War. On economic policy, there never was a substantive difference. The major economic legislation passed under Obama (Dodd-Frank and the Affordable Care Act) did not address the structural inequality problem that the Democratic Party of the ‘30s, ‘40s, ‘50s, ‘60’s and early ‘70s existed to confront.

Wealth inequality, which decreased under FDR, Truman, JFK, and LBJ, increased under Carter, Clinton, and Obama:

2016-02-11-1455204724-6332734-ben2.png


On economic policy, contemporary establishment democrats have more in common with contemporary republicans than they do with the FDR/LBJ democrats. Carter and Clinton took the party away from economic progressives. The Democratic Party, which was once the party that saw economic inequality and poverty as the core causes of economic instability, now sees inequality and poverty as largely irrelevant.

Instead of eliminating inequality and poverty to fuel the capitalist system and produce strong economic growth, establishment democrats now largely agree with establishment republicans that the problem is a lack of support for business investment.

“[Bernie] is running to take the Democratic Party back from an establishment that ignores the fundamental systemic economic problems that lead to wage stagnation and economic crisis.”
So Bernie Sanders is not merely running to attempt to implement a set of idealistic policies that a Republican-controlled Congress is likely to block. He is running to take the Democratic Party back from an establishment that ignores the fundamental systemic economic problems that lead to wage stagnation and economic crisis.

Those who say that the Democratic Party cannot be reclaimed by the FDR/LBJ types or that if it is reclaimed it will flounder in elections against the GOP are thinking too small. In the 1968 and 1976 republican primaries, this guy called Ronald Reagan was running to take the Republican Party back from the Richard Nixon types who went along with the democrats on welfare and regulation in a bid to return the republicans to their 1920s Calvin Coolidge roots.

At the time, Reagan’s plan was considered madcap-everyone in the ‘60s and ‘70s knew that hard right Coolidge style economics leads to depression and crisis. But the stagflation in the ‘70s created an opportunity for Reagan to convince republicans and eventually the country as a whole to fully embrace a totally different ideology that was much closer to Coolidge’s politics than it was Eisenhower’s or Nixon’s.

In the years since 2008, many Americans, in particular young people, are willing to consider the possibility that neoliberalism — the economic ideology espoused by both the post-Reagan republicans and the post-Carter Clinton-era democrats — is fundamentally flawed and must be revised or potentially replaced entirely.

This can only happen if democrats recognize that Bernie Sanders is not just a slightly more left-wing fellow traveler of Clinton’s. This is not a contest to see who will lead the democrats, it’s a contest to see what kind of party the democrats are going to be in the coming decades, what ideology and what interests, causes, and issues the Democratic Party will prioritize. This makes it far more important than any other recent primary election.

The last time a democratic primary was this important, it was 1976. Only this time, instead of Anybody But Carter or Anybody But Clinton, the left has Bernie Sanders — one representative candidate that it is really excited about. The chance may not come again for quite some time.

“The last time a democratic primary was this important, it was 1976. ... The chance may not come again for quite some time.”

Hillary Clinton is a neo-liberal building on the legacy of Ronald Reagan and Bill Clinton. She doesn’t understand the pivotal role inequality plays in creating economic crisis and reducing economic growth. She has been taken in by a fundamentally right wing paradigm, and if she is elected she will continue to lead the Democratic Party down that path.

Bernie Sanders is a democratic socialist building on the legacy of Franklin Roosevelt and Lyndon Johnson. He understands that inequality is the core structural factor in economic crisis and that growth in real wages and incomes is required for robust, sustainable economic growth.

It doesn’t matter which one is more experienced, or which one’s policies are more likely to pass congress, or which one is more likely to win a general election, or which one is a man and which one is a woman. This is not about just this election, or just the next four years.

This is about whether the Democratic Party is going to care about inequality for the next decade.

We are making a historical decision between two distinct ideological paradigms, not a choice between flavors of popcorn. This is important. Choose carefully.
 
Ahsante Mag3

Kuna hoja nyingi za kujadili kuhusu hiyo article.

Ukiiangalia kwa haraka, imeeleza matatizo na suluhisho kwa upande wa Dem.
Inaeleza ideologie za Dem kuanzia zama hizo

kwa lugha rahisi inaeleza tofauti kati ya Bi. Clinton na Sanders katika ideologies.

Kwamba, kuna wanaotaka kurudi Dem ya zama hizo nawanaotaka Dem' iliyojivua gamba'

Hata hivyo, mwandishi hakuzingatia baadhi ya mambo ambayo nadhani ni muhimu sana yaani Mazingira ya dunia na mahitaji ya kizazi kilichopo.

Kwa mfano, anapoongelea Sanders anataka kurudisha Dem ya misingi yake, anasahau kuwa wanaomuunga mkono ni wale wasiojua hata uwepo wa LBJ , achilia mbali Carter. Ni kizazi cha 20-30

Wanaomuunga mkono Clinton ni wale wanaoijua Dem ya Zama hizo.

Inakuwaje basi, makundi haya mawili yanabadilishana wagombea?

Pili, mbadiliko ya dunia yanalazimisha baadhi ya mambo kwenda mwelekeo tofauti. Wakati wa 30,70s climate change haikuwahi kuwa issue kama ilivyo leo.

Nyakati hizo China haikuwa 'second economy'
In fact wakati wa Carter na Reagan China ilikuwa kundi la 77

Tatu, mazingira aliyofanyia kazi LBJ ni tofauti na Obama na kulinganisha hawa wawili kuna mapungufu.

Clinton au Sanders wapo likely kufanya kazi na Republican kuliko Obama ambaye amepata antipathy si kwa sera bali kama Onama. Angewezaje kutekeleza yale ya LBJ?

Kwa ufupi Makala ni nzuri sana ikilekea kwa Sanders Zaidi na kuacha sehemu muhimu. Hata hivyo tunahitaji kuipitia kwa undani,ni muhimu tufanye hivyo.

Tutarejea kuijadili ....
 
Ahsante Mag3

Kuna hoja nyingi za kujadili kuhusu hiyo article.

Ukiiangalia kwa haraka, imeeleza matatizo na suluhisho kwa upande wa Dem.
Inaeleza ideologie za Dem kuanzia zama hizo

kwa lugha rahisi inaeleza tofauti kati ya Bi. Clinton na Sanders katika ideologies.

Kwamba, kuna wanaotaka kurudi Dem ya zama hizo nawanaotaka Dem' iliyojivua gamba'

Hata hivyo, mwandishi hakuzingatia baadhi ya mambo ambayo nadhani ni muhimu sana yaani Mazingira ya dunia na mahitaji ya kizazi kilichopo.

Kwa mfano, anapoongelea Sanders anataka kurudisha Dem ya misingi yake, anasahau kuwa wanaomuunga mkono ni wale wasiojua hata uwepo wa LBJ , achilia mbali Carter. Ni kizazi cha 20-30

Wanaomuunga mkono Clinton ni wale wanaoijua Dem ya Zama hizo.

Inakuwaje basi, makundi haya mawili yanabadilishana wagombea?

Pili, mbadiliko ya dunia yanalazimisha baadhi ya mambo kwenda mwelekeo tofauti. Wakati wa 30,70s climate change haikuwahi kuwa issue kama ilivyo leo.

Nyakati hizo China haikuwa 'second economy'
In fact wakati wa Carter na Reagan China ilikuwa kundi la 77

Tatu, mazingira aliyofanyia kazi LBJ ni tofauti na Obama na kulinganisha hawa wawili kuna mapungufu.

Clinton au Sanders wapo likely kufanya kazi na Republican kuliko Obama ambaye amepata antipathy si kwa sera bali kama Onama. Angewezaje kutekeleza yale ya LBJ?

Kwa ufupi Makala ni nzuri sana ikilekea kwa Sanders Zaidi na kuacha sehemu muhimu. Hata hivyo tunahitaji kuipitia kwa undani,ni muhimu tufanye hivyo.

Tutarejea kuijadili ....
Uko sawa kabisa Nguruvi3 kwani kitu ambacho kiko wazi kabisa kuhusiana na makala hiyo ni kwamba mwandishi inaonekana keshachagua upande linapokuja swala la Hilary/Bernie. Amelalia mno upande wa Bernie Sanders na kwa namna fulani hajamtendea haki Hilary Clinton kama mwandishi huru.

Hata hivyo kulingana na umati unaompokea Sanders kuna hali ya sintofahamu imeanza kutawala kambi ya Clinton kwani mambo tena siyo smooth sailing kama ilivyotabiriwa awali. Natofautiana nawe kidogo kuhusu hicho kizazi ulichokitaja (cha 20-30), mimi nimewasikiliza wakiongea na amini usiamini wako well informed.

Halafu liko swali moja kubwa; ni mgombea yupi kati ya hawa wawili ana nafasi nzuri zaidi dhidi ya mgombea kutoka Republican party? Na hapo hapo kuna hali ya wasi wasi imejitokeza baada ya baadhi ya wafuasi wa Sanders kuja na kauli mbiu ya Bernie or Bust wakitishia kutompa kura Clinton iwapo ndiye atakayepeperusha bendera.

Kusema kweli tutashuhudia mengi kwenye uchaguzi wa Marekani mwaka huu...na hapo bado hatujaangalia vituko vya upande wa pili. Je wafuasi wa Bernie Sanders wasio na imani na Hilary Clinton wako tayari kumpa kura Lying Ted au Con man Trump kama mtu wao hatateuliwa kuwa mgombea? Ni kitendewili kigumu sana hicho.
 
Update
Dem: Hawii, Alaska na Washington state caucus

Kama tulivyosema Sanders ameshinda Washington state na Alaska.

Matokeo ya Hawii bado hata hivyo si muhimu sana kubadilisha hali ya mambo.

Ushindi mkubwa ulikuwa Washington state kwenye wajumbe wengi. Tutaendelea kufuatilia idadi ya wajumbe na hali ilivyo kwa Demo jioni ya leo
 
Uko sawa kabisa Nguruvi3 kwani kitu ambacho kiko wazi kabisa kuhusiana na makala hiyo ni kwamba mwandishi inaonekana keshachagua upande linapokuja swala la Hilary/Bernie. Amelalia mno upande wa Bernie Sanders na kwa namna fulani hajamtendea haki Hilary Clinton kama mwandishi huru.

Hata hivyo kulingana na umati unaompokea Sanders kuna hali ya sintofahamu imeanza kutawala kambi ya Clinton kwani mambo tena siyo smooth sailing kama ilivyotabiriwa awali. Natofautiana nawe kidogo kuhusu hicho kizazi ulichokitaja (cha 20-30), mimi nimewasikiliza wakiongea na amini usiamini wako well informed.

Halafu liko swali moja kubwa; ni mgombea yupi kati ya hawa wawili ana nafasi nzuri zaidi dhidi ya mgombea kutoka Republican party? Na hapo hapo kuna hali ya wasi wasi imejitokeza baada ya baadhi ya wafuasi wa Sanders kuja na kauli mbiu ya Bernie or Bust wakitishia kutompa kura Clinton iwapo ndiye atakayepeperusha bendera.

Kusema kweli tutashuhudia mengi kwenye uchaguzi wa Marekani mwaka huu...na hapo bado hatujaangalia vituko vya upande wa pili. Je wafuasi wa Bernie Sanders wasio na imani na Hilary Clinton wako tayari kumpa kura Lying Ted au Con man Trump kama mtu wao hatateuliwa kuwa mgombea? Ni kitendewili kigumu sana hicho.
Mkuu Mag3 mwandishi ameegemea sana upande wa Sanders.

Kwa mfano, ameeleza kura ya Bi. Clinton katika seneti mumewe akiwa madarakani.

Mwandishi hakueleza kura za Sanders ambazo nyingi zinatia shaka na u-liberali wake

Kwa mfano suala la gun control Sanders ameungana na Republican
Suala la Immigration Sanders anayesemwa kutafuta equality alikuwa kikwazo

Kuhusu kizazi cha 20-30 anachokieleza Sanders si kigeni.
Habari ya student loans na healthcare yalikuwa hoja wakati wa Obama na Clinton

Tena Sanders aliwahi kusema Obama ni weak president bila kujali antipathy anayoipata Michel McNell alisema, jitihada ni kumzuia Obama awe one term president.

Mpango wa kujenga infrastructure umezuliwa na GOP na mambo mengi tu

Sanders anasema Obamacare haijafanya lolote. Asichokieleza yeye atafanya nini tofauti

Tena anataka kuanza mwanzo, akitegemea GOP watamuunga mkono.

Haoni adha aliyokumbana nayo Obama iliyomhgharimu congress na Senate.
Alipoteza wabunge wengi katika historia kuanzia 1938

Hilo lilikuwa kutetea equality kwa gharama kubwa ya kisiasa.
Ukimsoma Bi. Clinton, hata kama hukubaliani naye lakini ameeleza

Kizazi 20-30 kinataka habari njema, hakiulizi Sanders atafanya nini tofauti na yaliyopo.

Mwandishi kusema Sanders ni leftist, si kweli. Kura nyingi amepiga akiwa center left kama za Immigration , gun n.k.

Zote zinaonekana alilalia upande wa kulia akiwa katikati ya kushoto.

Lakini pia Sanders ameponda kuhusu ajira zilizopo sasa.

Obama akiingia unemployment ilikuwa katika 7-9 ajira zikipotea kwa Malaki.

Kazi aliyokuwa nayo ni kuzuia 'bleeding' na kuweka foundation ya hali kutojitokeza.
Moja ni hii ya sharia ya (Dodd-Frank and the Affordable Care Act)

Republican walitumia unemployment data kumbonda vizuri wakati ipo kati ya 5-6.5%

Kwasasa ipo katika 4.5% argument imebadilika. Republican na Sanders wanasema data hizo ni kutokana na watu kukata tamaa ya kutafuta kazi.

Inaweza kuwa kweli, lakini Sanders na GOP walitumia data hizo hizo kumbonda Obama! Hapa unaweza kuona Sanders alivyo centre left

Ukiangalia kwa undani, Obama alikuwa leftist kuliko Sanders.

Kilichomkwamisha ni kukwamishwa na senate au congress.
Comprehensive immigration reform imekwamia huko hata kujadiliwa haitakiwi

Ndivyo Congress walimdhalilisha kwa kumwalika BB Nyahu bila kupitia white house

Na sasa GOP hawataki hata kuzungumzia uteuzi wa Garland kuziba nafasi ya Scalia

Kwa mazingira hayo, kurudisha takwimu za LBJ , FDR n.k. ni ulinganifu usio sahihi

Hata hivyo, hizi si zama za cold war tena. Kuna challenge nyingine za kiusalama na uchumi ambazo haiwezekani kuzifanyia ufanano na enzi za cold war

Hali ya biashara imeabadilika. Wakati wa Reagan na Clinton suala lilikuwa na cold war

Clinton ali deal na aftermath za cold war. Wakati USSR wakigombea mkate, Clinton alijenga uchumi. The second economy ilikuwa Japan(kama nipo sahihi)

Kwasasa EU si ile Europe ya Reagan na Clinton. Na mataifa yanaungana katika uchumi

Tumeshuhudia kuzaliwa BRICKS na Asian- Pacific trade.
China ni second economy ikiwa na sizeable population na comparative advantage

Kwa mtazamo huo, kubaki na conservativisim ni ngumu ndiyo maana kuna progress conservatives. Kubaki na Liberalism ni ngumu ndiyo maana kuna neoliberalism

Asichoeleza mwandishi ni kuwa katika 'dyamics' kama hizi Sanders anawezaje kubaki na liberalisim ya LBJ na wengine?

Wakati naiona mantiki ya hoja, nabaki pia kuamini haikuwa fair na iliegemea upande

Tusemanzane
 
Mkuu Mag3 mwandishi ameegemea sana upande wa Sanders.

Kwa mfano, ameeleza kura ya Bi. Clinton katika seneti mumewe akiwa madarakani.

Mwandishi hakueleza kura za Sanders ambazo nyingi zinatia shaka na u-liberali wake

Kwa mfano suala la gun control Sanders ameungana na Republican
Suala la Immigration Sanders anayesemwa kutafuta equality alikuwa kikwazo

Kuhusu kizazi cha 20-30 anachokieleza Sanders si kigeni.
Habari ya student loans na healthcare yalikuwa hoja wakati wa Obama na Clinton

Tena Sanders aliwahi kusema Obama ni weak president bila kujali antipathy anayoipata Michel McNell alisema, jitihada ni kumzuia Obama awe one term president.

Mpango wa kujenga infrastructure umezuliwa na GOP na mambo mengi tu

Sanders anasema Obamacare haijafanya lolote. Asichokieleza yeye tafanya nini tofauti

Tena anataka kuanza mwanzo, akitegemea GOP watamuunga mkono.

Haoni adha aliyokumbana nayo Obama iliyomhgharimu congress na Senate.
Alipoteza wabunge wengi katika historia kuanzia 1938

Hilo lilikuwa kutetea equality kwa gharama kubwa ya kisiasa.
Ukimsoma Bi. Clinton, hata kama hukubaliani naye lakini ameeleza

Kizazi 20-30 kinataka habari njema, hakiulizi Sanders atafanya nini tofauti na yaliyopo.

Mwandishi kusema Sanders ni leftist, si kweli. Kura nyingi amepiga akiwa center left kama za Immigration , gun n.k.

Zote zinaonekana alilalia upande wa kulia akiwa katikati ya kushoto.

Lakini pia Sanders ameponda kuhusu ajira zilizopo sasa.

Obama akiingia unemployment ilikuwa katika 7-9 ajira zikipotea kwa Malaki.

Kazi aliyokuwa nayo ni kuzuia 'bleeding' na kuweka foundation ya hali kutojitokeza.
Moja ni hii ya sharia ya (Dodd-Frank and the Affordable Care Act)

Republican walitumia unemployment data kumbonda vizuri wakati ipo kati ya 5-6.5%

Kwasasa ipo katika 4.5% argument imebadilika. Republican na Sanders wanasema data hizo ni kutokana na watu kukata tamaa ya kutafuta kazi.

Inaweza kuwa kweli, lakini Sanders na GOP walitumia data hizo hizo kumbonda Obama! Hapa unaweza kuona Sanders alivyo centre left

Ukiangalia kwa undani, Obama alikuwa leftist kuliko Sanders.

Kilichomkwamisha ni kukwamishwa na senate au congress.
Comprehensive immigration reform imekwamia huko hata kujadiliwa haitakiwi

Ndivyo Congress walimdhalilisha kwa kumwalika BB Nyahu bila kupitia white house

Na sasa GOP hawataki hata kuzungumzia uteuzi wa Garland kuziba nafasi ya Scalia

Kwa mazingira hayo, kurudisha takwimu za LBJ , FDR n.k. ni ulinganifu usio sahihi

Hata hivyo, hizi si zama za cold war tena. Kuna challenge nyingine za kiusalama na uchumi ambazo haiwezekani kuzifanyia ufafanano na enzi za cold war

Hali ya biashara imeabadilika. Wakati wa Reagan na Clinton suala lilikuwa na cold war

Clinton ali deal na aftermath za cold war. Wakati USSR wakigombea mkate, Clinton alijenga uchumi. The second economy ilikuwa Japan(kama nipo sahihi)

Kwasasa EU si ile Europe ya Reagan na Clinton. Na mataifa yanaungana katika biashara

Tumeshuhudia kuzaliwa kwa BRICKS na Asian- Pacific trade. China imekuwa second economy ikiwa na sizeable population na comparative advantage zote

Kwa mtazamo huo, kubaki na conservativisim ni ngumu ndiyo maana kuna progress conservatives. Kubaki na Liberalism ni ngumu ndiyo maana kuna neoliberalism

Asichoeleza mwandishi ni kuwa katika 'dyamics' kama hizi Sanders anawezaje kubaki na liberalisim ya LBJ na wengine?

Wakati naiona mantiki ya hoja, nabaki pia kuamini haikuwa fair na iliegemea upande

Tusemanzane
Kosa kubwa la Obama lilikuwa moja tu na ndilo linatumiwa na Republicans katika kumponda ingawa ni kweli waliapa toka siku ya kwanza kutompa ushirikiano. Ni kwamba kwa miaka miwili ya mwanzo Democrats ndio walishika makali kwa kuwa na both Senate na House...ushindi wa Obama mwaka 2008 ulimpa uwezo wa kutekeleza mengi aliyoahidi wakati wa kampeni lakini hakufanya hivyo.

Aliamini kwa dhana potofu kwamba angeweza kufanikiwa katika kuwaleta pamoja wajumbe wa hivi vyama viwili na hivyo kufikia maamuzi ya pamoja (non partisan). Kwa kusita kushughulikia mambo ya msingi mara tu baada ya kuapishwa aliwapa Republicans muda wa kujiimarisha zaidi wakipanga namna ya kumkwamisha. Si hivyo tu aliwakatisha tamaa wale wote waliokuwa na kiu ya mabadiliko.

Wamarekani waliompa kura nyingi walitafsiri msimamo wake kama udhaifu katika maamuzi na hivyo miaka miwili baadaye mambo mawili yalijitokeza. Waliompa kura kwa wingi mwaka 2008 hawakujitokeza kupiga kura mwaka 2010 na wengi wa waliojitokeza walihakikisha nguvu aliyokuwa nayo kupitia Congress na House zinapunguzwa. Katika mizani walizingatia sana mapungufu yake kuzidi mafanikio.

Mwaka 2012 akapoteza both houses na ikawa rahisi kwa Republicans kutamba kwa kuhakikisha hafanikiwi hata kwa yale ambayo awali walikubaliana nayo lengo ikiwa kuunyima utawala wake legacy yoyote. Obama hana wa kumlaumu isipokuwa yeye mwenyewe...ingawa kajitahidi kufanya mengi yatakayokumbukwa lakini udhaifu aliouonesha baada tu ya kutwaa madaraka ni doa lisilotakasika kirahisi.
 
Kosa kubwa la Obama lilikuwa moja tu na ndilo linatumiwa na Republicans katika kumponda ingawa ni kweli waliapa toka siku ya kwanza kutompa ushirikiano. Ni kwamba kwa miaka miwili ya mwanzo Democrats ndio walishika makali kwa kuwa na both Senate na House...ushindi wa Obama mwaka 2008 ulimpa uwezo wa kutekeleza mengi aliyoahidi wakati wa kampeni lakini hakufanya hivyo.

Aliamini kwa dhana potofu kwamba angeweza kufanikiwa katika kuwaleta pamoja wajumbe wa hivi vyama viwili na hivyo kufikia maamuzi ya pamoja (non partisan). Kwa kusita kushughulikia mambo ya msingi mara tu baada ya kuapishwa aliwapa Republicans muda wa kujiimarisha zaidi wakipanga namna ya kumkwamisha. Si hivyo tu aliwakatisha tamaa wale wote waliokuwa na kiu ya mabadiliko.

Wamarekani waliompa kura nyingi walitafsiri msimamo wake kama udhaifu katika maamuzi na hivyo miaka miwili baadaye mambo mawili yalijitokeza. Waliompa kura kwa wingi mwaka 2008 hawakujitokeza kupiga kura mwaka 2010 na wengi wa waliojitokeza walihakikisha nguvu aliyokuwa nayo kupitia Congress na House zinapunguzwa. Katika mizani walizingatia sana mapungufu yake kuzidi mafanikio.

Mwaka 2012 akapoteza both houses na ikawa rahisi kwa Republicans kutamba kwa kuhakikisha hafanikiwi hata kwa yale ambayo awali walikubaliana nayo lengo ikiwa kuunyima utawala wake legacy yoyote. Obama hana wa kumlaumu isipokuwa yeye mwenyewe...ingawa kajitahidi kufanya mengi yatakayokumbukwa lakini udhaifu aliouonesha baada tu ya kutwaa madaraka ni doa lisilotakasika kirahisi.
Mkuu ni kweli Obama aliamini katika 'non partisan' akidhani angewaleta pamoja kama Clinton

Tofauti ni kuwa Obama ni leftist wakati Clinton aliegemea centre left.

Ndio maana ukisoma article, mwandishi anasema deregulations ilianza na Bill Clinton. Haikuwa obvious kwasababu athari zake hazikujitokeza mara moja

Bill akaondoka akiwa na rekodi nzuri sana katika uchumi na hata usalama.
Wakati huo ali deal na magaidi kwa kiwango kisicholingana na sasa.

Ni kweli akiingia madarakani Obama alikuwa na majority katika senate na congress.

Hata hivyo, alikuta mambo mengi yaliyomvuruga.
Mfano,angewezaje kushughulikia immigration watu wakipoteza ajira 200,000 kwa mwezi?

Alikuta masoko ya mitaji yakipoteza thamani , watu wakipoteza mafao n.k. Asingeeleweka kushughulikia mambo mengi akiacha dharura aliyokuwa nayo

Angeshughulikiaje mengine akikakabiliwa na Healthcare iliyochukua ya mambo yake?

Nadhani alitumia vema majority kupitisha Obamacare.
Hata kama si 100% perfect lakini alijaribu. Bill Clinton hakufnikiwa

Suala la 'non partisan' Obama aliliona kama litafanikiwa.
Hakuelewa kuwa antipathy dhidi yake ilikuwa kama yeye si Rais wa Marekani.

Wenzake waliposema anakuwa one term president hawakulenga sera.
GOP walitaka kumzuia ili asijetokea 'mwingine' akachukua credit za Obama

Hilo linaonekana kwa Trump. Katika video uliyoleta msemaji ananena Republican lazima wajitazame kwa 'kioo cha Trump' . Hoja za Trump ni za GOP, Trump ameziweka wazi

Upo mjadala ndani ya GOP , kwamba hali ya kutokubalika miongoni mwa colored ni tatizo
Hasira za GOP kwa Trump ni kwenda far right na kuacha makundi ya watu wa rangi

Hilo linawapunguza uwezekano wa kushinda.Tatizo linaonekana kujitokeza Democrat pia.
Sanders anaposhinda weupe,Clinton wa rangi lina hisia ambazo Dem hawakuwa nazo

Sanders kapoteza majimbo yote ya kusini. Kwa mfano Luisiana alishindwa kwa 70% .
Majimbo ya watu wa rangi yanaweza kuangukia GOP kwa mgombea asiye Trump

Lakini pia linaweza kuwakatisha tamaa watu wa majimbo mengine,watu wa Trump ambao ni committed wakashinda. Uwezekano huo upo
 
SANDERS NA HOJA YA SUPER DELEGATES

Tafadhali rejea mabandiko #17 tuliloeleza jinsi wajumbe wanavyopatikana.

Tulieleza kuhusu super delegate ambao huingia ima GOP au Dem kwa nyadhifa zao

Utaratibu wa GOP ni tofauti na wa Dem. Kwa Dem tulieleza makundi ya super delegates.

Tulisema hawa wanaweza kuwa 'committed' kwa mgombe au wasiwe
Ni wajumbe wasipogiwa kura na wana nafasi ya kubadili nani wanamuunga mkono

Uchaguzi wa 2008, Bi Clinton aliingia ugombea akiwa na super delegate wengi
Ramani ya uchaguzi ilivyobadilika, super delegates wakabadili wakamuunga Obama

Katika bandiko# 18 tumeeleza kwanini Bernie Sanders anaendelea na kampeni licha ya wajumbe wachache na super delegate ambao ni 27 ukilinganisha na 400+ wa Bi Clinton

Anachotaka ni kubadili ramani ya uchaguzi aweza kuwashawishi super delegate
Ndicho kilichotokea baada ya ushindi wa jana kule Washington state, Alaska na Hawaii

Sanders yupo katika TV akiomba super delegates wamuunge mkono.

Anafanya hivyo ili kupunguza namba ya wajumbe wa Bi. Clinton ya 400'super delegates'

Watakapobadili uelekeo, wataka namba na ile 27 ya Sanders itaanza kupanda
Hili litampa nguvu kuelekea katika majimbo mengine(momemntum).

Baada ya kushindwa majimbo 5 wiki iliyopita na Bi. Clinton, momentum ilipungua,imerudi

Katika majimbo yaliyobaki, mengine ni caucus anakofanya vizuri.
Wisconsin inafuata April 5, muda wa siku 10 kuanzia sasa.

Hili litamsaidia Sanders kuwa katika media kutokana na ushindi wa jana

Pamoja na hayo kuna primaries kubwa zinazoweza kubadili hali ya uchaguzi kabisa

Kwa mfano New York ina wajumbe Zaidi ya 500.
Ipo New York,wajumbe 200+, advantage kwa Bi Clinton, alikuwa seneta

Pamoja na hayo, ipo gharama inayokuja na advantage alizo nazo.

Mfano, kukaribiana matokeo Wisconsin na NY kutawaweka super delegates'tahadhari'

Ikitokea akashindwa New York super delegates wanaweza kupoteza matumaini naye

Anachotakiwa ni kushinda majimbo yajayo na si mwenedelezo wa kupoteza

Ni lazima aonekane kushinda eneo kubwa ili kubaki na Imani ya super delegates

Tuiangalie ramani ya majimbo bandiko linalofuata
 
MPAMBANO UNAOFUATA

April 5 2016
WISCONSIN

Dem: Wajumbe 96, uchaguzi ni primaries
Republican: Wajumbe 43 (winner take all)

Hapa tueleze kuwa kwa Republican wanatumia mitindo miwili.
(1) Winner take all ambapo mshindi wa jimbo anachukua wajumbe wote.

Mfano, atakayeshinda Wisconsin atachukua wajumbe wote
Ni eneo lazima `Seneta Cruz au Gavana Kasich washinde. Kinyume chake Trump atazidi kufungua njia

(ii)Utaratibu unaoitwa winner take most.
Kwamba, wajumbe watatolewa kwa mshindi katika `district`
Katika jimbo, districts ndizo zitatoa wajumbe,mshindi wa district atapata wajumbe wote wa district

Kwa upande wa Dem, Wisconsin ina umuhimu kutokana na mwenendo wa uchaguzi
Kwanza idadi ya wajumbe ni wengi, Bi Clinton akitaka kuziba majereha, Bwana Sanders kuendeleza momentum ya majimbo aliyoshinda ili kujenga hoja Zaidi ya wajumbe (Super delegates)

Wisconsin

Majirani
Michigan,Sanders ameshinda(Primary) bila kutegemewa akiwa chini kwa kura za maoni

Minesota ipo magharibi ambako Sanders alishinda (Caucus)

Iowa ambapo Bi. Clinton alimshinda Sanders kwa point moja

Illinoi ambako (Primary) Clinton alimshinda Sanders

Kutakuwa na ushindani mkubwa,ushindi unaonekana kuwa wa karibu
Lakini pia momentum ya Sanders inampa nafasi kubwa eneo hilo

Tumaini la Bi Clinton hii ni primary ambazo kwa kiasi kikubwa ameweza kushinda

Hoja kubwa si idadi ya wajumbe katika uchaguzi ulio karibu.

Hoja ni Sanders kusikika kashinda ili kushawishi super delegates na Bi. Clinton kashinda kurudisha Imani kwa super delegates.

April 8 kutakuwa na Republican kule Colarado. Utaratibu ni tofauti kwanini wajumbe wa GOP wa jimbo ndio watakaochagua wajumbe kwa mgombe.

April 9 kutakuwa na Caucus Wyoming kwa upande wa Dem na wajumbe ni 18 ambao hawana impact kubwa kwa tofauti kwa kuzingatia uwiano

April 19 itakuwa `make or break kwa Dem` ni New York yenye wajumbe takribani 291
Kwa upande wa Republican watakuwepo wajumbe 95

Kwa New York, Bi Clinton alikuwa Seneta wa Jimbo hilo. Mtandao wake ni mkubwa
Hata hivyo, Sanders anaonekana kudhibiti mitandao ya Bi Clinton kwa kubadili kauli mbiu

April 26 mwezi mmoja kuanzia jana kutakuwa na mpambano mzito kwa Dem
Kuna majimbo 5 yenye wajumbe wengi sana `
Connecticut- 70
Maryland -118
Pennyslavania- 210
Rhode Island-33
Delware- 31

Hapa pataamua mwelekeo wa uchaguzi upande wa Dem.
Kwa GOP ushindi wa Trump katika majimbo kati ya Apri 5 na 26 utahitimisha mchakato

Hii ni picha ya haraka kuhusu nini kitatokea katika wiki nne zijazo
 
MDAHALO WA RPUBLICAN 'TOWN HALL MEETING'

Si mjadala kwa maana ya wagombea kubishana au kupingana wakiwa pamoja
Town hall meetingi inashirikisha mgombea, mwandishi wakiwa na hadhira

Maswali yanaweza toka kwa mwandishi au wananchi wanaoshiriki

Mdahalo unafanyika kuelekea uchaguzi wa Wsiconsin hapo April 5

Mdahalo unatarajiwa kuwa mgumu kwa BwTrump kufuatia kushambulia mke wa hasimu wa Cruz. Wengi wanaona tendo hilo halina hadhi ya ugombea Rais

Ilikuwa ni lazima Trump atumbukize hoja kubadili mazungumzo miongoni nwa media

Media nyingi zilihoji uwezo wake wa mambo ya kimataifa kama kauli yake juu ya NATO

Kufuatia shambulio la ubeleheji Trump alipwaya na kuamua kutumbukiza kitu kingine

Wiki chache kura za maoni zilimpa nafasi ya kushinda Wisconsin.

Wapinzani wa Trump wameziba pengo. Kura za karibuni zinaonyesha kiwango cha 35/36

Cruz na Kasich wakimzuia Wisconsin, itabidi Trump ashinde majimbo mfululizo
Majimbo ambayo mshindi huchukua wajumbe wote (Winner take all)

Wisconsin inatumia mtindo wa winner take most. Hili tumelieleza hapo juu.

Hata hivyo dhana ni ngumu kidogo kuelekeweka.

Tunawataka radhi kuifafanua tena kwa mifano rahisi

Winner take all- Ni kama vile Dar es Salaam ina wajumbe 60.
Mshindi wa kura (popular vote) anachukua wajumbe wote 60

Winner take most- Ni kama Dar ina wajumbe 60, katika wilaya zake Kinondoni ina wajumbe 15, Temeke 15 , Ubungo 15 na Ilala 15

Mshindi wa kura nyingi katika Wilaya anachukua wajumbe wote wa wilaya hiyo

Huu ni mfano tu kwa maana ya Kiswahili ya District, Marekani District zina maana yake kama ilivyo kwa county. Tunarudia tena huo ni mfano katika kueleweka tu

Kwa Dem, Dar ina wajumbe 60, atakayeshinda atapewa wajumbe kwa uwiano.
Ikiwa katika 49 kwa 51 watagawana wajumbe takribani 29 kwa 31.

Utaratibu unamweka Sanders nafasi ngumu. Tofauti ya wajumbe ni takribani 200.

Kuziba pengo ni lazima ashinde katika asilimia 60 kwenda juu.

Ikiwa itatokea, basi atamfikia, kinyume chake ushindi katika 50-60 hautabadili mwelekeo Zaidi ya kubadili mwelekeo wa super delagtes wakikubaliana na mwenendo wake

Tutawaletea yatakayokuwa yanajiri katika mdahalo 'in real time'

Tusemezane
 
MDAHALO WA WSICONSIN

Mgombe Ted Cruz ndiye wa kwanza katika mjadala

Update zitafuata katika bandiko hili

Anaulizwa kama ana matumaini ikiwa ana 30% ya wajumbe dhidi ya Trump
Jibu: Trump anashinda katika 25-30 %wagombea wengine wanagawana kura.

One on one hawezi kupata asilimia hizo

Swali, kutokana na shambulio la Ubelegi na kwamba alisema ku patrol Islamic neighborhood una maana gani
Jibu: Cruz anakwepa swali kwa kuongelea mambo yasiyohusiana
Anasema EU imefanya makosa kutozuia Islamic terrorist. Hakujibu swali

Swali: Je, ana uthibitisho kuhusu tuhuma za tabloid za Trump?
Jibu: Anataja 'wamiliki' wa magazeti wenye uhusiano na Trump

Swali: Utatuma jeshi kubwa kwenda Syria kuwamaliza ISIS?
Jibu: Anashambulia Obama na Hillary kuhusu Libya na Egypt
Anasema Asaad ni monster. Akiondolewa kutakuwa na kosa la
Focus si kumuondoa Asaad bali kuharibu ISIS

Sw: Utapeleka majeshi? Ulisema Carpet Bombing kumaliza ISIS
JB: Anasema hoja ni kutumia air power kubwa

Sw: Ni kitu gani ambacho unadhani ni personal failure kwako
JB: Udhaifu wangu ni kufanya kazi kwa bidii.nina amaini free market na constitution

Sw: Kashfa ni mfano mzuri kwa vijana wa America Zaidi ya hoja?
JB: ''Hana uwezo wa ku control nini wagombea wengine wanasema''


ZAMU YA TRUMP
Sw: Kuhusu kamoeni meneja wake na 'kashfa' ya kumburuza mwanamke
JB: Trump hatamfukuza kazi kutokana na ushahidi uiopatikana

Sw: Je ni wewe pekee unaweza kusulushisha easter bombing in Pakistan?
JB: Ni mimi pekee naweza kus oslve tatizo. Naongelea Radical Islamic terrorist

Sw: Suala na Nyuklia ulisema utaunga mkono South korea kuwa na Nyuklia utawezaje kuleta suluhu kuhusu suala la Nyuklia
JB: Tuna support German, Korea na Japana. Pakistan China wana Nyuklia. Kuna nyakati kila nchi itakuwa nayo, Irana itakuwa nayo katika miaka 10

Kuna wakati tusema Japan itaweza kujilinda kwa kuwa na Nyuklia.
Tuwaache Wajapan wajilinde wenyewe

Una nchi nyingi zenye Nyuklia. Japana na North Korea wana Nyuklia hawana carrier tu
Ninaposikia Obama akisema tishio kubwa ni climate , ninashangaa. Tishio kubwa ni kuongezeka suala la Nyuklia.

Sw: Ulitoa picha za mke wa Cruz
JB: Nadhani ni picha nzuri, sikuanza hilo. Watu walioanza ni wa Romney kutoa picha
Watu wa Cruz ndio walianza kutuma picha za mke wangu

Sw: Mkeo ni intelligent , je si vema kuacha wake nje ya kampeni
JB: Sihitaji kuongelea tena habari za wake

Inaendelea...
 
TRUMP
Sw: Kwa yale ya Paris na Ubelegeji, kulikuwa na quick reaction. Milaukee seek temple lilishambulia. Unaelimishaje watu kuhusu kubagua watu wakati ukilinda haki za kikatiba

JB: Kusema temporary ban kwa wasilam ilikuwa jambo baya kisiasa, nilidhani ilikuwa muhimu kusema. Tuwe waangalifu na second amend. Ninaposema temp banning, tuna tatizo kubwa na Islamic Terrorist, kuna ISIS hatuna chaguo.

Obama alifanya kosa kwa kuacha ombwe, tuwe waangalifu katika nyakati hizi
Watu wanatoka Syria, hatujui utambulisho wao, hili ni tatizo kubwa

Sw utalindaje haki za minority. Unaunga mkono kuhusu neighborhood patrol
Mkuu wa uslaama alisema ushauri huo una tatizo kisualama

JB: Watu wengi waliona ya st Bernadino hawakujitokeza kusema. Si kama tunapamana na German au Japan, hatujui hawa ni watu wa aina gani

SW: Wengi wanadhani utajiri wako ni wa kurithi. Unasemaje?
JB: Baba yangu hakuacha utajiri mkubwa, nilianza mwenyewe kwa milioni 1 na sasa ina thamani ya Bilioni 10. Baba alisema kila kitu Donald atakachoshika kitakuwa dhahabu na ni kweli

Sw: Nini vipaumbele vyako katika Taifa
JB: Usalama, afya na elimu zitakuwa juu katika vipaumbele.

Sw: Unaposema unagharamia kampeni zako una maana gani
JB: Sichukui pesa za makampuni, nachukua donation ndogo kwa sasa ni 6 milioni. Si kama Ted Cruz anapewa na makampuni ya mafuta, mabenki n.k.

Sw: Umesema US ijitoe NATO, kwanini
JB: NATO ina 67 miaka, ilikuwa ina cover USSR. Kwa sasa ibadilike kwa ubora
Tunatumia hela nyingi NATO. Lazima ibadilike, tatizo letu kubwa sasa ni ugaidi

Ima uanzishe kitu au ufanye kitu dhidi ya ugaidi.
NATO inaweza kuwa fixed, kuna nchi za NATO zinapata free ride, hatuwezi kuwa Polisi wa dunia
Ni sisi kila mahali, tuna matatizo mengi nchini, NATO ibadilike, hatuwezi kulipa gharama kubwa
 
Back
Top Bottom