Uchaguzi mdogo Magogoni: Matokeo

Hasira za nini au za kushindwa?
za kuchezewa demokarasia na akili za wananchi, unafkiri hili igizo walilofanya Magogoni litaishia hapo? mpaka 2010 watakuja na ubaradhuli kama huu wa kuchezea demokarasia na kulazimisha kushinda.aaagh
 
Usitoe sababu za hewani, CUF hata siku moja hawatakuwa na ubavu wa kushinda Magogoni, na lile jimbo la Jina lako mkae mkao wa kulipoteza 2010.
 
Kura za Chadema zipo wapi?

Nadhani hawakushiriki uchaguzi ngazi ya tawi! Kwani hilo tawi lilikuwa na mashina mangapi? Kwani naona walojitokeza ni sawa na wapiga kura wetu hapa Mkanyageni, Tanga!
 
Nadhani hawakushiriki uchaguzi ngazi ya tawi! Kwani hilo tawi lilikuwa na mashina mangapi? Kwani naona walojitokeza ni sawa na wapiga kura wetu hapa Mkanyageni, Tanga!
Si useme tu kuwa hawana ubavu wa kuvuka bahari!
 
Kule Bara na Sangara wao, CCM kaingia na Tilapia..! Chadema leo wapo kidogo sana hapa Ukumbini! Poleni sana!
 
mkuu kibs na hili si tumeshalichukua?
 

- Hoya! na huku nako hata viongozi wakuu hawakuenda lakini ushindi tu, saafi sana wananchi wanaelewa CCM ina viongozi wachache wabovu sio wote!

Respect.

FMES!


Mkuu naswali kama board directors pamoja na managing director wa kampuni wachafu...dereva, secretaries, marketing managers, pr managers na staff wengine watafanya kazi kwa usanifu kweli? wanaweza kukiuka policy ya kampuni??
 
Mkuu naswali kama board directors pamoja na managing director wa kampuni wachafu...dereva, secretaries, marketing managers, pr managers na staff wengine watafanya kazi kwa usanifu kweli? wanaweza kukiuka policy ya kampuni??

- Mkuu ongelea uchaguzi, nani ameshinda na kwa nini nani kashindwa na kushinda, uchaguzi tayari CCM wameshinda sasa ya directors siyajui yana uhusiano gani na ushindi wa CCM Busanda na Magogoni?

Respect.

FMEs!
 
- Mkuu ongelea uchaguzi, nani ameshinda na kwa nini nani kashindwa na kushinda, uchaguzi tayari CCM wameshinda sasa ya directors siyajui yana uhusiano gani na ushindi wa CCM Busanda na Magogoni?

Respect.

FMEs!

Yaishe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…