huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,520
- 1,462
Habarini za asubuhi wanajamvi?
Kama ambavyo vyama vya upinzani viliungana 2015 na kutengeneza neno UKAWA na hatimaye kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015 basi kwenye uchaguzi wa 2020 wafanye hivyo hivyo.
Mwanachama aliyefukuzwa Kule CCM basi awe mgombea wao 2020 bila kujali atajiunga chama gani, itabidi wamuunge mkono.
Awe ACT, AWE CHADEMA, NCCR AWE CUF, CHAUMA AWE TLP wamuunge mkono kwa pamoja hakika watatoboa kwa asilimia Fulani.
Lakini wakiendelea na mgawanyiko huu miaka nenda rudi hawataiona IKULU MAISHA YAO YOTE.
Dhana ya kujidai chama Fulani ni bora kuliko chama kingine kiishe kabisa.
Kila chama kikithaminiwa hakika mambo yatakuwa murua kabisa.
Asubuhi njema.
Mungu utuepushe na corona
Kama ambavyo vyama vya upinzani viliungana 2015 na kutengeneza neno UKAWA na hatimaye kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015 basi kwenye uchaguzi wa 2020 wafanye hivyo hivyo.
Mwanachama aliyefukuzwa Kule CCM basi awe mgombea wao 2020 bila kujali atajiunga chama gani, itabidi wamuunge mkono.
Awe ACT, AWE CHADEMA, NCCR AWE CUF, CHAUMA AWE TLP wamuunge mkono kwa pamoja hakika watatoboa kwa asilimia Fulani.
Lakini wakiendelea na mgawanyiko huu miaka nenda rudi hawataiona IKULU MAISHA YAO YOTE.
Dhana ya kujidai chama Fulani ni bora kuliko chama kingine kiishe kabisa.
Kila chama kikithaminiwa hakika mambo yatakuwa murua kabisa.
Asubuhi njema.
Mungu utuepushe na corona