Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini, EFF na Julias Malema, wanaenda kupata aibu ya karne

Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini, EFF na Julias Malema, wanaenda kupata aibu ya karne

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Upigaji kura ulimalizika jana tarehe 29.05.2024. Zoezi linaloendelea sasa ni uhesabuji wa kura.

Wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya 27m. Watu walijitokeza kwa wingi kupiga kura. kulikuwa na utitiri wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi huu.

ANC, EFF, DA na MK hivi vikiwa ndio vyama vinavyowania kupata viti vingi vya ubunge ili kupata ridhaa ya kuunda serekali.

Kwangu Mimi, nilifurashwa na kupendezwa na campagne cha chama cha EFF cha Julias Malema. Kampeni zilikuwa za moto. Malema aliwapigisha kwata maelfu ya wa SA huku wakiwa wamevalia flana na kafia ya aina ya barret nyekundu. Ukiangalia kampeni zilivyokuwa zikienda ni dhahiri utaona Malema na EFF wanakwenda kushinda uchagu huu.

Kinyume na matarajio ya wengi chama cha EFF kina kura 400000+ tu. Huku kikiwa nyuma ya kile cha DA na MK cha Comred Zuma.

Julius malema na EFF mpaka sasa walichopata na nguvu kubwa walizoonyesha kwenye kampeni hazifanani na kile walichopata. 8% ya kura zote zilizohesabiwa zinaashiria mwisho mbaya. Hii itakuwa ni fedheha na aibu kubwa kwa chama cha EFF.

Mpaka sasa ANC inaongoza kwa 42%, DA 18%, MK 8% na EFF 8%

Kura zote zilizohesabiwa ni kama kura 3m

PIA SOMA
- Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira
 
Sera za EFF ni ngumu kutekeleza, kwa mtu anayejielewa hawezi kutegemea akina Malema kuchukua nchi, yeye anasema alianza chukua nchi wazungu hawana chao. Je mzungu akiondoka South Afrika ni ndani ya miaka 5 South Afrika itachakaa
 
Mbona mapema sana kusema halafu EFF ni chama Cha kupongezwa sana maana kupata 8%kwenye uchaguzi tena zikiwa zimehesabiwa kura 3ml out of 27 ml huoni wanaweza kufika hadi 16 %!?
 
Malema kitambo nilimkubali ila alipoanza kuiponda Israel nikatambua ni liipumbavu. Get him lost
Israel na South Africa hawana mahusiano mazuri, sio suala la Malema tu..ni South Africans wengi hata serikali..mfano aliyeipeleka mahakami Israel ni Malema au ni serikali ya South Africa???
Wakati wa Apartheid Isreal ilikua ikiwauzia silaha makaburu na kuwaunga mkono....
 
Upigaji kura ulimalizika jana tarehe 29.05.2024. Zoezi linaloendelea sasa ni uhesabuji wa kura.

Wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya 27m. Watu walijitokeza kwa wingi kupiga kura. kulikuwa na utitiri wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi huu.

ANC, EFF, DA na MK hivi vikiwa ndio vyama vinavyowania kupata viti vingi vya ubunge ili kupata ridhaa ya kuunda serekali.

Kwangu Mimi, nilifurashwa na kupendezwa na campagne cha chama cha EFF cha Julias Malema. Kampeni zilikuwa za moto. Malema aliwapigisha kwata maelfu ya wa SA huku wakiwa wamevalia flana na kafia ya aina ya barret nyekundu. Ukiangalia kampeni zilivyokuwa zikienda ni dhahiri utaona Malema na EFF wanakwenda kushinda uchagu huu.

Kinyume na matarajio ya wengi chama cha EFF kina kura 400000+ tu. Huku kikiwa nyuma ya kile cha DA na MK cha Comred Zuma.

Julius malema na EFF mpaka sasa walichopata na nguvu kubwa walizoonyesha kwenye kampeni hazifanani na kile walichopata. 8% ya kura zote zilizohesabiwa zinaashiria mwisho mbaya. Hii itakuwa ni fedheha na aibu kubwa kwa chama cha EFF.

Mpaka sasa ANC inaongoza kwa 42%, DA 18%, MK 8% na EFF 8%

Kura zote zilizohesabiwa ni kama kura 3m

PIA SOMA
- Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira
Kujaa kwa watu kwenye mikutano sio uhakika wa ushindi ingekuwa ni kule nchini mzizima ungesikia tumeibiwa wapiga kura wamezuiwa!
 
Upigaji kura ulimalizika jana tarehe 29.05.2024. Zoezi linaloendelea sasa ni uhesabuji wa kura.

Wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya 27m. Watu walijitokeza kwa wingi kupiga kura. kulikuwa na utitiri wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi huu.

ANC, EFF, DA na MK hivi vikiwa ndio vyama vinavyowania kupata viti vingi vya ubunge ili kupata ridhaa ya kuunda serekali.

Kwangu Mimi, nilifurashwa na kupendezwa na campagne cha chama cha EFF cha Julias Malema. Kampeni zilikuwa za moto. Malema aliwapigisha kwata maelfu ya wa SA huku wakiwa wamevalia flana na kafia ya aina ya barret nyekundu. Ukiangalia kampeni zilivyokuwa zikienda ni dhahiri utaona Malema na EFF wanakwenda kushinda uchagu huu.

Kinyume na matarajio ya wengi chama cha EFF kina kura 400000+ tu. Huku kikiwa nyuma ya kile cha DA na MK cha Comred Zuma.

Julius malema na EFF mpaka sasa walichopata na nguvu kubwa walizoonyesha kwenye kampeni hazifanani na kile walichopata. 8% ya kura zote zilizohesabiwa zinaashiria mwisho mbaya. Hii itakuwa ni fedheha na aibu kubwa kwa chama cha EFF.

Mpaka sasa ANC inaongoza kwa 42%, DA 18%, MK 8% na EFF 8%

Kura zote zilizohesabiwa ni kama kura 3m

PIA SOMA
- Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira
Najaribu kufikiri sababu kwanini wananchi wamemkataa , huwa namuona kama ana hoja ingawa anakuwa "mkatili" kwa wageni na ardhi. Unnafikiri kwanini amekataliwa
 
Malema kitambo nilimkubali ila alipoanza kuiponda Israel nikatambua ni liipumbavu. Get him lost
Vipi Mandela na Nyerere mbona unawapenda na waliichukia Israel wazi wazi? Hakuna mtu timamu ana support ukoloni unaofanyika Palestine
 
Najaribu kufikiri sababu kwanini wananchi wamemkataa , huwa namuona kama ana hoja ingawa anakuwa "mkatili" kwa wageni na ardhi. Unnafikiri kwanini amekataliwa
Honestly sijajua ni nini kimepelekea EFF kupata idadi ndogo ya kura kuliko matarajio ya wengi.
Ila nitafurahi kama ANC watakosa viti vya kutosha kuunda serekali.
 
Upigaji kura ulimalizika jana tarehe 29.05.2024. Zoezi linaloendelea sasa ni uhesabuji wa kura.

Wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya 27m. Watu walijitokeza kwa wingi kupiga kura. kulikuwa na utitiri wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi huu.

ANC, EFF, DA na MK hivi vikiwa ndio vyama vinavyowania kupata viti vingi vya ubunge ili kupata ridhaa ya kuunda serekali.

Kwangu Mimi, nilifurashwa na kupendezwa na campagne cha chama cha EFF cha Julias Malema. Kampeni zilikuwa za moto. Malema aliwapigisha kwata maelfu ya wa SA huku wakiwa wamevalia flana na kafia ya aina ya barret nyekundu. Ukiangalia kampeni zilivyokuwa zikienda ni dhahiri utaona Malema na EFF wanakwenda kushinda uchagu huu.

Kinyume na matarajio ya wengi chama cha EFF kina kura 400000+ tu. Huku kikiwa nyuma ya kile cha DA na MK cha Comred Zuma.

Julius malema na EFF mpaka sasa walichopata na nguvu kubwa walizoonyesha kwenye kampeni hazifanani na kile walichopata. 8% ya kura zote zilizohesabiwa zinaashiria mwisho mbaya. Hii itakuwa ni fedheha na aibu kubwa kwa chama cha EFF.

Mpaka sasa ANC inaongoza kwa 42%, DA 18%, MK 8% na EFF 8%

Kura zote zilizohesabiwa ni kama kura 3m

PIA SOMA
- Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira
Hadi DA chama cha kibaguzi kinafanya vizuri kuliko EFF? Tatizo Malema hujuaji mwingi, madharau, kiburi, kujiona na misifa.
 
1717145736466.png
 
Upigaji kura ulimalizika jana tarehe 29.05.2024. Zoezi linaloendelea sasa ni uhesabuji wa kura.

Wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya 27m. Watu walijitokeza kwa wingi kupiga kura. kulikuwa na utitiri wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi huu.

ANC, EFF, DA na MK hivi vikiwa ndio vyama vinavyowania kupata viti vingi vya ubunge ili kupata ridhaa ya kuunda serekali.

Kwangu Mimi, nilifurashwa na kupendezwa na campagne cha chama cha EFF cha Julias Malema. Kampeni zilikuwa za moto. Malema aliwapigisha kwata maelfu ya wa SA huku wakiwa wamevalia flana na kafia ya aina ya barret nyekundu. Ukiangalia kampeni zilivyokuwa zikienda ni dhahiri utaona Malema na EFF wanakwenda kushinda uchagu huu.

Kinyume na matarajio ya wengi chama cha EFF kina kura 400000+ tu. Huku kikiwa nyuma ya kile cha DA na MK cha Comred Zuma.

Julius malema na EFF mpaka sasa walichopata na nguvu kubwa walizoonyesha kwenye kampeni hazifanani na kile walichopata. 8% ya kura zote zilizohesabiwa zinaashiria mwisho mbaya. Hii itakuwa ni fedheha na aibu kubwa kwa chama cha EFF.

Mpaka sasa ANC inaongoza kwa 42%, DA 18%, MK 8% na EFF 8%

Kura zote zilizohesabiwa ni kama kura 3m

PIA SOMA
- Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira
EFF kitakua kinapigwa Pini ndani na nje ya A.kusin. ni ngumu mabeberu kuruhusu itikadi Kali za kiafrika kama zile zitawale. Watapoteza vingi
 
Back
Top Bottom