Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira

Uchaguzi Mkuu Afrika Kusini: Upigaji Kura umeanza leo, 32% ya Wananchi hawana Ajira

Mbona hizo races sijazielewa je, hao coloured na hao blacks ni race mbili tofauti? Naomba ufafanuzi Kwa mwenye uelewa.
 
Mbona hizo races sijazielewa je, hao coloured na hao blacks ni race mbili tofauti? Naomba ufafanuzi Kwa mwenye uelewa.
Hao coloured ni machotara wa Kiafrika (Afrikaans). Wana mchanganyiko wa rangi kati ya Mwafrika mweusi na jamii zingine (Europeans, Asians n.k.).
 
Wasauzi wameichoka ANC kama watz tulivyoichoka CCM, chama kimeoza.

Tanzania tulichokosa ni chama pinzani cha kueleweka, Hawa Chadema wakipata madaraka wanaweka uongozi wa majimbo kama Kenya na Nigeira, yani kila jimbo liwe na kaserikali kanajitegemea, Hii italeta Ukabila na udini na hata vita kwa majimbo yatayotaka yawe nchi huru.
Huenda wewe mwenyewe ndiye ambaye umekosa "chama pinzani cha kueleweka" ndani ya Tanzania.

Usigeuze maoni yako binafsi kuwa ndio mawazo ama msimamo wa Watanzania wote.
 
Wasauzi wameichoka ANC kama watz tulivyoichoka CCM, chama kimeoza.

Tanzania tulichokosa ni chama pinzani cha kueleweka, Hawa Chadema wakipata madaraka wanaweka uongozi wa majimbo kama Kenya na Nigeira, yani kila jimbo liwe na kaserikali kanajitegemea, Hii italeta Ukabila na udini na hata vita kwa majimbo yatayotaka yawe nchi huru.
Ukabila,udini hizo propaganda za kisiasa ukitaka kuendelea kwa jambo lolote just try something different na sio nadharia.Ukifikiria safari ya Christopher Columbus kutoka ulaya kwenda united States of America kuvuka bahari ya Atlantic kwa kutumia mtumbwi angekuwa anawaza , dhoruba,mvua upepo ,mawambi tusingekuwa na marekani ili tuendee let's us take a risk.
 
Back
Top Bottom