kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Huu ni uchaguzi mkuu jf ambapo tutampendekeza mtu kwa kumtaja kwa kupjga kura. atakayependekezwa zaidi kwa kushika nafasi ya kwanza na ya pili ndio watakua wagombea rasmi humu Na kura ya mapendekezo itapigwa hapahapa kwa kucomment jina la mwana jf unayempendekeza
Mwisho wa kupiga kura ya mapendekezo ni kesho jumatano tar 28 saa 10 kamili jioni na atakayepiga kura baada baada ya hapo itakua batili
Atakayepiga mara mbili ni kosa
Na wagombea hawa wawili watateua makamu wao wagombee pamoja ambapo watateua kiongozi wa kila jukwa ama mwakilishi
Lengo ni kuleta umoja na mshikamano wetu wanajf
Long live jamiiforums
Mwisho wa kupiga kura ya mapendekezo ni kesho jumatano tar 28 saa 10 kamili jioni na atakayepiga kura baada baada ya hapo itakua batili
Atakayepiga mara mbili ni kosa
Na wagombea hawa wawili watateua makamu wao wagombee pamoja ambapo watateua kiongozi wa kila jukwa ama mwakilishi
Lengo ni kuleta umoja na mshikamano wetu wanajf
Long live jamiiforums