Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafaa sana,ndio maana atagombea kupitia CCM-2020Membe hafai tena?
Naona sijaeleweka, Tukiachana na suala la ushoga; je Ni halali kumuchangua mtu anaetangaza Nia ya kugombea urais Tanzania huku akiwa Ubelgiji?Miaka ya 99 kurudi nyuma wabunge wa jinsia ya kiume walikuwa wanapanga guest chumba kimoja hapa dodoma.
Ndipo ilipozaliwa hakuna watu wa jinsia moja kulala chumba kimoja.
Hamna haja, usiwwchague mkuu.Moja ya sababu kubwa ya kuangusha utawala huu wa CCM ni hili la kuleta kwa hati ya dharula muswaada was marekebisho ya sheria ili kuongeza wigo wa viongozi wavunja sheria na Katiba kutoshtakiwa.
Hivi mtenda haki na mlinzi wa Katiba aliye APA kuilinda anawezaje kujiwekea kinga ya kuvunja sheria? Anaogopa nini hasa kama anaheshimu kiapo chake?
Hayo ni maandalizi ya kuandaa mpango wa kuvunja Katiba na sheria na VIONGOZI WA NAMNA HIYO HAWATUFAI.
Ni makosa makubwa sana kumkaribisha nyumbani mwizi anayekuambia kabisa kuwa anajiandaa kukuibia na anaandaa namna ambayo huta mshitaki.
"Katika uchaguzi huu Kuna haja ya kuchagua watu wanao support ushoga?"
"Katika uchaguzi huu Kuna haja ya kuchagua watu wanaotangaza Nia ya kugombea urais wa Tanzania huku wakiishi ulaya(kwa mabeberu)?"
Kwahiyo huyo mbeligiji anaeteteaga ushoga na kumubiri Rais wetu huko nje kwa mabaya ndo anaona mbali na ku think out of the box?Ninasema siku zote, kuna baadhi ya watu ni aibu kujitambulisha kuwa ni waTanzania. Wewe ni mmoja wao!!
Hivi kweli ushoga ni issue kubwa kwa jamii yako kuliko haki zako zitakazochukuliwa?? Una haki ya kutomchagua aliyetangaza kugombea kutoka ughaibuni. Na haki kama hiyo anayo mwingine pia. Sijui hata kama unafahamu haki ni nini.
Na huenda huna hata uwezo wa kuwaza kingine chochote isipokuwa kukwepa ushoga, kuvuka barabara, kuoga nk. Tanzania inahitaji watu wanaowaza mambo makubwa!!
Think Big and outside the box, bro!