Uchaguzi mkuu mwaka huu, tutegemee tena ya Magufuli na uuaji wa demokrasia?

Uchaguzi mkuu mwaka huu, tutegemee tena ya Magufuli na uuaji wa demokrasia?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Japo alipitishwa na chama kugombea nafasi ya urais baada ya marehemu Edward Lowassa na Bernard Membe kuvurugana, angalau alipitishwa kiushindani na demokrasia ndani ya chama. Kwa namna CCM ilivyotengeneza mzengwe na kumpitisha Samia Suluhu Hassan na Emanuel Nchimbi, kuna uwezekano uchaguzi ujao ukawa na rafu mbaya kuliko ule wa mwaka 2020.

Je tutegemee uchakachuaji mkubwa kuliko ule wa 2020? Je CCM wameogopa nini? Je kweli Samia anakubalika au mambo ni vinginevyo kiasi cha kulazimisha kupitishwa bila kupingwa? Je waliokuwa wakitegemea kumenyana naye watafanya nini? Je tutegemee mmeguko wa machawa?
 
Japo alipitishwa na chama kugombea nafasi ya urais baada ya marehemu Edward Lowassa na Bernard Membe kuvurugana, angalau alipitishwa kiushindani na demokrasia ndani ya chama. Kwa namna CCM ilivyotengeneza mzengwe na kumpitisha Samia Suluhu Hassan na Emanuel Nchimbi, kuna uwezekano uchaguzi ujao ukawa na rafu mbaya kuliko ule wa mwaka 2020.

Je tutegemee uchakachuaji mkubwa kuliko ule wa 2020? Je CCM wameogopa nini? Je kweli Samia anakubalika au mambo ni vinginevyo kiasi cha kulazimisha kupitishwa bila kupingwa? Je waliokuwa wakitegemea kumenyana naye watafanya nini? Je tutegemee mmeguko wa machawa?
Dalili za mvua ni mawingu,
 
Back
Top Bottom