Uchaguzi 2020 Uchaguzi mkuu Oktoba hu waja

Uchaguzi 2020 Uchaguzi mkuu Oktoba hu waja

neema shamuhenya

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
312
Reaction score
216
Jamani Tujipange kwa Kumpigia kura Rais wetu JOHN MAGUFULI, tusikubali kupoteza Kura zetu huyu ni Rais Mchapa kazi na Mtetezi wa Wanyonge atarudi tena kwa kishindo kikubwa Oktoba, 2020.

Tukumbushane kidogo baadhi ya Mambo au Miradi inayotekelezwa au iliyotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano: Shule bure, Hostel za Chuo Kikuu UDSM, Ufufuzi wa Shirika la Ndege Tanzania ATCL, Kukomesha Rushwa, Kupambana na Mafisadi na Wahujumu Uchumi, Upanuzi wa Barabara ya Morocco Dar Es Salaam, Ujenzi wa Barabara za Juu za TAZARA na ya Ubungo itakayokamilika hivi karibuni, Hostel za Maaskari Magereza, Kuboresha Huduma za Afya Vijijini na Mijini, Kufufua Reli, Mradi wa Reli ya Kisasa SGR, Ununuzi wa Ndege, Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere utakaotoa Mw 2115 n.k.


TUSIPOTEZE KURA ZETU MAGUFULI ANATOSHA
 
Hao wahujumu uchumi ni kina nani? Ni wale kina Titto wanaoozea mahabusu?
 
Kwani umekatazwa kampigie
Wafugaji wote tumemkataa. Kwa nini kawaambia wakulima eti watupandishie bei ya vyakula ghafi? Wafanyakazi hatumtaki. Kwa nini kwa miaka 5 hakutupandisha madaraja wala nyongeza ya mishahara? Vijana hatumtaki. Kwanini tulimaliza elimu ya chuo kikuu na hatukupata ajira kwa miaka 5? Huku kijijini ndo kabisa hatumtaki. Kwa nini aliahidi kugawa milioni 50 kila kijiji na hakutupatia? Wallahi labda atupe milioni zetu la sivyo hatumpi kura zetu ng'o!!!!
 
Kuna uchaguzi au tume ya uchaguzi na polisi!!!
 
Uwepo wa ccm madarakani ni kiashiria kukubwa cha ujinga wa wa Tanganyika. Ni upuuzi kuwa na chama kama ccm alafu jitu lipo linaisifia pambafu sana
 
Wafugaji wote tumemkataa. Kwa nini kawaambia wakulima eti watupandishie bei ya vyakula ghafi? Wafanyakazi hatumtaki. Kwa nini kwa miaka 5 hakutupandisha madaraja wala nyongeza ya mishahara? Vijana hatumtaki. Kwanini tulimaliza elimu ya chuo kikuu na hatukupata ajira kwa miaka 5? Huku kijijini ndo kabisa hatumtaki. Kwa nini aliahidi kugawa milioni 50 kila kijiji na hakutupatia? Wallahi labda atupe milioni zetu la sivyo hatumpi kura zetu ng'o!!!!
Kwa watu wenye kujitambua, Jiwe alikuwa harudi, lkn kwa Tanzania, sina imani kama hao uliowataja wanajua lolote!
 
Jamani Tujipange kwa Kumpigia kura Rais wetu JOHN MAGUFULI, tusikubali kupoteza Kura zetu huyu ni Rais Mchapa kazi na Mtetezi wa Wanyonge atarudi tena kwa kishindo kikubwa Oktoba, 2020.

Tukumbushane kidogo baadhi ya Mambo au Miradi inayotekelezwa au iliyotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano: Shule bure, Hostel za Chuo Kikuu UDSM, Ufufuzi wa Shirika la Ndege Tanzania ATCL, Kukomesha Rushwa, Kupambana na Mafisadi na Wahujumu Uchumi, Upanuzi wa Barabara ya Morocco Dar Es Salaam, Ujenzi wa Barabara za Juu za TAZARA na ya Ubungo itakayokamilika hivi karibuni, Hostel za Maaskari Magereza, Kuboresha Huduma za Afya Vijijini na Mijini, Kufufua Reli, Mradi wa Reli ya Kisasa SGR, Ununuzi wa Ndege, Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere utakaotoa Mw 2115 n.k.


TUSIPOTEZE KURA ZETU MAGUFULI ANATOSHA
Hayo yote yamefanywa na watanzania hata kama asingekuwepo yangefanyika tena vizuri zaidi. Mfano tunatupa matrilioni kujenga SGR ya njia moja (single line railway) mwaka 2020!? Mkoloni alijenga reli ya njia moja Tanganyika mwaka 1910 kwani wakati huo kulikuwa hakuna zaidi ya watu 2.5m Tz yote na lengo lillikuwa kusafirisha malighafi. Leo tuna watu 60m tunajenga reli ya njia moja?!!! Hujui mambo dada.
 
Hayo yote yamefanywa na watanzania hata kama asingekuwepo yangefanyika tena vizuri zaidi. Mfano tunatupa matrilioni kujenga SGR ya njia moja (single line railway) mwaka 2020!? Mkoloni alijenga reli ya njia moja Tanganyika mwaka 1910 kwani wakati huo kulikuwa hakuna zaidi ya watu 2.5m Tz yote na lengo lillikuwa kusafirisha malighafi. Leo tuna watu 60m tunajenga reli ya njia moja?!!! Hujui mambo dada.

Sasa hiyo njia moja ina impact gani katika kuendesha usafiri ambao unatarajiwa? Je, itapunguza au kuongeza mafanikio? Mkuu umeona report yakinifu ya huo mradi? Tupatie advantages na disadvantages ya huu mradi kama unazo. Tupatie vile vile solutions ambazo wewe unafikiri zingekuwa nzuri zaidi? What are the CBA if you have ya mradi unaopendekeza/uliokuwa unaona unafaa?
 
Sasa hiyo njia moja ina impact gani katika kuendesha usafiri ambao unatarajiwa? Je, itapunguza au kuongeza mafanikio? Mkuu umeona report yakinifu ya huo mradi? Tupatie advantages na disadvantages ya huu mradi kama unazo. Tupatie vile vile solutions ambazo wewe unafikiri zingekuwa nzuri zaidi? What are the CBA if you have ya mradi unaopendekeza/uliokuwa unaona unafaa?
Ukiwa na reli ya njia moja mfano kutoka Dar-Moro utakuwa na trafic kubwa sana ya treni kwani inabidi treni inayotoka Dar isubiri kituoni ili kupishana na treni inayotoka Moro. Hapo kunakuwa na kupoteza muda. Hata kama wanasema ni treni ya umeme na ina kasi ya 160km/h tutujikuta tunatumia muda mrefu kusafiri kati ya D and M. Hivyo hatutafaidi kamwe treni ya mwendo kasi kwani tumejenga miundombinu mibovu inayo tulimit, hivyo utashangaa watu wanachagua kusafiri kwa basi kama kawaida. Ona jinsi basi za mwendokasi zilivyo kero Dar. Unajua kwanini?

Kwa trafic load yenye tija na mwendo kasi wa treli unapaswa kujenga two-way track railway ambapo treni zinapishana kama magari popote sio kituoni pekee.

Kwa hiyo kwa SGR yetu ya kishamba tayari tushamwaga unga wa maskini. Hakuna advantage yoyote ya makosa haya ni hasara tupu.
 
Ukiwa na reli ya njia moja mfano kutoka Dar-Moro utakuwa na trafic kubwa sana ya treni kwani inabidi treni inayotoka Dar isubiri kituoni ili kupishana na treni inayotoka Moro. Hapo kunakuwa na kupoteza muda. Hata kama wanasema ni treni ya umeme na ina kasi ya 160km/h tutujikuta tunatumia muda mrefu kusafiri kati ya D and M. Hivyo hatutafaidi kamwe treni ya mwendo kasi kwani tumejenga miundombinu mibovu inayo tulimit, hivyo utashangaa watu wanachagua kusafiri kwa basi kama kawaida. Ona jinsi basi za mwendokasi zilivyo kero Dar. Unajua kwanini?

Kwa trafic load yenye tija na mwendo kasi wa treli unapaswa kujenga two-way track railway ambapo treni zinapishana kama magari popote sio kituoni pekee.

Kwa hiyo kwa SGR yetu ya kishamba tayari tushamwaga unga wa maskini. Hakuna advantage yoyote ya makosa haya ni hasara tupu.

Mkuu jibu maswali wacha alinacha. The detailed questions are specific, you do not need to beat around the bush.
 
Mkuu jibu maswali wacha alinacha. The detailed questions are specific, you do not need to beat around the bush.
You should not expect swift answers for a bogus project, which parts specifically remain?
 
Back
Top Bottom