Bensoy
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 576
- 622
Wabongo bhana..ushadanganywa na kuhukumu tayar..tumia akil zakuambiwa weke pembeniShaffih Dauda anajiharibia sana na sijui ni kwanini hataki ' kutosheka ' na alichonacho. Hii si dalili njema Kwake hata kidogo na tayari ' Credibility ' yako itaanza kushuka. Mimi ninavyojua ni kwamba Mtu yoyote aliye ' smart ' hasa ' upstairs ' hawezi kutaka kujihusisha na masuala ya ' Soka ' hasa hili la Tanzania ' lililolaaniwa ' Kitambo na Mzee wetu Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ally Hassan Mwinyi.
Sent using Jamii Forums mobile app