Uchaguzi mkuu TFF,Shaffih Dauda adakwa na takukuru kwa rushwa!

Wabongo bhana..ushadanganywa na kuhukumu tayar..tumia akil zakuambiwa weke pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupa jela wezi wala rushwa hawa
Ndio wanaorudisha nyuma soka letu hawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndondo Cup inahusianaje na rushwa? Hao takukuru wanatapatapa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikia utetezi wake utajua kwamba sio yule Shaffii Dauda unayemfahamu. Eti alikwenda Mwanza kwenye maandalizi yaNdondo Cup kwa Jiji la Mwanza. Hivi MRFA hawana ofisi mpaka kikao kifanyike hotelini? Hivi yule mpiga kura wa Shinyanga na Mbeya wanahusika nini na Ndondo ya Mwanza?
 

Nimeshamdharau japo hapo mwanzo nilikuwa namuheshimu.
 
jamaa si mstaarabu,kalimwaga povu si la kawaida kwenye blog ya saleh,kisa kuandikwa kukamatwa kwake!yan alitaka tusihabarishwe km katoa rushwa!jamaa boya sana
 
jamaa si mstaarabu,kalimwaga povu si la kawaida kwenye blog ya saleh,kisa kuandikwa kukamatwa kwake!yan alitaka tusihabarishwe km katoa rushwa!jamaa boya sana
Alafu mbona jamaa anatoa povu?na istoshe Saleh Ally ni mshikaji wake kiaina why asimpigie simu?mpaka aweke kwenye social media?
Napata picha kwamba Ni kweli alitaka Ku.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…