Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,898
- 5,020
Yale yale ya Tz! Pure african countries.Mabox kadhaa yamekamatwa yakiwa na kura ziizopigwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale yale ya Tz! Pure african countries.Mabox kadhaa yamekamatwa yakiwa na kura ziizopigwa....
acha utan mkuuNawatakia uchaguzi huru na wa haki.
Huu ni zaidi ya uhuni
Uganda ni kubwa zaidi ya robo ya TanzaniaWabunge 290 tuseme ni 300 tu kwa nchi ndogo kama Uganda!!!!!!! Yaani Tanzania pamoja na ukubwa wote bado watu tungependa tuwe na wabunge wachache, sasa najiuliza Uganda ingekuwa kubwa walau kufikia robo ya Tanzania tu si ingekuwa na wabunge zaidi ya 1000.
Sijaelewa hapa. !!!!???Uganda ni kubwa zaidi ya nusu ya Tanzania
jamaa anasema eti Uganda haifiki robo ya Tanzania kwa ukubwa, ndio nimemjibu hivyoSijaelewa hapa. !!!!???
Kama bongo tu.Hivi kwa nini hata wanajihangaisha na kupiga kura huko Uganda?
Sio kweli, uganda haifiki hata size ya mkoa wa tabora. Kenya yenyewe haijafika nusu ya Tanzania sembuse uganda.Uganda ni kubwa zaidi ya nusu ya Tanzania
kitu hicho hapo, hakifiki robo ya tz???Sio kweli, uganda haifiki hata size ya mkoa wa tabora. Kenya yenyewe haijafika nusu ya Tanzania sembuse uganda.
Mabox kadhaa yamekamatwa yakiwa na kura ziizopigwa....
acha utan mkuu
watu wameenda kupoteza mda tu rais kashajulikanaLOL!,...haki nimecheka!
Ni kwamba haiwezekani kabisa, ama!
lazima mkono upite.........yaleyalee!, I smell somen' fishy. Ka mkono wa mwafulani haujapita, siijui!
na wanasaidiana sana hasa katika ukanda huu wa jangwa la sahara.....Yale yale ya Tz! Pure african countries.