lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Miaka yote ya Uchaguzi Mkuu CCM huwa ni full list,full mashamsham,umoja,mshikamano na kuaminiana.
Lakini hii Ni kwa Mara ya kwanza CCM inaingia kwenye uchaguzi wakiwa na pengo la Hon BW Mkapa.
BK Membe akiwa sio mmoja wao.
Abdalaman kinana akiwa mpole kabisa.
Nape Nnauye sio yule wa 2010 na 2015.
January Makamba hajulikani alipo.
Mwigulu Nchemba kapooza.
Paulo Makonda akiwa Hana mamlaka yoyote.
Na wengine wengi hawajulikani walipo.
Wapinzani wakubwa wa CCM bara CDM waliokua wako kifungoni,kifungoni Cha kisiasa wanaonekana kupata nguvu kipindi Cha lala salama,au mda wa majeruhi,hii ni baada ya Ruturn Of Tundu Lissu.
Tundu Lissu anaonekana Ni Game Changer
Mkongwe Pekee anaetegemewa kuipigania CCM kwa jasho na damu Ni JM Kikwete.
Huyu Mzee anaetegemewa kubeba mikoba ya BW Mkapa.
Mkapa aliipigania CCM kwa jasho na damu,tunakumbuka hotuba zake za ama kufungua kampeni ama kufunga kampeni alivyokua akitoa hotuba za kuchoma wapinzani.
Je JM Kikwete ataweza kuvaa viatu vya Mkapa?
Mkapa aliitetea CCM kwa nguvu zake zote,kuanzia Zanzibar kwa Mzee Sheni Hadi Mwanza Jimbo la Nyamagana.
JM Kikwete ndio Rais mstaafu pekee mwenye ushawishi ndani ya CCM baada ya Mkapa.
Je ataweza kuziba pengo la Mkapa kipindi Cha kampeni,siku ya Uchaguzi na hata kufikia mda wa kutangaza matokeo?
Lakini hii Ni kwa Mara ya kwanza CCM inaingia kwenye uchaguzi wakiwa na pengo la Hon BW Mkapa.
BK Membe akiwa sio mmoja wao.
Abdalaman kinana akiwa mpole kabisa.
Nape Nnauye sio yule wa 2010 na 2015.
January Makamba hajulikani alipo.
Mwigulu Nchemba kapooza.
Paulo Makonda akiwa Hana mamlaka yoyote.
Na wengine wengi hawajulikani walipo.
Wapinzani wakubwa wa CCM bara CDM waliokua wako kifungoni,kifungoni Cha kisiasa wanaonekana kupata nguvu kipindi Cha lala salama,au mda wa majeruhi,hii ni baada ya Ruturn Of Tundu Lissu.
Tundu Lissu anaonekana Ni Game Changer
Mkongwe Pekee anaetegemewa kuipigania CCM kwa jasho na damu Ni JM Kikwete.
Huyu Mzee anaetegemewa kubeba mikoba ya BW Mkapa.
Mkapa aliipigania CCM kwa jasho na damu,tunakumbuka hotuba zake za ama kufungua kampeni ama kufunga kampeni alivyokua akitoa hotuba za kuchoma wapinzani.
Je JM Kikwete ataweza kuvaa viatu vya Mkapa?
Mkapa aliitetea CCM kwa nguvu zake zote,kuanzia Zanzibar kwa Mzee Sheni Hadi Mwanza Jimbo la Nyamagana.
JM Kikwete ndio Rais mstaafu pekee mwenye ushawishi ndani ya CCM baada ya Mkapa.
Je ataweza kuziba pengo la Mkapa kipindi Cha kampeni,siku ya Uchaguzi na hata kufikia mda wa kutangaza matokeo?