Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
Japo itaonekana ni kuvunja katiba lakini kuna sababu za msingi za kufanya hivyo.
Hivi bunge halioni kujadili hili suala na hatimae mahakama kupitia mwanasheria mkuu wa serikal naye akashirikishwa na hatimaye ikapitishwa kwa kauli moja ya kwamba uchaguzi wa Rais na Wabunge usiwepo kwaajili ya kuokoa gharama?
Binafsi ningeomba chama tawala kipeleke ombi mahakamani la kuondoa uchaguzi na mahakama iridhie hiki kitu kwa chama tawala kutoa sababu za msingi za kuahirisha huo uchaguzi kama;
-Kuokoa gaharama za uchaguzi ili kisudi zile pesa ambazo zingetumika kwaajili ya maandalizi ya uchaguzi zipelekwe kwenye miradi mingine.
-Hakuna chama kinachoweza kushindana na CCM kwa sasa,kwasababu vyama vya upinzani havina hoja za msingi za kuwashawishi wananchi au wapiga kura kiasi cha kuwanyima kura CCM hapi mwakani.
Ya kwangu ni hayo tu.
Maoni yaheshimiwe.
Hivi bunge halioni kujadili hili suala na hatimae mahakama kupitia mwanasheria mkuu wa serikal naye akashirikishwa na hatimaye ikapitishwa kwa kauli moja ya kwamba uchaguzi wa Rais na Wabunge usiwepo kwaajili ya kuokoa gharama?
Binafsi ningeomba chama tawala kipeleke ombi mahakamani la kuondoa uchaguzi na mahakama iridhie hiki kitu kwa chama tawala kutoa sababu za msingi za kuahirisha huo uchaguzi kama;
-Kuokoa gaharama za uchaguzi ili kisudi zile pesa ambazo zingetumika kwaajili ya maandalizi ya uchaguzi zipelekwe kwenye miradi mingine.
-Hakuna chama kinachoweza kushindana na CCM kwa sasa,kwasababu vyama vya upinzani havina hoja za msingi za kuwashawishi wananchi au wapiga kura kiasi cha kuwanyima kura CCM hapi mwakani.
Ya kwangu ni hayo tu.
Maoni yaheshimiwe.