Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 utafanyika kwa salama na amani bila kubadilisha aya, koma au nukta yoyote kwenye katiba au sheria ya uchaguzi Tanzania

Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 utafanyika kwa salama na amani bila kubadilisha aya, koma au nukta yoyote kwenye katiba au sheria ya uchaguzi Tanzania

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Uchaguzi wa kihistoria wa Tanzania utakao fanyika mapema oct.2025, utafanyika kwa uhuru, haki na uwazi kwa mujibu wa katiba na sheria za Taifa letu, na sio kwa makelele na upotoshaji wa wanasiasa wa vyama mbalimbali vya siasa nchini kwa niaba ya mabwenyenye ya Magharibi kupitia vibaraka wao eti kuielekeza Tanzania namna ya kuendesha uchaguzi.

Uchaguzi wa Tanzania utafanyika kwa salama na amani, na ni wito wangu kama mdau wa siasa nchini, kuwasihii waTanzania wenzangu kupuuza makelele, uzushi na uchochezi wa aina mbalimbali unaofanywa na wanasiasa wenye nia ovu dhidi ya umoja, amani na utangamano miongoni mwetu, huku familia na maslahi yao yakiwa ughaibuni kwa wanao wafadhili.

Hayupo mTanzania wa kudanganywa na kibaka wa siasa,
Ni muhimu wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa wingi zaidi, na kujitokeza kwa mamilioni yetu kupiga kura, ili hatimae tupate fursa ya kulidhibiti mdimo na makelele ya laghai na kibaraka wa ukoloni mambo leo kwenye sanduku la kura, Oktoba 2025.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Naona chawa wa mbowe sahani ya pilau imepasuliwa Sasa unatest mitambo upande wa pili
 
Utemi au vipi
no,
huo ndio ukweli gentleman,

tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria mwaka huu Oct. kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi iliyopo sasa kwa salama na amani, na bila kujali wala kubabaika kelele wala kubwekabweka kwa kibaka yeyote wa kisiasa nchini.

Tume huru ya Taifa ya uchaguzi, Sheria na katiba hii hii itatumika kuendesha uchaguzi wa 20230 na kuendelea bila mbambamba yoyote,

Zingatia ukweli huo, utakusaidia sana kuepukana na matapeli wa kisiasa gentleman 🐒
 
Naona chawa wa mbowe sahani ya pilau imepasuliwa Sasa unatest mitambo upande wa pili
Gentleman,
huna haja ya kupanic au kupata mihemko. Huo ndio ukweli.

kubabaika na vibaka wa kisiasa ni kujipotezea wakati tu, uchaguzi upo pale pale kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, kubwekabweka na mdomo hakuna maana yoyote 🐒
 
..Tume Huru ya uchaguzi haiepukiki.
Ni kweli kabisaa gentleman,
na ndio taasisi inayokamilisha maandalizi ya uchaguzi mkuu Oct 2025, na ndiyo itakayosimamia chaguzi nyingine zote zinazokuja mathalani 2030 na kuendelea,

Makelele na mdomo wa kibaka yeyote wa siasa za Tanzania haiwezi kubadili aya, nukta wala koma kwenye sheria za uchaguzi wala katiba ya nchi,

Tunakwenda kwenye uchaguzi mapema Oct bila mbambamba yoyote gentleman,

hili ninakuhakikishia without fear of contradictions 🐒
 
Kwa sasa hatujali kama KIJANI inapata asilimia 90 au 100 za kura ambazo ni za kimagumashi anyway.

Sasa hivi tuko concerned na namna ya kuwafanya wananchi waudharau, waupuuze Uchaguzi feki, na kuwadharau na kuwapuuza viongozi watakaotokana na uchafuzi huo.

Hilo likishafanikiwa itakuwa ni ground nzuri ya kulianzisha kitaa!.

Baada ya hapo KIJANI itake isitake italeta reforms tunazozitaka la sivyo nchi haitotawalika kirahisirahisi.
 
Kwa sasa hatujali kama KIJANI inapata asilimia 90 au 100 za kura ambazo ni za kimagumashi anyway.

Sasa hivi tuko concerned na namna ya kuwafanya wananchi waudharau, waupuuze Uchaguzi feki, na kuwadharau na kuwapuuza viongozi watakaotokana na uchafuzi huo.

Hilo likishafanikiwa itakuwa ni ground nzuri ya kulianzisha kitaa!.

Baada ya hapo KIJANI itake isitake italeta reforms tunazozitaka la sivyo nchi haitotawalika kirahisirahisi.
hizo dhana za kitapeli za kuwahadaa wenyewe ni useless na nonsense gentlena,

zingatia maelezo ya msingi kwenye hoja mahusus, bila kubabaika na upotoshaji wa vibaka wa siasa:NoGodNo:
 
Uchaguzi wa kihistoria wa Tanzania utakao fanyika mapema oct.2025, utafanyika kwa uhuru, haki na uwazi kwa mujibu wa katiba na sheria za Taifa letu, na sio kwa makelele na upotoshaji wa wanasiasa wa vyama mbalimbali vya siasa nchini kwa niaba ya mabwenyenye ya Magharibi kupitia vibaraka wao eti kuielekeza Tanzania namna ya kuendesha uchaguzi.

Uchaguzi wa Tanzania utafanyika kwa salama na amani, na ni wito wangu kama mdau wa siasa nchini, kuwasihii waTanzania wenzangu kupuuza makelele, uzushi na uchochezi wa aina mbalimbali unaofanywa na wanasiasa wenye nia ovu dhidi ya umoja, amani na utangamano miongoni mwetu, huku familia na maslahi yao yakiwa ughaibuni kwa wanao wafadhili.

Hayupo mTanzania wa kudanganywa na kibaka wa siasa,
Ni muhimu wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa wingi zaidi, na kujitokeza kwa mamilioni yetu kupiga kura, ili hatimae tupate fursa ya kulidhibiti mdimo na makelele ya laghai na kibaraka wa ukoloni mambo leo kwenye sanduku la kura, Oktoba 2025.

Mungu Ibariki Tanzania
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana
 
Kwa sasa hatujali kama KIJANI inapata asilimia 90 au 100 za kura ambazo ni za kimagumashi anyway.

Sasa hivi tuko concerned na namna ya kuwafanya wananchi waudharau, waupuuze Uchaguzi feki, na kuwadharau na kuwapuuza viongozi watakaotokana na uchafuzi huo.

Hilo likishafanikiwa itakuwa ni ground nzuri ya kulianzisha kitaa!.

Baada ya hapo KIJANI itake isitake italeta reforms tunazozitaka la sivyo nchi haitotawalika kirahisirahisi.
Kitaa hiki hiki kilichomuachia Mbowe na bintie waandamane peke yao?
 
Hivi huyu ndugu ni mtu wa mkoa gani
Uchaguzi wa kihistoria wa Tanzania utakao fanyika mapema oct.2025, utafanyika kwa uhuru, haki na uwazi kwa mujibu wa katiba na sheria za Taifa letu, na sio kwa makelele na upotoshaji wa wanasiasa wa vyama mbalimbali vya siasa nchini kwa niaba ya mabwenyenye ya Magharibi kupitia vibaraka wao eti kuielekeza Tanzania namna ya kuendesha uchaguzi.

Uchaguzi wa Tanzania utafanyika kwa salama na amani, na ni wito wangu kama mdau wa siasa nchini, kuwasihii waTanzania wenzangu kupuuza makelele, uzushi na uchochezi wa aina mbalimbali unaofanywa na wanasiasa wenye nia ovu dhidi ya umoja, amani na utangamano miongoni mwetu, huku familia na maslahi yao yakiwa ughaibuni kwa wanao wafadhili.

Hayupo mTanzania wa kudanganywa na kibaka wa siasa,
Ni muhimu wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa wingi zaidi, na kujitokeza kwa mamilioni yetu kupiga kura, ili hatimae tupate fursa ya kulidhibiti mdimo na makelele ya laghai na kibaraka wa ukoloni mambo leo kwenye sanduku la kura, Oktoba 2025.

Mungu Ibariki Tanzania
mbona uelewa wako una nipa wasi wasi sana yani hata vitu vya msingi unaweka ushabiki mbele 🙌🙌
 
Uchaguzi wa kihistoria wa Tanzania utakao fanyika mapema oct.2025, utafanyika kwa uhuru, haki na uwazi kwa mujibu wa katiba na sheria za Taifa letu, na sio kwa makelele na upotoshaji wa wanasiasa wa vyama mbalimbali vya siasa nchini kwa niaba ya mabwenyenye ya Magharibi kupitia vibaraka wao eti kuielekeza Tanzania namna ya kuendesha uchaguzi.

Uchaguzi wa Tanzania utafanyika kwa salama na amani, na ni wito wangu kama mdau wa siasa nchini, kuwasihii waTanzania wenzangu kupuuza makelele, uzushi na uchochezi wa aina mbalimbali unaofanywa na wanasiasa wenye nia ovu dhidi ya umoja, amani na utangamano miongoni mwetu, huku familia na maslahi yao yakiwa ughaibuni kwa wanao wafadhili.

Hayupo mTanzania wa kudanganywa na kibaka wa siasa,
Ni muhimu wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwa wingi zaidi, na kujitokeza kwa mamilioni yetu kupiga kura, ili hatimae tupate fursa ya kulidhibiti mdimo na makelele ya laghai na kibaraka wa ukoloni mambo leo kwenye sanduku la kura, Oktoba 2025.

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu, huko kwenu vipi? maana mmeanza kama kufukuzana.
 
Back
Top Bottom