wenye wasiwasi siku zote ni matapeli wenye imani haba gentleman,Hivi huyu ndugu ni mtu wa mkoa gani
mbona uelewa wako una nipa wasi wasi sana yani hata vitu vya msingi unaweka ushabiki mbele ππ
kwa hiyo huyu kibaraka na kibaka wa siasa ndio atayaanda vizuri right?Maandamano ya Mbowe yalikuwa bosheni ndiyo maana umma ukayapuuza.
Hayakuandaliwa vizuri na Mbowe mwenyewe alishapoteza ushawishi kwa umma.
Mkuu, ushindi huo wa kishindo upi huo? Huu wa MAAZIMIO YA KIKAO?Na ushindi wa kishindo wa CCM upo palepale.
Zimwi huyu siyo mtuno,
huo ndio ukweli gentleman,
tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria mwaka huu Oct. kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi iliyopo sasa kwa salama na amani, na bila kujali wala kubabaika kelele wala kubwekabweka kwa kibaka yeyote wa kisiasa nchini.
Tume huru ya Taifa ya uchaguzi, Sheria na katiba hii hii itatumika kuendesha uchaguzi wa 20230 na kuendelea bila mbambamba yoyote,
Zingatia ukweli huo, utakusaidia sana kuepukana na matapeli wa kisiasa gentleman π