GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ndio kashashinda. Tumpigie makofi tafadhali[emoji122][emoji122][emoji122]Mangungu akishinda nipo nimekaa pale
Machawa kazini.Nakushuri hamasisha vijana wenzako kesho kura nyingi Kwa Mangungu tujenge Simba yetu[emoji123]
Nami naamini Ustaadh Murtaza Mangungu atashinda. Kuwa Wakili Msomi sio kigezo pekee cha uongozi. Bora ungetwambia kama ana sifa nyingine ya ziada.Hizi lugha za matusi hazitakusaidia kitu. Mangungu ndio mwenyekiti wako kama unaumia pole sana ndugu yangu
Nadhan ww ndo Mangungu mwenyewe maana siyo kwa hiyo speedHizi lugha za matusi hazitakusaidia kitu. Mangungu ndio mwenyekiti wako kama unaumia pole sana ndugu yangu
Kwasababu wamewaona mbumbumbu ndiyo maana wamewaletea Manzoki jana eti Kuna mgombea anamtumia kama kampeni,vilabu vyetu vina wajinga wengi sana ndiyo maana jana unaona mambumbu yanashangilia kumuona mchezaji wa timu nyingine,huu ni zaidi ya Uzuzu.......... wengine wanashangilia Bus la Timu....... yaani kutawala wajinga ni rahisi sana.Akichaguliwa Advocate Moses Kalua nitawaona wana akili, ila akichaguliwa tu Msaliti Murtaza Mangungu nitaamini rasmi na kweli kuwa sisi wana Simba SC ni mbumbumbu (yaani hatuna akili) kabisa.
Haya kazi Kwenu wapiga kura kesho.
sasa ushamharibia huyo wakili unayemtakaAkichaguliwa Advocate Moses Kalua nitawaona wana akili, ila akichaguliwa tu Msaliti Murtaza Mangungu nitaamini rasmi na kweli kuwa sisi wana Simba SC ni mbumbumbu (yaani hatuna akili) kabisa.
Haya kazi Kwenu wapiga kura kesho.
Ila Tanzania tumezidi kwani kila idara inaongozwa na watu wa hovyo sanaHuu uchaguzi ushaamuliwa bwana Genta hii nchi I mean Dunia nzima inakua run na watu wa hovyo Sana
Kama kawaida yakeNdugu yangu Genta ushakula umeme tayari? Au unaigiza kufa??
wewe ni wa kupelekwa moja kwa moja ICUAkichaguliwa Advocate Moses Kalua nitawaona wana akili, ila akichaguliwa tu Msaliti Murtaza Mangungu nitaamini rasmi na kweli kuwa sisi wana Simba SC ni mbumbumbu (yaani hatuna akili) kabisa.
Haya kazi Kwenu wapiga kura kesho.
Vijana Wengi wa Simba,ni wapiga kelele tu,hawana kadi za uanachamaNakushuri hamasisha vijana wenzako kesho kura nyingi Kwa Mangungu tujenge Simba yetu[emoji123]