Maoni yangu,tumchague mtu mwadilifu,mtu yule ambaye eao wenyewe walimtangaza kuwa ni mwizi,hazards za bunge zinawaonyesha wakikandia kuwa lws ni mwizi,fisadi,leo uadilifu wake unapimwa kwa mizani gani! Tangu ujana wake enzi za Sokoine,mtu huyo hana uadilifu,wanaopisha wajaribu kumoitisha,mkijajuta kesho msinifuate kuniuliza.