Etugrul Bey JF-Expert Member Joined Aug 6, 2020 Posts 6,514 Reaction score 15,247 Jan 22, 2025 Thread starter #21 Kakumamoto said: FAM alikua anang'ang'ania lakini ameruhusu demokrasia ichukue mkondo wake. Uchaguzi huru na wa haki, kashindwa na kakubali matokeo, kakaa pembeni. Hutaki apongezwe kwa hilo?! Click to expand... Huwezi kusema karuhusu ila mazingira ndio yalitaka iwe hivyo,ili uchaguzi uwe wa haki na kuondoa sintofahamu ilibidi iwe hivyo na hilo sio la FAM
Kakumamoto said: FAM alikua anang'ang'ania lakini ameruhusu demokrasia ichukue mkondo wake. Uchaguzi huru na wa haki, kashindwa na kakubali matokeo, kakaa pembeni. Hutaki apongezwe kwa hilo?! Click to expand... Huwezi kusema karuhusu ila mazingira ndio yalitaka iwe hivyo,ili uchaguzi uwe wa haki na kuondoa sintofahamu ilibidi iwe hivyo na hilo sio la FAM