Uchaguzi Mwenyekiti CHADEMA ni aibu na Demokrasia kwa wakati mmoja

FAM alikua anang'ang'ania lakini ameruhusu demokrasia ichukue mkondo wake. Uchaguzi huru na wa haki, kashindwa na kakubali matokeo, kakaa pembeni. Hutaki apongezwe kwa hilo?!
Huwezi kusema karuhusu ila mazingira ndio yalitaka iwe hivyo,ili uchaguzi uwe wa haki na kuondoa sintofahamu ilibidi iwe hivyo na hilo sio la FAM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…