Uchaguzi 2020 Uchaguzi ndani ya CHADEMA unahitaji umakini mkubwa na hili litaacha makovu yanayohitaji uvumilivu mkubwa kwa ustawi wa chama

Uchaguzi 2020 Uchaguzi ndani ya CHADEMA unahitaji umakini mkubwa na hili litaacha makovu yanayohitaji uvumilivu mkubwa kwa ustawi wa chama

Joined
Nov 27, 2019
Posts
27
Reaction score
18
Katika hali ya siasa inayoendelea nchini, tunahitaji viongozi makini na walio tayari hata kufa kwajili ya chama, Leo sitaabdika mengi ila nitatoa mtazamo wangu katika ngazi za uongozi kitaifa.

Halimashauri kuu ni eneo ambalo bado Mbowe anahitajika sana akisaidiwa na watu makini kama Lisu, Heche, mnyika, Lema nk

Bavicha inahitaji watu makini kuliko wakati wote, tunahitaji vijana majasiri wenye usubutu ili kuvuka salama, hapa nawaona watu kama Tito Kitarika, Mdude Nyagali, Mathew Ndagile na Moses Mawazo ni watu makini sana

Bawacha ni nguzo inayohitaji watu makini kama Mdee, Matiko,Hilda Newton nk
Nitaeleza wakati mwingine juu ya hawa watu niliowataji humu haswa wale wanaoonekana ni wageni katika macho yenu.
 
WATU MAKINI? CHADEMA?

Watu walio makini hawatabaki CHADEMA katika hali yake ya sasa. CHADEMA kikiendelea kuendeshwa kama mali ya mtu binasfi badala ya kuendeshwa ki-Taasisi hakuna mtu makini atakayesalia huko. Dalili zinaonesha kiongozi wa CHADEMA kang'ang'ania usukani.
 
WATU MAKINI? CHADEMA?

Watu walio makini hawatabaki CDM katika hali yake ya sasa. CDM kikiendelea kuendeshwa kama mali ya mtu binasfi badala ya kuendeshwa ki-Taasisi hakuna mtu makini atakayesalia huko. Dalili zinaonesha kiongozi wa CDM kang'ang'ania usukani.
Watu makini wataendelea kubaki Chadema hilo halina shaka, hakuna aliyengangania madarakani ila ataongoza atakayechaguliwa na wengi no matter ni awamu ya ngapi ccm punguzeni woga, na kutokana na hizi kelele zenu ni muda sahihi was Mbowe kuendelea tena, cyo cyo muda wa kuwaletea watu kama Lipumba na Mrema.
 
Watu makini wataendelea kubaki Chadema hilo halina shaka, hakuna aliyengangania madarakani ila ataongoza atakayechaguliwa na wengi no matter ni awamu ya ngapi ccm punguzeni woga, na kutokana na hizi kelele zenu ni muda sahihi was Mbowe kuendelea tena, cyo cyo muda wa kuwaletea watu kama Lipumba na Mrema.

Chaguo ni lenu; msijewalaumu wengine kwa uamuzi wenu wenyewe.
 
WATU MAKINI? CHADEMA?

Watu walio makini hawatabaki CDM katika hali yake ya sasa. CDM kikiendelea kuendeshwa kama mali ya mtu binasfi badala ya kuendeshwa ki-Taasisi hakuna mtu makini atakayesalia huko. Dalili zinaonesha kiongozi wa CDM kang'ang'ania usukani.
Kwahiyo watu makini ni wanaohamia ccm? Wonderful!
 
Sasa unaongea
Katika hali ya siasa inayoendelea nchini, tunahitaji viongozi makini na walio tayari hata kufa kwajili ya chama, Leo sitaabdika mengi ila nitatoa mtazamo wangu katika ngazi za uongozi kitaifa.

Halimashauri kuu ni eneo ambalo bado Mbowe anahitajika sana akisaidiwa na watu makini kama Lisu, Heche, mnyika, Lema nk

Bavicha inahitaji watu makini kuliko wakati wote, tunahitaji vijana majasiri wenye usubutu ili kuvuka salama, hapa nawaona watu kama Tito Kitarika, Mdude Nyagali, Mathew Ndagile na Moses Mawazo ni watu makini sana

Bawacha ni nguzo inayohitaji watu makini kama Mdee, Matiko,Hilda Newton nk.
Nitaeleza wakati mwingine juu ya hawa watu niliowataji humu haswa wale wanaoonekana ni wageni katika macho yenu.
 
Msalimie Mh Waitara
WATU MAKINI? CHADEMA?

Watu walio makini hawatabaki CDM katika hali yake ya sasa. CDM kikiendelea kuendeshwa kama mali ya mtu binasfi badala ya kuendeshwa ki-Taasisi hakuna mtu makini atakayesalia huko. Dalili zinaonesha kiongozi wa CDM kang'ang'ania usukani.
 
Kwahiyo watu makini ni wanaohamia ccm? Wonderful!

CCM is just a better option. Siyo lazima wahamie CCM, ila huko CDM watu makini hawatasalia. Ni suala la muda tu. Iko siku utayakumbuka maandiko haya.
 
Katika hali ya siasa inayoendelea nchini, tunahitaji viongozi makini na walio tayari hata kufa kwajili ya chama, Leo sitaabdika mengi ila nitatoa mtazamo wangu katika ngazi za uongozi kitaifa.

Halimashauri kuu ni eneo ambalo bado Mbowe anahitajika sana akisaidiwa na watu makini kama Lisu, Heche, mnyika, Lema nk

Bavicha inahitaji watu makini kuliko wakati wote, tunahitaji vijana majasiri wenye usubutu ili kuvuka salama, hapa nawaona watu kama Tito Kitarika, Mdude Nyagali, Mathew Ndagile na Moses Mawazo ni watu makini sana

Bawacha ni nguzo inayohitaji watu makini kama Mdee, Matiko,Hilda Newton nk.
Nitaeleza wakati mwingine juu ya hawa watu niliowataji humu haswa wale wanaoonekana ni wageni katika macho yenu.
Hivi hammaga wapya huko? Ni hawa hawa kina mdee miaka nenda rudi?
 
Hivi hammaga wapya huko? Ni hawa hawa kina mdee miaka nenda rudi?


Utaambiwa wewe ni kibaraka na kuitwa majina mengine ya namna hiyo!

Waache waendelee lakini wakumbuke: mchuma janga hula na nduguze.

Nahodha kuendelea kug'ang'ania usukani wa jahazi linalozama wakati kuna fursa ya kumpisha naodha aliyemzidi ujuzi ni hatari kwa abiria na jahazi lenyewe.
 
Hivi hammaga wapya huko? Ni hawa hawa kina mdee miaka nenda rudi?
Hatubadilishi mchezaji anayepaform uwanjani kumjaribu wa bench bila sababu labda aumie, mbona hawa watu chadema wanawagusa kuliko Mrema na Lipumba pia Cheyo nilioanza kuwasikia tangu nakua? au hao ndio mnawamudu kwajili ya njaa zao?
 
E
Utaambiwa wewe ni kibaraka na kuitwa majina mengine ya namna hiyo!

Waache waendelee lakini wakumbuke: mchuma janga hula na nduguze.

Nahodha kuendelea kug'ang'ania usukani wa jahazi linalozama wakati kuna fursa ya kumpisha naodha aliyemzidi ujuzi ni hatari kwa abiria na jahazi lenyewe.
Embu mtaje huyo nahodha anayemzidi uwezo na sifa zake!
 
Acha kuwehuka
WATU MAKINI? CHADEMA?

Watu walio makini hawatabaki CDM katika hali yake ya sasa. CDM kikiendelea kuendeshwa kama mali ya mtu binasfi badala ya kuendeshwa ki-Taasisi hakuna mtu makini atakayesalia huko. Dalili zinaonesha kiongozi wa CDM kang'ang'ania usukani.
 
Back
Top Bottom