OMG!!!
Kumbe CDM hakuna mtu mwingine anayeweza kukiongoza chama zaidi ya nahodha huyu aliyewafikisha katika hali hii?!! Kama ndivyo, kuna chama hapo?
Sasa nimeelewa kwa nini ilibidi kusubiri watakaoachwa na CCM ili muweze kumpata miongoni mwao mgombea nafasi ya Rais.