Jion hii Simba imeingia mkataba na kocha mtunisia wa kumsaidia Mbrazil Robertinho ambaye almanusura mashabiki wamzabe makofi jana pale uwanjani.
Kwa maana hiyo Juma Mgunda aliyeifikisha Simba hatua ya makundi anakwenda kuwa msaidizi namba 3, Matola namba 4.Jamani.
Hivi Simba inahitaji wingi wa makocha kweli? Lengo la kumleta huyo mwarabu maana yake Mgunda hana nafasi tena, hii ni dharau kubwa kwetu.
Sent from my SM-F916B using
JamiiForums mobile app