Uchaguzi ndio njia pekee ya kuwashikisha adabu viongozi wa Simba, mnaajiria kocha msaidizi ili Mgunda na Matola wakadhalilike?

Hao wazawa wote watoke hawana maana yoyote hapo Simba
 
Wacha kupanic. Timu kubwa inabidi iwe na bench kubwa la kiufundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…