neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,849
- 2,132
Salamu kwenu wapendwa!
Kulingana na kichwa cha uzi huu, tafadhali shauri na ikiwezekana toa na sababu.
Ni programe gani ambayo inaweza kumpatia mwanafunzi mambo muhimu yanayohusiana na kujiajiri!? Kati ya master of economics & master of enterprenuership and enterprise development.
Unaweza kushauri na nyingine, but ni muhimu iwe inatolewa na vyuo vilivyopo Dar es Salaam.
Asanteni.
Kulingana na kichwa cha uzi huu, tafadhali shauri na ikiwezekana toa na sababu.
Ni programe gani ambayo inaweza kumpatia mwanafunzi mambo muhimu yanayohusiana na kujiajiri!? Kati ya master of economics & master of enterprenuership and enterprise development.
Unaweza kushauri na nyingine, but ni muhimu iwe inatolewa na vyuo vilivyopo Dar es Salaam.
Asanteni.