[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana labda wameshajiandikisha huo mtaaNmepita mahali, nikajaribu kudodosa..
Bidada ananiambia toka asubuh mpaka mida hii ( sa Kumi ) ...keshandikisha watu 11[emoji23][emoji23][emoji23]
Nmejiuliza ,leo ni siku ya mapumziko..lkn ndo hivo, je siku za Kazi???
Yaan huo mchezo sifanyi tena... Nasubri mwakani nijiandikishe nipate ile ID[emoji23][emoji23][emoji23] wanasiasa wanatufanya sie wajinga sana
Hata sina habari, na Sina mpango.Ulisahau au hujui
Kivuruge hujambo?Yaan huo mchezo sifanyi tena... Nasubri mwakani nijiandikishe nipate ile ID
This time round wanatoa na vitambulisho? au mpaka mwakani?Hata sina habari, na Sina mpango.
Nilijiandikisha mwaka huu ili nipate ile I'd tu.
Unaongelea uandikishaji upi?This time round wanatoa na vitambulisho? au mpaka mwakani?
Alisema au unajaribu tu kuelezea mambo jinsi yalivyo?Mkurugenzi wa halmashauri nikuteue mm nikulipe mshahara mm na mafuta ya gari nikuwekee mm halafu umtangaze mpinzan mshindi?!,hapo ina maana gan kwenda kujiandikisha?!,...,wajipe ushindi kwa % 99 hamna shida yetu macho ila nadhan watz wameanza mgomo baridi
Huu wa kupiga kura..Unaongelea uandikishaji upi?