Wa uchaguzi mkuu au huu wa mitaa?Huu wa kupiga kura..
Ahaa hii nchi sa hv kitambulisho ww chukua tu itajulikana mbele ya safariHivi I'd itakuwa na kazi tena wakati kuna national I'd? Lakini sio mbaya ukiwa nayo
Kivuruge hujambo?
Unajua nn..hamna serikali iloharibu maana kamili ya upigaji kura kama hii ya sasa.[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana labda wameshajiandikisha huo mtaa
Pasua kichwa mie nipo tu[emoji39][emoji39]Sjambo aisee nmekumis sana cha ujeur wangu
[emoji1787][emoji1787]Ahaa hii nchi sa hv kitambulisho ww chukua tu itajulikana mbele ya safari
Ha ha ha embu ngoja nkufate pm... C kuko waz?Pasua kichwa mie nipo tu[emoji39][emoji39]
Yes.Ha ha ha embu ngoja nkufate pm... C kuko waz?
pumbavu wote wanaosema hawatopiga kura
Ww vipi? Umejiandikisha?[emoji38][emoji38][emoji1672][emoji1672]
Asante Mungu, imekuchomaMwenyewe