Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Kwani mtutu ni kitu gani wanaweza kuua mwili ila fikra zangu kamwe hawawezi kuziua maninaaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja ufuatwe na mtutu
Naomba nikazie.Mpumbavu wewe na mtakaopiga kura
Ulimpigia nani mkuumimi nilishasema sitaka nipige kura tena, toka nipigie kura yangu ya kwanza na ya mwisho 2015....,wanasiasa wote ni wanafiki tu,,,,,,,
na pia ni haki yangu ya ki demokrasia kutopiga kura,,,,,
ni ujinga kuchagua vitu vilivyopangwa tayari,,,,
Yule tumsamehe tu, leo kasema anatamani harmonize akagombee ubunge tandahimba, kisa tu kamsifia kwenye ule wimboMzee baba nimemsikia anawashukuru wananchi kwa kumchagua....leo eti
Pumbavu na wewepumbavu wote wanaosema hawatopiga kura
lowasa mkuu....Ulimpigia nani mkuu
mimi kutoka kwangu hadi kituoni kwa kutembea kwa miguu ni sekunde km 25-30 lkn siwez kupoteza muda,juz kuna jirani yangu anagombea cjui ujumbe wa serikali akawa ananiita pale kituoni na kuniomba nijiandikishe ili nimpigie kura,nikamjibu tu kuwa cku ya kura ctakuwepo ila namtakia kila la heri.Ninapoishi na kilipo kituo cha kujiandikisha ni hatua za miguu kama 25 tu. Ila kila siku nawapita kama sijui hata wanachokifanya.
Nashukuru Mungu imekuchomaPumbavu na wewe
nimepiga kuraWaungwana vipi mmepiga kura?
aliyesusa hastahiki kupokea fungu la serikali tukufuWacha bwana, mgawie na noona basi