Uchaguzi serikali za mitaa: Ambao hatujajiandikisha na hatuna mpango wa kujiandikisha tukutane hapa

Aisee Kwanzaa sina habari kama tarehe za kupiga zimefikaa nauskia juujuu

Mtoa mada niliskia vyama pinzani vimejitoa sasa huu uchaguzi fisiemu wana compete na nani ?
 
Aisee Kwanzaa sina habari kama tarehe za kupiga zimefikaa nauskia juujuu

Mtoa mada niliskia vyama pinzani vimejitoa sasa huu uchaguzi fisiemu wana compete na nani ?
Sehemu ambazo wamepita bila kupingwa uchaguzi haujafanyika
 
Hapo sjakuelewa kwamba hawakujitoa kweli yalikuwa maneno tu sehemu ambapo upinzan wana nguvu wameshiriki si ndio unamaanisha hvoo ?
Sehemu ambazo wamepita bila kupingwa uchaguzi haujafanyika
 
Mkuu, kwani tunatakiwa kupiga kura lini...?? Maana huku kwetu hata RTD haishiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…