LGE2024 Uchaguzi Serikali za Mitaa: Rais Samia awaite viongozi wa vyama vya upinzani kisha asikilize hoja zao

LGE2024 Uchaguzi Serikali za Mitaa: Rais Samia awaite viongozi wa vyama vya upinzani kisha asikilize hoja zao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Kama hujuma wanazofanyiwa Wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa serikali za mitaa hazima baraka za Kiongozi wa Nchi, nashauri yeye mwenyewe awaite viongozi wa vyama vya upinzani kisha asikilize hoja zao yeye mwenyewe ili kupata hali halisi ya mwenendo wa uchaguzi huu wa serikali za mitaa.

Kwa hatua tulipofika, yule mwenye kifua kipana amuweke pembeni kwanza, ajifunze yeye mwenyewe kutoka kwa viongozi wa upinzani.

MACHAWA hawawezi kumwambia ukweli Rais. Wataendelea tu kumdanganya kwamba hali ni shwari kumbe ni ovyo kabisa.

Hili la engua engua limeshusha sana imani ya Watanzania kwa Rais. Hata wana CCM wenyewe baadhi yao hawapendi kabisa hii habari ya engua engua.

Nawasilisha.
 
Kama hujuma wanazofanyiwa Wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa serikali za mitaa hazima baraka za Kiongozi wa Nchi, nashauri yeye mwenyewe awaite viongozi wa vyama vya upinzani kisha asikilize hoja zao yeye mwenyewe ili kupata hali halisi ya mwenendo wa uchaguzi huu wa serikali za mitaa.
Kwa hatua tulipofika, yule mwenye kifua kipana amuweke pembeni kwanza, ajifunze yeye mwenyewe kutoka kwa viongozi wa upinzani.
MACHAWA hawawezi kumwambia ukweli Rais. Wataendelea tu kumdanganya kwamba hali ni shwari kumbe ni ovyo kabisa.
Hili la engua engua limeshusha sana imani ya Watanzania kwa Rais. Hata wana CCM wenyewe baadhi yao hawapendi kabisa hii habari ya engua engua.
Nawasilisha.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 3
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 3
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 3
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
Kama hujuma wanazofanyiwa Wagombea wa upinzani katika uchaguzi wa serikali za mitaa hazima baraka za Kiongozi wa Nchi, nashauri yeye mwenyewe awaite viongozi wa vyama vya upinzani kisha asikilize hoja zao yeye mwenyewe ili kupata hali halisi ya mwenendo wa uchaguzi huu wa serikali za mitaa.
Kwa hatua tulipofika, yule mwenye kifua kipana amuweke pembeni kwanza, ajifunze yeye mwenyewe kutoka kwa viongozi wa upinzani.
MACHAWA hawawezi kumwambia ukweli Rais. Wataendelea tu kumdanganya kwamba hali ni shwari kumbe ni ovyo kabisa.
Hili la engua engua limeshusha sana imani ya Watanzania kwa Rais. Hata wana CCM wenyewe baadhi yao hawapendi kabisa hii habari ya engua engua.
Nawasilisha.
Mpaka mda huu ccm imelivunja taifa vipande vipande , Mchengerwa wenda amefanya kwa sifa kukifurahisha kiti, ila tuendako hali itakua mbaya sana,

Tuendako hao viongozi wa mtaa ambao mchengerwa amelazimisha hawatatambulika, sandukuku la kura ndo lilitakiwa kuleta usawa katika jamii na mshikamano ,so kwa mara nyingine ichi ccm imefanya mazara yake yataenda kuwa makubwa, .

Shida watu wakishakua kwenye nafasi za kutafuna hawaangalii kesho ya taifa, kesho ya jamii .Twende tu mda mwalim
 
Wapinzani kesho wanaenda kuchukua barua za teuzi. Uchaguzi upo pale pale. Roma ishasema , CCM ni nani alete maghumashi ?
 
Back
Top Bottom