LGE2024 Uchaguzi serikali za mitaa waandaaji wanafanya hujuma

LGE2024 Uchaguzi serikali za mitaa waandaaji wanafanya hujuma

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Siku ya jana niliamua kwenda kuangalia jina langu kwenye ofisi husika kama tulivyoshauriwa, nilifika kwenye ofisi na kuzikuta karatasi zenye majina zikiwa zimebandikwa ukutani. Karatasi hizo zimeandikwa kwa kalamu yenye wino hafifu kwenye karatasi ya rangi hafifu ya njano hivyo kuyafanya majina yasisomeke kirahisi! Nilishindwa kuelewa lengo la kufanya hivyo ni nini ila ninachoweza kusema ni hujuma.
 
Siku ya jana niliamua kwenda kuangalia jina langu kwenye ofisi husika kama tulivyoshauriwa, nilifika kwenye ofisi na kuzikuta karatasi zenye majina zikiwa zimebandikwa ukutani. Karatasi hizo zimeandikwa kwa kalamu yenye wino hafifu kwenye karatasi ya rangi hafifu ya njano hivyo kuyafanya majina yasisomeke kirahisi! Nilishindwa kuelewa lengo la kufanya hivyo ni nini ila ninachoweza kusema ni hujuma.
Ccm hawo hawawezi ushindani wanajua kuwa hawatoboi ndio maana hutumia njia za panya.
 
Waandaaji na wasimamizi wote ni ccm.....
Tuliwaambia toka mwanzo kushiriki/kujiandikisha huu uchaguzi ni kosa kubwaaa
Sahv kila kona upande ule wanaishia kulalamikaaa

Ova
 
Ccm hawo hawawezi ushindani wanajua kuwa hawatoboi ndio maana hutumia njia za panya.
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
 
Waandaaji na wasimamizi wote ni ccm.....
Tuliwaambia toka mwanzo kushiriki/kujiandikisha huu uchaguzi ni kosa kubwaaa
Sahv kila kona upande ule wanaishia kulalamikaaa

Ova
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
 
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
Wameibiana mpaka wenyewe kwa wenyewe 😄
Kweli jasiri haachi asili

Ova
 
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
Huu uchaguzi wa ndani viroja kila kona.
 
Siku ya jana niliamua kwenda kuangalia jina langu kwenye ofisi husika kama tulivyoshauriwa, nilifika kwenye ofisi na kuzikuta karatasi zenye majina zikiwa zimebandikwa ukutani. Karatasi hizo zimeandikwa kwa kalamu yenye wino hafifu kwenye karatasi ya rangi hafifu ya njano hivyo kuyafanya majina yasisomeke kirahisi! Nilishindwa kuelewa lengo la kufanya hivyo ni nini ila ninachoweza kusema ni hujuma.
Mchengerwa ni tapeli haswa analindwa na mama mkwe wake
 
Kama umejiandikisha nenda kapige kura kwenye kituo uliojiandikishia jina lako haliwezi kukatwa
 
Huu wizi wa kura ndani ya CCM unatokana na wanaccm kujawa uroho wa madaraka na si ajabu wakawasingizia Chadema.
 
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
Ccm ni hawana akili hata za kuvukia barabara.
 
Back
Top Bottom