figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Pamoja na kwanza Mawakili hasa wa kujitegemea na Wananchi wote wanampenda Mwabukusi, lakini Serikali imeshatia Mguu, Mawakili wote wa Serikali wamelipiwa kwenda Dodoma kupiga Kura.
Na wapo kikazi kwani wamepewa Maelekezo kwamba Nkuba ashindwe.
Kwa siasa za TLS, na Mawakili wanaomuunga mkono Mwabukusi ni wale wa kujitegemea.
Serikali inajua akishinda Mwabukusi, Mafisadi wa Mikataba ya Nchi ndo itakuwa Mwisho wao kwani wengi ndo hao Wanasheria.
Hii ni kutoka na na Msimamo wa Mwabukusu kutaka Mikataba iwe inapelekwa Bungeni kabla ya kusianiwa na kutaka mikata yote iwe wazi kila Mwananchi kuisoma.
Rais Samia alikuwa aende kufungua Mkutanano wa Chama cha Wanasheria lakini baada ya Mwakubukusi kushinda Rufaa Mahakamani akaahilisha na kumtuma Naibu Waziri Mkuu Biteko.
Sasa hivi Mawakili wanaomuunga Mkono Mwabukusi wamenuna na kuanza kulalamika kwamba Serikali inawaua chama cha TLS.
Wanasema hata kama Mwabukusi asiposhinda, ndo rais wao wa Moyoni.
Taasisi zote za Serikali zimepewa Maelekezo Mawakili wote wa Serikalini wakapige kura. Wengine walikuwa wanalalamika kwamba wameambiwa waje hawajapewa per diem. Serikali imeelekeza Per diem watapewa wakirudi kwani limekuwa swala la gafla. Wameambiwa kumpigia Mwabukusi ni kusaliti Serikali.wamelipiwa kila kitu.
Hii pia iliyokea kwa aliyekuwa Hosseah aliyekuwa rais wa TLS.. Serkali ilimtaka wakalipia mawakili wake ambao walilipiwa na akashinda.
Hadi sasa Mwabukusi kushinda ni 69 kwa 51.
Huwezi kushindana na Serikali kwenye Nchi isiyo tenda haki.
Kura zimeanza kupigwa leo saa 12 asubuhi zoezi linaenda hadi saa nne. Wafuasi wa Mwabukusi bado wamelala, sijui jana walilewa?
Mimi namuunga mkono Kapteni.
Pumzika kwa amani Wakili uliyekufa baada ya mkutano kufunguliwa.
Pamoja na kwanza Mawakili hasa wa kujitegemea na Wananchi wote wanampenda Mwabukusi, lakini Serikali imeshatia Mguu, Mawakili wote wa Serikali wamelipiwa kwenda Dodoma kupiga Kura.
Na wapo kikazi kwani wamepewa Maelekezo kwamba Nkuba ashindwe.
Kwa siasa za TLS, na Mawakili wanaomuunga mkono Mwabukusi ni wale wa kujitegemea.
Serikali inajua akishinda Mwabukusi, Mafisadi wa Mikataba ya Nchi ndo itakuwa Mwisho wao kwani wengi ndo hao Wanasheria.
Hii ni kutoka na na Msimamo wa Mwabukusu kutaka Mikataba iwe inapelekwa Bungeni kabla ya kusianiwa na kutaka mikata yote iwe wazi kila Mwananchi kuisoma.
Rais Samia alikuwa aende kufungua Mkutanano wa Chama cha Wanasheria lakini baada ya Mwakubukusi kushinda Rufaa Mahakamani akaahilisha na kumtuma Naibu Waziri Mkuu Biteko.
Sasa hivi Mawakili wanaomuunga Mkono Mwabukusi wamenuna na kuanza kulalamika kwamba Serikali inawaua chama cha TLS.
Wanasema hata kama Mwabukusi asiposhinda, ndo rais wao wa Moyoni.
Taasisi zote za Serikali zimepewa Maelekezo Mawakili wote wa Serikalini wakapige kura. Wengine walikuwa wanalalamika kwamba wameambiwa waje hawajapewa per diem. Serikali imeelekeza Per diem watapewa wakirudi kwani limekuwa swala la gafla. Wameambiwa kumpigia Mwabukusi ni kusaliti Serikali.wamelipiwa kila kitu.
Hii pia iliyokea kwa aliyekuwa Hosseah aliyekuwa rais wa TLS.. Serkali ilimtaka wakalipia mawakili wake ambao walilipiwa na akashinda.
Hadi sasa Mwabukusi kushinda ni 69 kwa 51.
Huwezi kushindana na Serikali kwenye Nchi isiyo tenda haki.
Kura zimeanza kupigwa leo saa 12 asubuhi zoezi linaenda hadi saa nne. Wafuasi wa Mwabukusi bado wamelala, sijui jana walilewa?
Mimi namuunga mkono Kapteni.
Pumzika kwa amani Wakili uliyekufa baada ya mkutano kufunguliwa.