Uchaguzi Uganda, kuna la kujifunza!

Uchaguzi Uganda, kuna la kujifunza!

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,108
Reaction score
5,110
Watanzania tumetoka katika uchaguzi siku chache zilizopita lakini jirani zetu wa Uganda wanaelekea katika uchaguzi siku chache zijazo.

Mlio na nafasi jaribuni kufuatilia katika TV za Uganda hasa wale wachambuzi wa siasa kama mimi, kuna la kujifunza!

Zingatieni usemi huu,"Nitajie rafiki yako nijue tabia yako"
 
Uganda politics are the same with Tanzania there's no different.
 
Back
Top Bottom