Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Naam naunga mkono hoja Wapinzani ni watu wa kupuuzwa tu na kuwanyima kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uharo wa lumumba, upinzani usingekua na nguvu basi mwenyekiti wa CCM asingekua na hofu kuu aliyonayo. Anaujua ukweli, labda ni ninyi tu vichwa vya panzi wa lumumba ndio mnaishi kwenye dunia ya kufukirika.
Si mnamsikia 'graduate' mwenzenu wa lumumba ndugu bashite anavyoachia uharo kila akifungua domo lake? akili hamna.
Hata 2010 2015 ilisemwa hivo hivo,je mnao polisi wa kutosha wa kuwapa ushindi vituo vyote?Baada ya Wapinzani kudekekezwa sana Mzee kikwete, sasa ni dhahiri bila mbeleko hawa watu hawawezi kupenya popote
Ukiangalia wabunge wengi walioshinda Upinzani mwaka 2015 ni wale waliodhulumiwa Ccm wakaamua kwenda upande wa pili kichukua ubunge
Kwasasa wote wamerejea nyumbani
Upinzani wana hali mbaya
Hawaaminani Wenyewe kwa wenyewe
Wananchi wamewakataa wamebaki kusubiri mikutano ya Rais wetu mpendwa Magufuli wapate cha kutukana mitandaoni
Wameishiwa kwisha kabisa
Huu mwaka wapinzani wakipata hata wabunge watano watambike
Target ya kwanza ni kuondoa wabunge wote wasaliti wa nchi bungeni
Mwaka wa Ccm kuvuna mazao bora
Ahsante Rais wetu mpendwa Magufuli kwa kuirejesha Ccm kwenye makali yake
wapinzani watashinda kwa kishindo kwenye boksi la kura ila wataadhibiwa na hawa
View attachment 1367759
Anashabikia ccm ni lazima awe mnufaika mpiga dili au mnyonge futureless person upo kundiniNaam naunga mkono hoja Wapinzani ni watu wa kupuuzwa tu na kuwanyima kura
Hata 2010 2015 ilisemwa hivo hivo,je mnao polisi wa kutosha wa kuwapa ushindi vituo vyote?
Si useme tu ukweli kuwa wataadhibiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ............ Tume za Kijecha jecha!!
Baada ya Wapinzani kudekekezwa sana Mzee kikwete, sasa ni dhahiri bila mbeleko hawa watu hawawezi kupenya popote
Ukiangalia wabunge wengi walioshinda Upinzani mwaka 2015 ni wale waliodhulumiwa Ccm wakaamua kwenda upande wa pili kichukua ubunge
Kwasasa wote wamerejea nyumbani
Upinzani wana hali mbaya
Hawaaminani Wenyewe kwa wenyewe
Wananchi wamewakataa wamebaki kusubiri mikutano ya Rais wetu mpendwa Magufuli wapate cha kutukana mitandaoni
Wameishiwa kwisha kabisa
Huu mwaka wapinzani wakipata hata wabunge watano watambike
Target ya kwanza ni kuondoa wabunge wote wasaliti wa nchi bungeni
Mwaka wa Ccm kuvuna mazao bora
Ahsante Rais wetu mpendwa Magufuli kwa kuirejesha Ccm kwenye makali yake
Amerudi na Mavi mapya 🤣Naona Nzi wa Chooni Umerudi
.Naona Nzi wa Chooni Umerudi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amerudi na Mavi mapya [emoji1787]
Hata huyu nzi aliyetumwa kaja kwasababu kapewa elfu saba ili aje awadanganye mamilioni ya WatanzaniaSelfishness ndiyo shida mkuu, tofauti na wenzetu weupe ambao serikali ipo kwa ajiri ya ustawi wa jamii husika, Kwa mtu mweusi madaraka ni nafasi nzuri ya kuishi maisha ya anasa na kujitofautisha na wengine ambao they don't have, rejra kauli ya Doctor Trump kuhusu Africa, Shithole countries