Uchaguzi ujao wa Mwenyekiti CHADEMA, Tundu Lissu atashinda ila kwa mizengwe

Uchaguzi ujao wa Mwenyekiti CHADEMA, Tundu Lissu atashinda ila kwa mizengwe

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Nafahamu kuwa watu wengi wako nyuma yako na unapendwa sana lakini ukumbuke uchaguzi unaokuja utashindwa kwa mizengwe. Wewe kuubali yaishe na uendelee kuijenga CHADEMA.
 
Nafahamu kuwa watu wengi wako nyuma yako na unapendwa sana lakini ukumbuke uchaguzi unaokuja utashindwa kwa mizengwe. Wewe kuubali yaishe na uendelee kuijenga CHADEMA.
MBISHI KAMA BUSHA HAWEZI KUKUBALI YAAANI ANAONAKABISA WAJUMBE WANATUNZWA NA MBOWE HALAFU ANAKOMAZA SHINGO SAS ANDIYO ATAKOSA HATA UBALOZI CHADEMA INGEKUWA WANANCHI NDIYO WAPIGA KURA NAGEPATA WAJUMBE ASAHAU
 
Nafahamu kuwa watu wengi wako nyuma yako na unapendwa sana lakini ukumbuke uchaguzi unaokuja utashindwa kwa mizengwe. ..
Atashinda au atashiNDWA? Ulichoandika hakiendani na ulichosema kwenye title ya andiko
 
Back
Top Bottom