Wangooto
Member
- Feb 1, 2013
- 20
- 5
Ndani ya wiki kama mbili zilizopita vyuo vingi vya elimu ya juu nchini vimekuwa vikifanya chaguzi mbalimbali ili kujipatia viongozi watakao waongoza kwa misingi ya sheria na utawala bora katika serikali za wanafunzi. katika chaguzi hizi vijana huanza kuonekana nyota zao kisiasa kwani umaarufu wao huanza kupatikana katika kipindi hiki ambacho wao huwa vyuoni.
Habari hii imejiegemeza katika Chuo Kikuu cha Dodoma ambapo zoezi hili limemalizika jana na washindi kutangazwa na tume ya uchaguzi ya chuo hicho mida ya saa tatu na nusu usiku. Chuo Kikuu cha Dodoma kina college 6 ambazo ni college of Education, college of Humanities and Social Science, college of Informatics and Virtual Education, college of natural sciences and mathematics, college of mines and petroleum engineering na college of health and allied sciences.
lakini miongoni mwa hizo college zote college iliyokaa kisiasa zaidi ni SOCIAL SCIENCES AND HUMANITIES. ambapo democrasia na ukomavu wa kisiasa huonekana mara kwa mara katika chaguzi zao. mwaka huu umekuwa wa kihistiria baada Mr. Bernard, Janus kushinda kwa kishindo na chaguzi huo uliogubikwa na fitina, majungu na uhasama wa hali ya juu dhidi yake lakini kupitia sera zake amawashawishi mamia ya wanafunzi katika kitivo hicho kujitokeza na kupiga kura kwa wingi. Na kuwa dhihirishia wapinzani wake kuwa yeye ni mkomavu wa siasa na anakubalika. mamia ya wanafunzi skuli ya sanaa na lugha walikesha wakishangili ushindi wake kwakishindo. nina mtakia mujumu mema katika serikali yake.
Habari hii imejiegemeza katika Chuo Kikuu cha Dodoma ambapo zoezi hili limemalizika jana na washindi kutangazwa na tume ya uchaguzi ya chuo hicho mida ya saa tatu na nusu usiku. Chuo Kikuu cha Dodoma kina college 6 ambazo ni college of Education, college of Humanities and Social Science, college of Informatics and Virtual Education, college of natural sciences and mathematics, college of mines and petroleum engineering na college of health and allied sciences.
lakini miongoni mwa hizo college zote college iliyokaa kisiasa zaidi ni SOCIAL SCIENCES AND HUMANITIES. ambapo democrasia na ukomavu wa kisiasa huonekana mara kwa mara katika chaguzi zao. mwaka huu umekuwa wa kihistiria baada Mr. Bernard, Janus kushinda kwa kishindo na chaguzi huo uliogubikwa na fitina, majungu na uhasama wa hali ya juu dhidi yake lakini kupitia sera zake amawashawishi mamia ya wanafunzi katika kitivo hicho kujitokeza na kupiga kura kwa wingi. Na kuwa dhihirishia wapinzani wake kuwa yeye ni mkomavu wa siasa na anakubalika. mamia ya wanafunzi skuli ya sanaa na lugha walikesha wakishangili ushindi wake kwakishindo. nina mtakia mujumu mema katika serikali yake.