Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Uchaguzi wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) kwa nafasi ya Mwenyekiti unatarajiwa kurudiwa baada ya wagombea wote kushindwa kufikia asilimia 50 ya kura zilizopigwa.
Kulingana na kanuni za uchaguzi wa chama hicho, wagombea wawili wa juu watachuana tena katika duru ya pili ili kumpata mshindi.
Soma Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Taarifa za awali tulizonazo ni kwamba katika kinyang'anyiro hicho Sharifa Suleiman anaongoza kwa kura 164 akifuatiwa na Celestine Simba aliyepata kura 116 kisha Suzan Kiwanga. Hata hivyo wote hawakufikisha asilimia 50
Kwa mujibu wa taratibu za CHADEMA, wagombea wawili walioongoza kwa kura ndio watakaopambana kwenye awamu ya pili, ambapo mshindi atapatikana kwa wingi wa kura.
Kulingana na kanuni za uchaguzi wa chama hicho, wagombea wawili wa juu watachuana tena katika duru ya pili ili kumpata mshindi.
Soma Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Taarifa za awali tulizonazo ni kwamba katika kinyang'anyiro hicho Sharifa Suleiman anaongoza kwa kura 164 akifuatiwa na Celestine Simba aliyepata kura 116 kisha Suzan Kiwanga. Hata hivyo wote hawakufikisha asilimia 50
Kwa mujibu wa taratibu za CHADEMA, wagombea wawili walioongoza kwa kura ndio watakaopambana kwenye awamu ya pili, ambapo mshindi atapatikana kwa wingi wa kura.