rr4
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,797
- 5,510
Same same hereNimechelewa sana kuligundua hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same same hereNimechelewa sana kuligundua hilo.
Sio Kwa mudomo uleKwa hiyo mlichagua muhuni kuwa makamu mwenyekiti wa Chadema ?
Kweli Mbowe madaraka yamemlevya.
Si mhuni tu bali poa mropokaji.Lissu Leo kawa muhuni ?
Mkuu mtauza mara ngapi??? Sio Mbowe keshawauza yapata miaka miwili sasa??Teh teh teh!! Wahuni hampewi chama!! Mtu hata mil 30 huna si utatuuza wewe kwa mabeberu
🤣 🤣 🤣Hakika kujitokeza kwa Lissu kugombea nafasi ya uenyekiti CDM, kumetufanya tubaki bila nguo kwa kuonyesha "tupu" zetu za kichwani.
Huyo sharifa ni timu nani?Lissu kashindwa?
Mbowe kashindwa?.Lissu kashindwa?
Una shida ya akili, Lisu mliyemsimamisha agombe urais leo anakuwa mjinga? Basi ndio maana chama chenu kimejaa wajinga kama wewe maana mlitaka kutuletea mjinga aongoze nchi.Kwakua simpendi Lissu?? Unataka niwe taahira kama wewe nikubali kila ujinga wa Lissu?
Hawana hoja wala sera, hao ndiyo wanakivua ngua Chama chao kwa kukifitinisha na watanzania kuwa waliwapelekea mtu mjinga na mhuni akagombee uraisUna shida ya akili, Lisu mliyemsimamisha agombe urais leo anakuwa mjinga? Basi ndio maana chama chenu kimejaa wajinga kama wewe maana mlitaka kutuletea mjinga aongoze nchi.