Uchaguzi wa CCM unaoendelea ni balaa, huko Kilimanjaro Mgombea asingiziwa kuwa ni kichaa

Uchaguzi wa CCM unaoendelea ni balaa, huko Kilimanjaro Mgombea asingiziwa kuwa ni kichaa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwenye uchaguzi unaoendelea nchi nzima huko CCM, mambo yanayotendwa ni mazito kuliko mnavyosikia, ni hatari na balaa kubwa, hali iliyoko huko kwenye chaguzi za Mikoa inatengeneza uhasama wa Milele, watu wanasingiziana hadi Ukimwi hadharani.

Huko Kilimanjaro, Mmoja wa Wagombea wa Uenyekiti wa Mkoa, ndugu Alphonce Temba wakati wa kujieleza , alikumbana na swali la Mjumbe 'aliyepangwa' ambaye alimuuliza kwamba kwanini anagombea uenyekiti wa Mkoa wakati mwaka 2018 alitangazwa kuwa ni Kichaa? Swali hilo la uongo lilizua taharuki, huku msimamizi wa Uchaguzi huo aliyejulikana kwa jina la Mrindoko, akimzuia Temba kujibu kwa madai kwamba hilo siyo swali (mbinu ya kum disqualify), kuzuiwa huku kwa mchongo kulifanya Wajumbe waamini kwamba Temba ni kichaa na hivyo kumnyima kura.

Sasa unaweza kuona mambo yanayofanyika kwenye chaguzi hizo, kuna wagombea wamesingiziwa mpaka Ukimwi ukumbini , wengine wametajiwa hadi idadi ya wanaume waliotembea nao na majina yao kwenye mikutano ya uchaguzi ili kuaminisha Wajumbe wasichague Malaya, kama hali ya ccm imefikia hapo ni wazi sasa WATANZANIA ANZENI KUPIGA VIGEREGERE, maana wameanza kutafunana wenyewe.

Nukuu: WANACCM HAWAACHIANI MAJI YA KUNYWA MEZANI - KIKWETE
 
cheo cha kisiasa ni dili la kutoka kimaisha, vita vya maneno ili uonekane hufai kwa wananchi ni kawaida
 
Pamoja na hayo.

Nani wa kuirithi ccm? Jibu ni hakuna

Tuombe Bashiru achukue kijiti 2025.
 
Kwenye uchaguzi unaoendelea nchi nzima huko CCM, mambo yanayotendwa ni mazito kuliko mnavyosikia, ni hatari na balaa kubwa, hali iliyoko huko kwenye chaguzi za Mikoa inatengeneza uhasama wa Milele, watu wanasingiziana hadi Ukimwi hadharani.

Huko Kilimanjaro, Mmoja wa Wagombea wa Uenyekiti wa Mkoa, ndugu Alphonce Temba wakati wa kujieleza , alikumbana na swali la Mjumbe 'aliyepangwa' ambaye alimuuliza kwamba kwanini anagombea uenyekiti wa Mkoa wakati mwaka 2018 alitangazwa kuwa ni Kichaa? Swali hilo la uongo lilizua taharuki, huku msimamizi wa Uchaguzi huo aliyejulikana kwa jina la Mrindoko, akimzuia Temba kujibu kwa madai kwamba hilo siyo swali (mbinu ya kum disqualify), kuzuiwa huku kwa mchongo kulifanya Wajumbe waamini kwamba Temba ni kichaa na hivyo kumnyima kura.

Sasa unaweza kuona mambo yanayofanyika kwenye chaguzi hizo, kuna wagombea wamesingiziwa mpaka Ukimwi ukumbini , wengine wametajiwa hadi idadi ya wanaume waliotembea nao na majina yao kwenye mikutano ya uchaguzi ili kuaminisha Wajumbe wasichague Malaya, kama hali ya ccm imefikia hapo ni wazi sasa WATANZANIA ANZENI KUPIGA VIGEREGERE, maana wameanza kutafunana wenyewe.

Nukuu: WANACCM HAWAACHIANI MAJI YA KUNYWA MEZANI - KIKWETE
Ungekuwa uchaguzi mkuu angesingiziwa jambazi wa kutumia silaha na alifanya mauaji.
 
Kwenye uchaguzi unaoendelea nchi nzima huko CCM, mambo yanayotendwa ni mazito kuliko mnavyosikia, ni hatari na balaa kubwa, hali iliyoko huko kwenye chaguzi za Mikoa inatengeneza uhasama wa Milele, watu wanasingiziana hadi Ukimwi hadharani.

Huko Kilimanjaro, Mmoja wa Wagombea wa Uenyekiti wa Mkoa, ndugu Alphonce Temba wakati wa kujieleza , alikumbana na swali la Mjumbe 'aliyepangwa' ambaye alimuuliza kwamba kwanini anagombea uenyekiti wa Mkoa wakati mwaka 2018 alitangazwa kuwa ni Kichaa? Swali hilo la uongo lilizua taharuki, huku msimamizi wa Uchaguzi huo aliyejulikana kwa jina la Mrindoko, akimzuia Temba kujibu kwa madai kwamba hilo siyo swali (mbinu ya kum disqualify), kuzuiwa huku kwa mchongo kulifanya Wajumbe waamini kwamba Temba ni kichaa na hivyo kumnyima kura.

Sasa unaweza kuona mambo yanayofanyika kwenye chaguzi hizo, kuna wagombea wamesingiziwa mpaka Ukimwi ukumbini , wengine wametajiwa hadi idadi ya wanaume waliotembea nao na majina yao kwenye mikutano ya uchaguzi ili kuaminisha Wajumbe wasichague Malaya, kama hali ya ccm imefikia hapo ni wazi sasa WATANZANIA ANZENI KUPIGA VIGEREGERE, maana wameanza kutafunana wenyewe.

Nukuu: WANACCM HAWAACHIANI MAJI YA KUNYWA MEZANI - KIKWETE
Sasa kuna tofauti gani na huko #Chadema ambako mmefikia kuitana COVID-19?

Kuna tofauti gani na huko #Chadema ambako baadhi yenu hamsalimiani,kisa ni hizo nafasi 19 za vitu maalumu!

Wanasiasa wa Tanzania ni aina moja tu!

"Tumbolistic"

Tofauti yenu ni Magwanda na Majukwaa tu.

Hamna lingine,mnatafuta upenyo na mkishapenya,mpiga kura anageuka kuwa fala wenu,for the next 5yrs.
 
Sasa kuna tofauti gani na huko #Chadema ambako mmefikia kuitana COVID-19?

Kuna tofauti gani na huko #Chadema ambako baadhi yenu hamsalimiani,kisa ni hizo nafasi 19 za vitu maalumu!

Wanasiasa wa Tanzania ni aina moja tu!

"Tumbolistic"

Tofauti yenu ni Magwanda na Majukwaa tu.

Hamna lingine,mnatafuta upenyo na mkishapenya,mpiga kura anageuka kuwa fala wenu,for the next 5yrs.
Unafananisha UVUNJIFU wa Katiba ya nchi na upuuzi wa kusingiziana Maradhi ? halafu huwa hamjifunzi tu wako wapi walimtukana Lowassa kwamba ni mgonjwa , akiwemo Sitta na Kombani
 
Kwenye uchaguzi unaoendelea nchi nzima huko CCM, mambo yanayotendwa ni mazito kuliko mnavyosikia, ni hatari na balaa kubwa, hali iliyoko huko kwenye chaguzi za Mikoa inatengeneza uhasama wa Milele, watu wanasingiziana hadi Ukimwi hadharani.

Huko Kilimanjaro, Mmoja wa Wagombea wa Uenyekiti wa Mkoa, ndugu Alphonce Temba wakati wa kujieleza , alikumbana na swali la Mjumbe 'aliyepangwa' ambaye alimuuliza kwamba kwanini anagombea uenyekiti wa Mkoa wakati mwaka 2018 alitangazwa kuwa ni Kichaa? Swali hilo la uongo lilizua taharuki, huku msimamizi wa Uchaguzi huo aliyejulikana kwa jina la Mrindoko, akimzuia Temba kujibu kwa madai kwamba hilo siyo swali (mbinu ya kum disqualify), kuzuiwa huku kwa mchongo kulifanya Wajumbe waamini kwamba Temba ni kichaa na hivyo kumnyima kura.

Sasa unaweza kuona mambo yanayofanyika kwenye chaguzi hizo, kuna wagombea wamesingiziwa mpaka Ukimwi ukumbini , wengine wametajiwa hadi idadi ya wanaume waliotembea nao na majina yao kwenye mikutano ya uchaguzi ili kuaminisha Wajumbe wasichague Malaya, kama hali ya ccm imefikia hapo ni wazi sasa WATANZANIA ANZENI KUPIGA VIGEREGERE, maana wameanza kutafunana wenyewe.

Nukuu: WANACCM HAWAACHIANI MAJI YA KUNYWA MEZANI - KIKWETE
Acha wamalizane wenyewe kwa wenyewe
 
Back
Top Bottom