MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Hadi jiwe mwenyeweUnafananisha UVUNJIFU wa Katiba ya nchi na upuuzi wa kusingiziana Maradhi ? halafu huwa hamjifunzi tu wako wapi walimtukana Lowassa kwamba ni mgonjwa , akiwemo Sitta na Kombani
Halafu Moshi kuna asiye kichaa na kisusio ya Kitimoto Bwashee?!Kama ukichaa ni issue ilikuaje magufuli akawa rais.
Dawa yake ni kufuta hicho wanachogombea huko mbele ya safari, kama ni fedha nyingi basi zipunguzwe ili wenye tamaa ya pesa wajiengue wabakie wenye nia njema ya kuitumikia nchi kwa moyo wa dhatiHuko Kilimanjaro, Mmoja wa Wagombea wa Uenyekiti wa Mkoa, ndugu Alphonce Temba wakati wa kujieleza , alikumbana na swali la Mjumbe 'aliyepangwa' ambaye alimuuliza kwamba kwanini anagombea uenyekiti wa Mkoa wakati mwaka 2018 alitangazwa kuwa ni Kichaa?
Hakika ! Alijaribu kupiga Push up Jukwaani !Hadi jiwe mwenyewe
Kila mtu akae na kichaa chakeHalafu Moshi kuna asiye kichaa na kisusio ya Kitimoto Bwashee?!
Swadakta !!Kila mtu akae na kichaa chake
Bado hukujibu "Hoja" bali umeendeleza vi-hoja kama kawaida!Unafananisha UVUNJIFU wa Katiba ya nchi na upuuzi wa kusingiziana Maradhi ? halafu huwa hamjifunzi tu wako wapi walimtukana Lowassa kwamba ni mgonjwa , akiwemo Sitta na Kombani
Huna lolote !Bado hukujibu "Hoja" bali umeendeleza vi-hoja kama kawaida!
Lete Facts acha longolongo!