Uchaguzi wa CDM January 2025 ni kuchagua kukinusuru au kukiua kabisa chama.

Uchaguzi wa CDM January 2025 ni kuchagua kukinusuru au kukiua kabisa chama.

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa hasa Mwenyekiti ni kwenda kusaini hati ya kifo au uhai wa chama.
Kumchagua FAM kutaleta anguko kubwa sana la chama. Tatizo kubwa ni kwamba, FAM hajali chochote iwe chama kufa au kupona kwake si hoja ya msingi bali kubaki madarakani ndo hoja ya msingi kwake.
Upepo unaonesha FAM anakubalika kwa pungufu ya 23% kwa ujumla wake. Kuendelea kushupaza shingo na watu wachache wanaomshauri FAM, ndo kinachokwenda kuifutilia mbali CHADEMA katika historia yake.
 
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa hasa Mwenyekiti ni kwenda kusaini hati ya kifo au uhai wa chama.
Kumchagua FAM kutaleta anguko kubwa sana la chama. Tatizo kubwa ni kwamba, FAM hajali chochote iwe chama kufa au kupona kwake si hoja ya msingi bali kubaki madarakani ndo hoja ya msingi kwake.
Upepo unaonesha FAM anakubalika kwa pungufu ya 23% kwa ujumla wake. Kuendelea kushupaza shingo na watu wachache wanaomshauri FAM, ndo kinachokwenda kuifutilia mbali CHADEMA katika historia yake.
Kweli tupu
 
Kamanda Mbowe #mi5tena
Umekitoa chama mbali sana kamanda, usikubali wahuni wakiue chama chako, ndani ya miaka 5 ijayo hakikisha unatafuta mrithi wako anayefaa, siyo hawa wahuni wa x na JF
 
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa hasa Mwenyekiti ni kwenda kusaini hati ya kifo au uhai wa chama.
Kumchagua FAM kutaleta anguko kubwa sana la chama. Tatizo kubwa ni kwamba, FAM hajali chochote iwe chama kufa au kupona kwake si hoja ya msingi bali kubaki madarakani ndo hoja ya msingi kwake.
Upepo unaonesha FAM anakubalika kwa pungufu ya 23% kwa ujumla wake. Kuendelea kushupaza shingo na watu wachache wanaomshauri FAM, ndo kinachokwenda kuifutilia mbali CHADEMA katika historia yake.
Nani wa kukiua? Yaan huyu TAL ndio wa kukiua chama? Tuwe serious aisee. Au we ni mgeni na siasa za bongo?
 
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa hasa Mwenyekiti ni kwenda kusaini hati ya kifo au uhai wa chama.
Kumchagua FAM kutaleta anguko kubwa sana la chama. Tatizo kubwa ni kwamba, FAM hajali chochote iwe chama kufa au kupona kwake si hoja ya msingi bali kubaki madarakani ndo hoja ya msingi kwake.
Upepo unaonesha FAM anakubalika kwa pungufu ya 23% kwa ujumla wake. Kuendelea kushupaza shingo na watu wachache wanaomshauri FAM, ndo kinachokwenda kuifutilia mbali CHADEMA katika historia yake.
Wanaotaka CDM ife watakafa wao, na tayari alishakufa mtu mmoja aliyetaka kuiua CDM.
 
Mbowe astuke amwachie Lisu Chadema bila Lisu kitapoteza mvuto na kuporomoka kisiasa
 
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa hasa Mwenyekiti ni kwenda kusaini hati ya kifo au uhai wa chama.
Kumchagua FAM kutaleta anguko kubwa sana la chama. Tatizo kubwa ni kwamba, FAM hajali chochote iwe chama kufa au kupona kwake si hoja ya msingi bali kubaki madarakani ndo hoja ya msingi kwake.
Upepo unaonesha FAM anakubalika kwa pungufu ya 23% kwa ujumla wake. Kuendelea kushupaza shingo na watu wachache wanaomshauri FAM, ndo kinachokwenda kuifutilia mbali CHADEMA katika historia yake.
HAPO NA DHANI HUJAELEWA KUWA WANAOMKUBALI KAMA UNAVYOSEMA NI WATU WA MITANDAONI NA WATU WA NJE YA MFUMO WA CHAMA SASA MBOWE ANAKUBALIKA NA KANDA NYINGI KULIKO LISSU KWA WAJUMBE AMBAO WANAPIGA KURA KUMCHAGU AMWAMBA HAO WANAOANDIKA MITANDAONI HAWAPIGI KURA HIVYO MNAJIDANGANYA KUMWAMBIA LISSU ANAKUBALIKA WAKATI HANA WAJUMBE WA KUMCHAGUA MBOWE MITAN TENA
 
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa hasa Mwenyekiti ni kwenda kusaini hati ya kifo au uhai wa chama.
Kumchagua FAM kutaleta anguko kubwa sana la chama. Tatizo kubwa ni kwamba, FAM hajali chochote iwe chama kufa au kupona kwake si hoja ya msingi bali kubaki madarakani ndo hoja ya msingi kwake.
Upepo unaonesha FAM anakubalika kwa pungufu ya 23% kwa ujumla wake. Kuendelea kushupaza shingo na watu wachache wanaomshauri FAM, ndo kinachokwenda kuifutilia mbali CHADEMA katika historia yake.
unamaanisha sasa hivi kimekufa ila sio kabisa.
nimeshakuelewa unataka mtu atakayesema neno na likawa kama alivyosema. pasipo kurudi kusema tofauti
 
HAPO NA DHANI HUJAELEWA KUWA WANAOMKUBALI KAMA UNAVYOSEMA NI WATU WA MITANDAONI NA WATU WA NJE YA MFUMO WA CHAMA SASA MBOWE ANAKUBALIKA NA KANDA NYINGI KULIKO LISSU KWA WAJUMBE AMBAO WANAPIGA KURA KUMCHAGU AMWAMBA HAO WANAOANDIKA MITANDAONI HAWAPIGI KURA HIVYO MNAJIDANGANYA KUMWAMBIA LISSU ANAKUBALIKA WAKATI HANA WAJUMBE WA KUMCHAGUA MBOWE MITAN TENA
Ndo maana nimesema, ni kuamua kuwakumbatia wapambe wachache na kuua chama au kusikiliza hata maoni ya walio wengi lakini wapo nje ya mfumo wako, kwa sababu kuna watu wapo nje ya mfumo ambao wanaweza kuwa wazuri zaidi kuliko waliopo kwenye mfumo.

Katika hali ya kawaida, FAM atafanya miujiza gani ndani ya miaka 5 ambayo ameshindwa kuifanya kwa miaka 20?
 
Uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa hasa Mwenyekiti ni kwenda kusaini hati ya kifo au uhai wa chama.
Kumchagua FAM kutaleta anguko kubwa sana la chama. Tatizo kubwa ni kwamba, FAM hajali chochote iwe chama kufa au kupona kwake si hoja ya msingi bali kubaki madarakani ndo hoja ya msingi kwake.
Upepo unaonesha FAM anakubalika kwa pungufu ya 23% kwa ujumla wake. Kuendelea kushupaza shingo na watu wachache wanaomshauri FAM, ndo kinachokwenda kuifutilia mbali CHADEMA katika historia yake.
Actually,
wajumbe wa mkutano mkuu Chadema taifa, wanayo kazi moja tu,
nayo ni kumkataa kibaraka wa mabenyenye ya Magharibi hadharini ..

wanaChadema katika ujumla wao wanayo kila sababu ya kutembea kifua mbele katika hali ya uhakika katika ushindi wa kishindo atakao upata chairman Mbowe katika kuiongoza Chadema katika kipindi cha miaka mi5 ijayo 🐒
 
Inasikitisha sn, inashangaza sn. Yani et ccm wanampigania Mbowe,!ila anajidhalili sn huyu mbowe kwa kusaidiana na ccm kubaki.

Chadema inahitaji watu kama Lisu,Hehe,Lema nk
 
Inasikitisha sn, inashangaza sn. Yani et ccm wanampigania Mbowe,!ila anajidhalili sn huyu mbowe kwa kusaidiana na ccm kubaki.

Chadema inahitaji watu kama Lisu,Hehe,Lema nk
CCM wanamhitaji zaidi FAM kuliko wanavyowahitaji hata wana CCM wengine.
Wanamhitaji FAM kwa sababu yeye ni mpenda fedha zaidi. Kwa mfano, FAM amepoteza chaguzi tatu mfululizo yaani 2019, 2020 na 2024. Kuna hatua gani za pekee alichukua dhidi ya dhuluma hizi?
 
Back
Top Bottom