johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Acha UjingaCCM kumejaa takataka tupu
Nimeona Lema alivyokupasua kule 🐼Juma Lokole hupoi kwa umbea
Hadi wanaongozwa na nyara kutoka hifadhi ya Gombe.CCM kumejaa takataka tupu
Wapi?Nimeona Lema alivyokupasua kule 🐼
Naona umeamua kuamka nami Jumatatu hii.. Vipi huko mbogboga mpo kweli? Ah ndio chumba mahututi?Unajua Tundu Lisu amesaidia sana Kufanya Uchaguzi wa Chadema uwe na Uwazi Kwa sababu Wewe usiposema ule ukweli basi yeye atausema
Pamoja na Chadema kuwa na Rundo la Wanafiki akina Mshana Jr, @chiembe,Lucas Mwashambwa na @ retired Lakini Uchaguzi Wao haukuwa na chembe ya unafiq Makamanda walifunguka na kipekee Kabisa niwapongeze Yeriko na Ntobi
CCM Wenyewe bado wanaulizana kuhusu wale Wagogo wawili Alhaj Kimbisa na yule Kibajaj Kwamba mrengo Wao ni upi hasa?!!
Ikumbukwe Alhaj Kimbisa na Emmanuel ni Friends of Lowassa
Ahsanteni sana 😄
Huyu Jo siku si nyingi tutamvalisha dera na shanga amezidi sana kamdomoNaona umeamua kuamka nami Jumatatu hii.. Vipi huko mbogboga mpo kweli? Ah ndio chumba mahututi?
View attachment 3215408
Hahahaha😂Huyu Jo siku si nyingi tutamvalisha dera na shanga amezidi sana kamdomo
Huku tunasubiria wageni waondoke kwanza 😀Naona umeamua kuamka nami Jumatatu hii.. Vipi huko mbogboga mpo kweli? Ah ndio chumba mahututi?
View attachment 3215408
Mtasingizia mpaka mvuaHuku tunasubiria wageni waondoke kwanza 😀
Siku ukilazwa hospital Dera utalivaa Kwa lazima Simbilisi wahed🐼Huyu Jo siku si nyingi tutamvalisha dera na shanga amezidi sana kamdomo
Labda Mwamposa amuokoe tenaMtasingizia mpaka mvua
Wewe jichetue na pombe zako mbovu,nyau wewe.Siku ukilazwa hospital Dera utalivaa Kwa lazima Simbilisi wahed🐼
Mwenye happy birthday yake ama naniLabda Mwamposa amuokoe tena
Wewe Mzee hapo kwenu wale Germany Shepherd wapo au mpaka niende kigamboni ndiyo nitawapata?Nimeona Lema alivyokupasua kule 🐼
Huyu atakuwa yupo UWTAcha Ujinga
Kilewa ni ndugu Yako? 🐼
Duh,kumbe jamaa bado anakaa kwa wazazi wake,wonders shall never end.Wewe Mzee hapo kwenu wale Germany Shepherd wapo au mpaka niende kigamboni ndiyo nitawapata?
"Kwenu" namaanisha Masaki anakoishi. Yaani mtaani kwao.Duh,kumbe jamaa bado anakaa kwa wazazi wake,wonders shall never end.