johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unajua Tundu Lissu amesaidia sana Kufanya Uchaguzi wa Chadema uwe na Uwazi Kwa sababu Wewe usiposema ule ukweli basi yeye atausema
Pamoja na Chadema kuwa na Rundo la Wanafiki akina Mshana Jr, @chiembe,Lucas Mwashambwa na @ retired Lakini Uchaguzi Wao haukuwa na chembe ya unafiq Makamanda walifunguka na kipekee Kabisa niwapongeze Yeriko na Ntobi
CCM Wenyewe bado wanaulizana kuhusu wale Wagogo wawili Alhaj Kimbisa na yule Kibajaj Kwamba mrengo Wao ni upi hasa?!!
Ikumbukwe Alhaj Kimbisa na Emmanuel ni Friends of Lowassa
Ahsanteni sana 😄
Pamoja na Chadema kuwa na Rundo la Wanafiki akina Mshana Jr, @chiembe,Lucas Mwashambwa na @ retired Lakini Uchaguzi Wao haukuwa na chembe ya unafiq Makamanda walifunguka na kipekee Kabisa niwapongeze Yeriko na Ntobi
CCM Wenyewe bado wanaulizana kuhusu wale Wagogo wawili Alhaj Kimbisa na yule Kibajaj Kwamba mrengo Wao ni upi hasa?!!
Ikumbukwe Alhaj Kimbisa na Emmanuel ni Friends of Lowassa
Ahsanteni sana 😄