Uchaguzi wa CHADEMA kuendeshwa kwa uwazi hili limewashtua sana team Lissu

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Walikuja kwa kishindo, walitishia kila mtu aliopo mbele yao.

Waliaminisha kwamba CHADEMA kuanzia BAVICHA, BAZECHA NA BAWACHA Zimejaa rushwa.
Walituaminisha uchaguzi wa mabaraza utakuwa wa wizi mkubwa wa kura na utatawala vurugu na rushwa kila kona.

Lakini tulichokishuhudia uchaguzi ni wazi, utulivu na Hakuna rushwa.

Uchaguzi kuendeshwa kwa uwazi hili limewashtua sana team Lissu na hawakutegemea uchaguzi utakuwa hivi. Kilichobaki kuokota takwimu za ushindi ambao hauna uhalisia.

21/12025 siku ambayo team lissu watashundwa kuamini macho yao.

Ushauri: Mwenyekiti wa BAVICHA uache mihemko ya kisiasa, bado mchanga sana kisiasa . Tulia Mbowe akulee baadae uwe kama akina Lissu na Heche. Muda wako bado
 
Naambiwa muda huu yuko hoi tumbo limemvuruga na sukari imepanda sana.
 
Lisu ni mbeligiji hafai kuwa mwenyekiti wa chama Chochote Cha siasa
 
Machawa wa mbowe mmepaniki Sana, mbowe akalee wajukuu, Hana sera anaojoteza tu...
 
Chawa mnaweweseka.
Siku hizi chawa wa ccm ndio haohao chawa wa mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…