Uchaguzi wa CHADEMA ni kati ya Chama mabadiliko au hali kubaki ilivyo, kati ya Giza na Nuru, kati ya Umoja au kusambaratika au maslahi binafsi

Uchaguzi wa CHADEMA ni kati ya Chama mabadiliko au hali kubaki ilivyo, kati ya Giza na Nuru, kati ya Umoja au kusambaratika au maslahi binafsi

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Wajumbe wa Mkutano Mkuu salini kwa Mungu wetu ili mtuletee Mwenyekiti anayefaa hata kama mmepewa pesa.

Hiyo si hoja Muogopeni Mungu wa Mbiguni. Hofu ya Mungu iwaongoze kesho. Usiku mwema.
 
Back
Top Bottom