WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Hatutaki ukupe ndani ya CHADEMA.Mbowe kageuka kuwa Ibrahimu Lipumba wa CUF.Heche haweZi kumshinda uchaguzi huu kitendo Cha kujitenga na MBOWE ambaye atamshinda uchaguzi huu kimemuondolea capacity ya kushindwa japo ametangaZo kumuheshimu na kukubali kazi nzuri iliyofanywa na MBOWE kwamtazamo wangu angeishia hapo bila kuonesha upande wake angewapa wakati mgumu wajumbe kuamua kt yake na mshindani wake apwamchague nani
Asipoelewa hili hatoelewa chochote kile dunianiIli Chadema ife ni lazima Mbowe awe Mwenyekit
Hana chama.Kwanza wewe ni chama gani?
Umejibuje bila kusoma kilichoandikwa? Au ndiyo kukurupuka kwenyewe?Kwanza wewe ni chama gani?
Hao wajumbe mkutano mkuu watakuwa ni wasengerema sana wakimchagua tena mbowe kuwa mwenyekiti!.Heche haweZi kumshinda uchaguzi huu kitendo Cha kujitenga na MBOWE ambaye atamshinda uchaguzi huu kimemuondolea capacity ya kushindwa japo ametangaZo kumuheshimu na kukubali kazi nzuri iliyofanywa na MBOWE kwamtazamo wangu angeishia hapo bila kuonesha upande wake angewapa wakati mgumu wajumbe kuamua kt yake na mshindani wake apwamchague nani
Ngojz tuone mtoto wa mjini Mbowe viz a viz mtoto wa kuja Lissu.Bora Heche aliyesema Waziwazi kua Anamuunga mkono Lissu, kukiko FAM anaemuunga Mkono Wenje Sirini
Mbowe Alimtuma Wenje Akamchalenge Lissu, Lissu Kamfata hukohuko Juu na Kamtuma Heche akamchalenge Wenje
Shida ya Mbowe ni Kujiona Master sana ndani ya Chama sasa kapigwa shambulizi la kustukiza Yupo Hoi
Weka sawa, atawapiga kwa sanduku la kura. Vinyago ulivyovichonga mwenyewe kamwe haviwezi kukutisha bwa shee.Ili Chadema ife ni lazima Mbowe awe Mwenyekit
Acha kumhusisha Mungu kwenye upumbavu unaoendelea CHADEMANa ndiyo maana Abdul amewekeza sana kwenye uchaguzi huu ili kumsaidia bimkubwa wake apate ahueni mwezi October, hata ile 250m anayosema Wenje imetoka mfukoni kwa Mbowe ni uwekezaji wa Abdul na Mama yake. Lakini kama Mungu aishivuo mpango huu haramu hautafanikiwa kwani Chadema na Lissu ni mpango wa Mungu.
Mwanaccm aliyetoa million 250 za mkutano mkuu Siyo Mjinga ππWeka sawa, atawapiga kwa sanduku la kura. Vinyago ulivyovichonga mwenyewe kamwe haviwezi kukutisha bwa shee.
Umefanya tathmini huku mashinani hali ipoje au upo nyuma ya keyboard ukiandika mawazo yako tu?Chadema ni TAASISI KUBWA nje ya Chadema wewe ni karatasi tu .....Tuna HAZINA nyingi tu hao waliopo juu wanaonekana kwa sababu NAFASI ZAO....wakiondoka Replacement ipo YAKUTOSHA
Endelea kuota ndoto, chama sio mali ya mtu na awamu hii hilo litajidhihirisha.Heche haweZi kumshinda uchaguzi huu kitendo Cha kujitenga na MBOWE ambaye atamshinda uchaguzi huu kimemuondolea capacity ya kushindwa japo ametangaZo kumuheshimu na kukubali kazi nzuri iliyofanywa na MBOWE kwamtazamo wangu angeishia hapo bila kuonesha upande wake angewapa wakati mgumu wajumbe kuamua kt yake na mshindani wake apwamchague nani
Kabisa aisee ,lazima ameza madhara ya kiti cha enzi hata kama ni mali binafsiIli Chadema ife ni lazima Mbowe awe Mwenyekit
Heche na Lisu akiri yao mojaSi vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.
Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.
Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.
Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.
Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
Siasa za New Zealand unafuatilia?Si vibaya, mwanzo mwanzoni, kuweka wazi kuwa mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania. Lakini, ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za dunia nzima, nikianza na za kwetu hapa Tanzania. Pia, ni mfuasi wa hoja na mkosoaji wa maigizo na vihoja vya kisiasa.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakaribia kufanya uchaguzi mkuu wa kitaifa. Katika nafasi mbili za juu kabisa-Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti panaonekana patakuwa na mchuano mkali. kwenye nafasi ya Mwenyekiti ni mchuno kati ya Ndugu Freeman A. Mbowe na Wakili Msomi Tundu A.M. Lissu.
Kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti, ushindani mkubwa utakuwa kati ya Ezekiel Wenje na John Heche. Wote hawa wamewahi kuwa Wabunge na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Tena, wote ni wa kanda ya Ziwa-Mwanza na Mara. Faida aliyonayo Heche ni kukua na kukuzwa ndani ya CHADEMA. Alianzia BAVICHA na kuwa Mwenyekiti huko.
Ndani ya CHADEMA, kuna wanachama na viongozi mbalimbali wanaendelea kujitokeza kumuunga mkono Mbowe au Lissu kwenye nafasi ya Mwenyekiti. Kuunga mkono au kutokuunga mkono ni haki ya kikatiba, kikanuni na kiutamaduni-haki ya kuwa na maoni huru. Lakini, mgombea kumuunga mkno mgombea mwingine tena kwa nafasi tofauti inatafakarisha.
Kitendo cha Heche, anayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, kumuunga mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu ni 'kujichora' kama 'mgombea mwenza' wa Lissu. Nini kitatokea kama Lissu atashinda na yeye kushindwa? Ataungana na Wenje kumsaidia Lissu? Je, yeye akishinda na Lissu akashindwa, atafanya kazi na Mbowe? kwa maoni yangu, haikuwa sawa kwa Heche kujipa nafasi ya mgombea mwenza wa Lissu.
Wagombea wa nafasi hizi kuu ndani ya CHADEMA, hakika, ni heavyweight wa CHADEMA. Kwa kauli zinazoendelea za baadhi ya wagombea kuhusu mchakato wa uchaguzi na matokeo yake, ni wazi kuwa mpasuko ndani ya CHADEMA hautaepukika. Utakuwa dhahiri au wa sirini. CHADEMA haitabaki kama ilivyo sasa!
Mkiambiwa toa ushahidi mnabakia kuweweseka kama jamaa yenu na mamilioni ya mama abduliMwanaccm aliyetoa million 250 za mkutano mkuu Siyo Mjinga ππ
Kama kuwatoa Jela Viongozi wenu mlichangiwa na Shujaa Magufuli itakuwa bajeti ya mkutano mkuu? ππMkiambiwa toa ushahidi mnabakia kuweweseka kama jamaa yenu na mamilioni ya mama abduli