Uchaguzi wa Chama cha Wananafunzi wa Kiswahili, Tawi la UDSM

Uchaguzi wa Chama cha Wananafunzi wa Kiswahili, Tawi la UDSM

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,319
Unafanyika leo hapa campus ya Mlimani, wanachama walioitikia ni wachache(kulingana na idadi ya wanachama).
 
Unafanyika leo hapa campus ya Mlimani, wanachama walioitikia ni wachache(kulingana na idadi ya wanachama).

aaah,CHAKICHUKIDA,nafurai kuona kinaendelea kila la kheri,ni mwanachama mstaafu!tangazen kiswahili!
Salam kwa Mama Limo na Lubanza
 
Tupeni matokeo ya uchaguzi.tatizo la chawakawa mlimani ni kuwa viongoz wanafanya kaz mwanzo wa semista 2 lakini kitabu kikikolea nao wanapumzka,kupumzka kwao kunafanya ht wanachama nao kupumzika.sacbu ya pili ni kua kuna mawasiliano hafifu kati ya viongoz na wanachama,na tatu ni kuwa chawakama mliman haina program inazoandaa za kuweza kukifanya chama kionekani kuwa hai mfany uandaaji wa matamasha ya ndani na nje ya chuo.ni hv majuz 2 ndo nmeckia tamasha la ucku wa kisw lakin kwa muda chama kilikua mfu.mimi nilikua kiongoz hapo{mhariri msaidizi}hayo nliyoyasema nlikumbana nayo na kujarbu kuyaondoa kwa kadri ya uwezo we2.miongoni mwa ma2nda ya nafas yng ni kujitahd kwa jitihada binafs kuandaa miswada miwili ya vitabu kutoka katika kaz za wanachama na kuupeleka TATAKI kwa ajili ya uchapishaji,lakin c dhan km viongoz waliopo wamefanya jitihada faafu ili kuhakikisha kuwa vitabu hvyo vimechapwa.na hakuna mrejesho juu ya wapi haswa wamefikia.km mtaendelea hvyo ipo cku chama kitatiwa kwenye jeneza.
 
Tupeni matokeo ya uchaguzi.tatizo la chawakawa mlimani ni kuwa viongoz wanafanya kaz mwanzo wa semista 2 lakini kitabu kikikolea nao wanapumzka,kupumzka kwao kunafanya ht wanachama nao kupumzika.sacbu ya pili ni kua kuna mawasiliano hafifu kati ya viongoz na wanachama,na tatu ni kuwa chawakama mliman haina program inazoandaa za kuweza kukifanya chama kionekani kuwa hai mfany uandaaji wa matamasha ya ndani na nje ya chuo.ni hv majuz 2 ndo nmeckia tamasha la ucku wa kisw lakin kwa muda chama kilikua mfu.mimi nilikua kiongoz hapo{mhariri msaidizi}hayo nliyoyasema nlikumbana nayo na kujarbu kuyaondoa kwa kadri ya uwezo we2.miongoni mwa ma2nda ya nafas yng ni kujitahd kwa jitihada binafs kuandaa miswada miwili ya vitabu kutoka katika kaz za wanachama na kuupeleka TATAKI kwa ajili ya uchapishaji,lakin c dhan km viongoz waliopo wamefanya jitihada faafu ili kuhakikisha kuwa vitabu hvyo vimechapwa.na hakuna mrejesho juu ya wapi haswa wamefikia.km mtaendelea hvyo ipo cku chama kitatiwa kwenye jeneza.




































































Usemayo yana ukweli.. naona kina wallace wako kimyaah!
 
Back
Top Bottom