Pre GE2025 Uchaguzi wa kanda CHADEMA, wajue waliofanikiwa kupenya

Pre GE2025 Uchaguzi wa kanda CHADEMA, wajue waliofanikiwa kupenya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

CCM MKAMBARANI

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2017
Posts
2,031
Reaction score
1,514
Siku za hivi karibuni chama cha upinzani chadema kimeanza kufanya chaguzi zake za ndani, yapo makandokando mengi sana yameibuka kwenye zoezi hilo.

Miongoni mwa kashfa zilizoibuliwa ni nzito hasa kuhusu rushwa inayotumika kutoka vyama hasimu nao, makamu mwenyekiti wao ameongoza vita ya kukataa rushwa ndani ya chama chao.

Kanda zenye ushindani ni chache kama vile Nyanda za juu kusini, seeing serengeti na Ziwa Victoria.

Hadi sasa kwa nyanda za juu kusini kuna ushindani na rushwa kubwa ambapo Lissu ametoa ushahidi wa wazi kabisa jambo ambalo mbowe ameshtuka sana na kuchukizwa kuhusu uwezo wa lissu kupata taarifa za ndani kwa usahihi.

Hadi sasa Msigwa ameshakatwa na Sugu anaenda kuchukua nafasi yake, yote hii ni pesa chafu iliyotumika kuwekwa kwenye akaunti ya mwenyekiti Mbowe.

Kanda anayogombea Pambalu na Wenje tayari Wenje kashapita huku pambalu akitakiwa kuwa mweka hazina wa kanda ili kulinda maslahi ya Mbowe.

Hadi hapo baadae tutapata taarifa zaidi na kuzishusha hapa, kwahiyo tuendelee kupita mara kwa mara.

Alaasiri njema.
 
Siku za hivi karibuni chama cha upinzani chadema kimeanza kufanya chaguzi zake za ndani,yapo makandokando mengi sana yameibuka kwenye zoezi hilo.

Miongoni mwa kashfa zilizoibuliwa ni nzito hasa kuhusu rushwa inayotumika kutoka vyama hasimu nao,makamu mwenyekiti wao ameongoza vita ya kukataa rushwa ndani ya chama chao.

Kanda zenye ushindani ni chache kama vile Nyanda za juu kusini,seeing serengeti na Ziwa Victoria.

Hadi sasa kwa nyanda za juu kusini kuna ushindani na rushwa kubwa ambapo Lissu ametoa ushahidi wa wazi kabisa jambo ambalo mbowe ameshtuka sana na kuchukizwa kuhusu uwezo wa lissu kupata taarifa za ndani kwa usahihi.

Hadi sasa Msigwa ameshakatwa na Sugu anaenda kuchukua nafasi yake,yote hii ni pesa chafu iliyotumika kuwekwa kwenye akaunti ya mwenyekiti Mbowe.

Kanda anayogombea Pambalu na Wenje tayari Wenje kashapita huku pambalu akitakiwa kuwa mweka hazina wa kanda ili kulinda maslahi ya Mbowe.

Hadi hapo baadae tutapata taarifa zaidi na kuzishusha hapa,kwahiyo tuendelee kupita mara kwa mara.

Alaasiri njema.

Nilidhani ni habari, kumbe wewe unaleta hadithi!!

Habari ina kanuni zake, na mojawapo, ni lazima iwe na vielelezo au chanzo cha taarifa uliyoitoa.

Wewe, hii hadithi yako, umesimliwa na nani? Umekosea mahali pa kuiweka. Hapa ni jukwaa la siasa. Hiyo hadithi tafuta jukwaa sahihi.
 
Siku za hivi karibuni chama cha upinzani chadema kimeanza kufanya chaguzi zake za ndani,yapo makandokando mengi sana yameibuka kwenye zoezi hilo.

Miongoni mwa kashfa zilizoibuliwa ni nzito hasa kuhusu rushwa inayotumika kutoka vyama hasimu nao,makamu mwenyekiti wao ameongoza vita ya kukataa rushwa ndani ya chama chao.

Kanda zenye ushindani ni chache kama vile Nyanda za juu kusini, seeing serengeti na Ziwa Victoria.

Hadi sasa kwa nyanda za juu kusini kuna ushindani na rushwa kubwa ambapo Lissu ametoa ushahidi wa wazi kabisa jambo ambalo mbowe ameshtuka sana na kuchukizwa kuhusu uwezo wa lissu kupata taarifa za ndani kwa usahihi.

Hadi sasa Msigwa ameshakatwa na Sugu anaenda kuchukua nafasi yake,yote hii ni pesa chafu iliyotumika kuwekwa kwenye akaunti ya mwenyekiti Mbowe.

Kanda anayogombea Pambalu na Wenje tayari Wenje kashapita huku pambalu akitakiwa kuwa mweka hazina wa kanda ili kulinda maslahi ya Mbowe.

Hadi hapo baadae tutapata taarifa zaidi na kuzishusha hapa,kwahiyo tuendelee kupita mara kwa mara.

Alaasiri njema.
Nyie ndio watu CCM inawategemeaje kuijibia hoja?!
 
Nilidhani ni habari, kumbe wewe unaleta hadithi!!

Habari ina kanuni zake, na mojawapo, ni lazima iwe na vielelezo au chanzo cha taarifa uliyoitoa.

Wewe, hii hadithi yako, umesimliwa na nani? Umekosea mahali pa kuiweka. Hapa ni jukwaa la siasa. Hiyo hadithi tafuta jukwaa sahihi.
Mbona unatumia nguvu nyingi kutetea? Kama ni za uwongo ni suala la muda tu, tutajulishwa na wao wenyewe.

Ila dalili kuwa CDM wanagawana mbao tunaziona wazi kabisa
 
Tundu Lisu aliingia kikaoni akiwa amevalia t-shirt na jeans tayari Kabisa kwa masumbwi wakileta za kuleta.😂😂
 
Siku za hivi karibuni chama cha upinzani chadema kimeanza kufanya chaguzi zake za ndani,yapo makandokando mengi sana yameibuka kwenye zoezi hilo.

Miongoni mwa kashfa zilizoibuliwa ni nzito hasa kuhusu rushwa inayotumika kutoka vyama hasimu nao,makamu mwenyekiti wao ameongoza vita ya kukataa rushwa ndani ya chama chao.

Kanda zenye ushindani ni chache kama vile Nyanda za juu kusini, seeing serengeti na Ziwa Victoria.

Hadi sasa kwa nyanda za juu kusini kuna ushindani na rushwa kubwa ambapo Lissu ametoa ushahidi wa wazi kabisa jambo ambalo mbowe ameshtuka sana na kuchukizwa kuhusu uwezo wa lissu kupata taarifa za ndani kwa usahihi.

Hadi sasa Msigwa ameshakatwa na Sugu anaenda kuchukua nafasi yake,yote hii ni pesa chafu iliyotumika kuwekwa kwenye akaunti ya mwenyekiti Mbowe.

Kanda anayogombea Pambalu na Wenje tayari Wenje kashapita huku pambalu akitakiwa kuwa mweka hazina wa kanda ili kulinda maslahi ya Mbowe.

Hadi hapo baadae tutapata taarifa zaidi na kuzishusha hapa,kwahiyo tuendelee kupita mara kwa mara.

Alaasiri njema.
Habari za Chadema zinarepotiwa na lichawa la ccm, hivi ni vihoja.
 
Nilidhani ni habari, kumbe wewe unaleta hadithi!!

Habari ina kanuni zake, na mojawapo, ni lazima iwe na vielelezo au chanzo cha taarifa uliyoitoa.

Wewe, hii hadithi yako, umesimliwa na nani? Umekosea mahali pa kuiweka. Hapa ni jukwaa la siasa. Hiyo hadithi tafuta jukwaa sahihi.
Wewe kama nani? Mods wameona inafaa kuwa hapa,wewe kimbwenerehi utaki,hovyo
 
Siku za hivi karibuni chama cha upinzani chadema kimeanza kufanya chaguzi zake za ndani,yapo makandokando mengi sana yameibuka kwenye zoezi hilo.

Miongoni mwa kashfa zilizoibuliwa ni nzito hasa kuhusu rushwa inayotumika kutoka vyama hasimu nao,makamu mwenyekiti wao ameongoza vita ya kukataa rushwa ndani ya chama chao.

Kanda zenye ushindani ni chache kama vile Nyanda za juu kusini, seeing serengeti na Ziwa Victoria.

Hadi sasa kwa nyanda za juu kusini kuna ushindani na rushwa kubwa ambapo Lissu ametoa ushahidi wa wazi kabisa jambo ambalo mbowe ameshtuka sana na kuchukizwa kuhusu uwezo wa lissu kupata taarifa za ndani kwa usahihi.

Hadi sasa Msigwa ameshakatwa na Sugu anaenda kuchukua nafasi yake,yote hii ni pesa chafu iliyotumika kuwekwa kwenye akaunti ya mwenyekiti Mbowe.

Kanda anayogombea Pambalu na Wenje tayari Wenje kashapita huku pambalu akitakiwa kuwa mweka hazina wa kanda ili kulinda maslahi ya Mbowe.

Hadi hapo baadae tutapata taarifa zaidi na kuzishusha hapa,kwahiyo tuendelee kupita mara kwa mara.

Alaasiri njema.
hujamalizia story nani kaweka pesa chafu kwenye akaunti
 
CDM ni baba lao just wait mtaona Demokrasia inavyofanya kazi bila makandokando ya CCM rushwa
 
CDM ni baba lao just wait mtaona Demokrasia inavyofanya kazi bila makandokando ya CCM rushwa
Tutawagalagaza vibaya sana kwenye chaguzi zinazokuja,hata lissu hatashinda ubunge ili mnyooke
 
Nasubiri vikao vya ccm niingie, jibu hoja we nguruwe pori hela iliwekwa kwenye akaunti ya nani na nani kaweka acha kukurupuka toa habari iliyokamilika
Aisee bwana mdogo unaniita nguruwe pori kwa sababu gani? Ila nyie mna matatizo sana,akaunti namba nitaiweka muda ukitimia,ila usipoweza kujibu hoja ukamtukane mama yako.
 
Kichwa chako nadhani una lolote kumbe propaganda za CCM
 
Siku za hivi karibuni chama cha upinzani chadema kimeanza kufanya chaguzi zake za ndani,yapo makandokando mengi sana yameibuka kwenye zoezi hilo.

Miongoni mwa kashfa zilizoibuliwa ni nzito hasa kuhusu rushwa inayotumika kutoka vyama hasimu nao,makamu mwenyekiti wao ameongoza vita ya kukataa rushwa ndani ya chama chao.

Kanda zenye ushindani ni chache kama vile Nyanda za juu kusini, seeing serengeti na Ziwa Victoria.

Hadi sasa kwa nyanda za juu kusini kuna ushindani na rushwa kubwa ambapo Lissu ametoa ushahidi wa wazi kabisa jambo ambalo mbowe ameshtuka sana na kuchukizwa kuhusu uwezo wa lissu kupata taarifa za ndani kwa usahihi.

Hadi sasa Msigwa ameshakatwa na Sugu anaenda kuchukua nafasi yake,yote hii ni pesa chafu iliyotumika kuwekwa kwenye akaunti ya mwenyekiti Mbowe.

Kanda anayogombea Pambalu na Wenje tayari Wenje kashapita huku pambalu akitakiwa kuwa mweka hazina wa kanda ili kulinda maslahi ya Mbowe.

Hadi hapo baadae tutapata taarifa zaidi na kuzishusha hapa,kwahiyo tuendelee kupita mara kwa mara.

Alaasiri njema.
Kajifunze kwanza kuandika taarifa Kwa ustadi mzuri
 
Back
Top Bottom