Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Chadema mbona safari hii kimya? Lowasa hakwenda tena Kenya kumpigia Uhuru kampeni na hatukusikia tena makelele kuhusu "baba wa demokrasia". Kulikoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaweweseka?acha kubwabwaja tuna taka updates za nini kinajiri huko
😀Mbona unaweweseka?
Kwani mara ya kwanza alienda?Kwani Sizonje kaenda huko?
Ukipona magonjwa mtambuka utapata jibuChadema mbona safari hii kimya? Lowasa hakwenda tena Kenya kumpigia Uhuru kampeni na hatukusikia tena makelele kuhusu "baba wa demokrasia". Kulikoni?
Tujadili mada husika tafadhali.Ukipona magonjwa mtambuka utapata jibu
Chadema mbona safari hii kimya? Lowasa hakwenda tena Kenya kumpigia Uhuru kampeni na hatukusikia tena makelele kuhusu "baba wa demokrasia". Kulikoni?
Mwanzoni Chadema walikuwa na kiherehere lakini safari hii wote giii.Kwani safari hii kulikuwa na kampeni? Au kuna mahali panakuwasha?
Nasikia rafiki wa Magufuli kakigeuza chama chake cha ODM kuwa cha kigaidi NRM, National Resistance Movement, eti ataingia msituni wamemwambia labda aende msitu wa Chato.Chadema mbona safari hii kimya? Lowasa hakwenda tena Kenya kumpigia Uhuru kampeni na hatukusikia tena makelele kuhusu "baba wa demokrasia". Kulikoni?
Hahaha, huu uchocheziNasikia rafiki wa Magufuli kakigeuza chama chake cha ODM kuwa cha kigaidi NRM, National Resistance Movement, eti ataingia msituni wamemwambia labda msitu wa Chato.
View attachment 617308
Kiherehere kimekwisha kabisa. Hilo kaa la moto limewababua mikono. Chadema kimyaa.TANO TENA leo anapigwa kwa mara nyingine.
Nasikia rafiki wa Magufuli kakigeuza chama chake cha ODM kuwa cha kigaidi NRM, National Resistance Movement, eti ataingia msituni wamemwambia labda msitu wa Chato.
View attachment 617308
Daaa kama ulitumia muda ukawaza na kuamua kuandika hiki ulichoandika basi akili yako ni mzigo. Sasa chadema au Lowassa angeenda kufanya nin wakati hakukuwa na aina yoyote ya KAMPENIChadema mbona safari hii kimya? Lowasa hakwenda tena Kenya kumpigia Uhuru kampeni na hatukusikia tena makelele kuhusu "baba wa demokrasia". Kulikoni?
Hawa jamaa sijui wakoje.CHADEMA watakisapoti kitakachotokea kesho Kenya , lkn wanakikataa kilichotokea zanzibar (ukandamizaji wa demokrasia uliofanywa na CCM ) , ila si shangai sifa ya mwanasiasa lazima uwe MNAFIKI.
Chadema wahangaike nini wakati Uhuru tayari ni rais na leo anashinda kwa margin kubwa ya kura.Mwanzoni Chadema walikuwa na kiherehere lakini safari hii wote giii.
Hata kwa balimi haimezeki.Hii ni ngumu kumeza.
Chadeama wamebugi stepu.Chadema wahangaike nini wakati Uhuru tayari ni rais na leo anashinda kwa margin kubwa ya kura.