Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa inatolewa kwa Umma kwamba Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA inatarajia kukutana kesho jumamosi Januari26.2008 chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Kamati kuu itafanyika jijini Dar es Salaam ambapo pamoja mambo mengine itajadili na kupitisha jina la mgombea ubunge jimbo la Kiteto kupitia CHADEMA.
Imetolewa na;
Erasto K. Tumbo
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi
0713 47 47 07
Januari 25, 2008
Wasifanye makosa yale ya awali kuharakisha kuteua wa kwao. Kwa vile sasa kuna ushirikiano wa vile vyama vinne,basi wakae pamoja wapange nini cha kufanya ili CCM iangukie pua huko Kiteto.
Hivi tunaijua Kiteto vipi? Nani ana habari za kiteto ambazo zinaweza kuwa issue kwenye uchaguzi huu?
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa inatolewa kwa Umma kwamba Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA inatarajia kukutana kesho jumamosi Januari26.2008 chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Kamati kuu itafanyika jijini Dar es Salaam ambapo pamoja mambo mengine itajadili na kupitisha jina la mgombea ubunge jimbo la Kiteto kupitia CHADEMA.
Imetolewa na;
Erasto K. Tumbo
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi
0713 47 47 07
Januari 25, 2008
Habari za ground zero ni kwamba Kiteto, ni po-CCM kwa hiyo CCM itashinda kwa kishindo, lakini CCM haiwezi kushinda Biharamulo, kwa hiyo strategically, upinazni wanahitaji kuwa makini na ku-invest Biharamulo ili wasiishie kukosa majimbo yote matatu, maana Tyson ambaye anasadikiwa kuwa in line kuwa the next PM, hawezi kukubali kuiachia Mwibara, maana CCM walimrubuni kwa shughuli kama hizi,
Upinzani wanahitaji kuwa makini kwenye hizi chaguzi tatu, na kukubali ukweli inapobidi maana ndio hasa maana ya national politics anyways.
Hivi tunaijua Kiteto vipi? Nani ana habari za kiteto ambazo zinaweza kuwa issue kwenye uchaguzi huu?