Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
TD wamechemsha ushabiki wa siasa unapoingizwa kwenye sekta nyeti kama ya habari kunaleta usumbufu mkubwa ktk kuwa habarisha wananchi.
walichochemsha ni nini hasa mbona hakisemwi hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TD wamechemsha ushabiki wa siasa unapoingizwa kwenye sekta nyeti kama ya habari kunaleta usumbufu mkubwa ktk kuwa habarisha wananchi.
walichochemsha ni nini hasa mbona hakisemwi hapa?
Mwanakijiji,
Hapa Tanzania Daima wamevunja sheria period... sababu zaweza kuja baadaye...
Sababu zaweza kuja baadaye
MKJJ unajua kwamba gazeti la leo la Tanzania lilikuwa na hadithi ya kusema JK amtosa Lowasa basi limepotea mitaani ? Kama ulikuwa hujui tuulize sisi wa Dar . Gazeti lilikuwa tupu kabisa na ile habari kwa ndani hapakuwa na kitu baadaye nimeingia mitaani kutafuta gazeti jingine nakuta halipatikani kokote .
The government yesterday gave a three-day ultimatum to the publisher and editor of a Kiswahili tabloid, `Tanzania Daima`, to apologise or face punishment, for what it described as distorting information and grossly violating laws and code of ethics in its reports on the just-concluded by-elections in Kiteto Constituency, Manyara Region.
In a statement issued by the Tanzania Information Services (Maelezo) in Dar es Salaam, the government said the newspaper printed two editions with the same issue number (1179), on the same day, when reporting the election results, contrary to the Newspaper Act Number 3 of 1976.
In first edition bearing number 1179, printed on February 25, this year, the tabloid reported that Chadema`s parliamentary aspirant was leading by 71.8 per cent, and that the ruling CCM`s candidate scooped votes in one ward only.
According to the government statement, the elections results printed in the same newspaper issue reported that CCM had won Kiteto elections, scooping votes in 13 wards out of 15, as opposition (Chadema) leaders accepted the defeat.
``The newspaper had grossly violated the Newspaper Act of 1976 by printing a special edition without permission or informing the Newspapers Registrar. Tanzania Daima did not present copies of the two editions to the registrar as required by the law,`` said the statement.
On the other hand, the Tanzania Information Services said the tabloid distorted reports on the election results by publishing results without consulting the relevant authorities--National Election Commission (NEC).
Authorities said the newspaper breached code of ethics by printing and circulating information that confused members of the public on the election results, which could fuel civil unrest.
``On top of that, the editor of the newspaper was called by the registrar to clarify on the confusion, but refused to pay heed,`` said the statement.
``We are giving `Tanzania Daima` three days to apologise for distorting information, violating newspaper laws, information code of ethics and disrespecting order of the registrar?otherwise, the newspaper will be punished in accordance with the Act,`` said the statement.
In a quick response yesterday, Tanzania Daima Managing Editor, Absalom Kibanda, refuted claims that they printed two editions on the same day.
He explained that they printed some copies for up-country regions which showed that chadema was leading in seven wards out of 15, as the paper went to press at around 8.00 pm.
``We sent the copies, but continued to monitor the election trend in various wards. At around 11pm we got the election results, and other copies for Dar es Salaam that showed that CCM had won elections by scoping votes in 13 wards out of 15,`` said Kibanda.
``We asked Chadema leaders who accepted that chances to win the election were minimal. These were clearly reported in our reports. In fact, we did not print two editions but we were forced to produce copies for Dar es Salaam and upcountry customers, because of transport problems.``
The editor admitted that they failed to communicate with the registrar on the problem, but insisted that they published only one edition on that day and not two as claimed by Maelezo.
SOURCE: Guardian
Kila siku ninasema majeshi ya Upinzani yaachane na mambo ya kugombania na kupoteza mafeza kwenye harakati za uchaguzi ,mambo ambayo yamefungwa na sheria za TANU ,hakuna uchaguzi TANZANIA tusidanganyane tukadanganyika ,na hivi viti vya ubunge vichache vinavyopatikana au vinavyotolewa ni kama kumpa mtoto mdogo pipi na ujiti wake.
Kama mnataka ushauri wa bure basi majeshi ya upinzani na nguvu zake zote pamoja na rasilimali waliyokuwa nayo waielekeze katika mambo ya Sheria za Nchi katika wakati huu tulio nao wa utandawazi ,hakuna upinzani utakaofanikiwa kama vita na adui sheria havijadhibitiwa ,hivyo sera za vyama vya upinzani kuhusiana na mikakati na uongozi wa Nchi zisimamishwe na sasa ni wakati wa kubadilisha dira na kuelekeza majeshi katika kugombania mabadiliko ya sheria na KATIBA ya NCHI ili ziendane na wakati na anaesema hakuna sababu ya kubadilisha katiba kwa sasa huyo aisabiwe ni ADUI wa TAIFA la TANZANIA alaniwe vikali sana na ikiwezekana ahukumiwe kifungo cha maisha.
Kila siku ninasema majeshi ya Upinzani yaachane na mambo ya kugombania na kupoteza mafeza kwenye harakati za uchaguzi ,mambo ambayo yamefungwa na sheria za TANU ,hakuna uchaguzi TANZANIA tusidanganyane tukadanganyika ,na hivi viti vya ubunge vichache vinavyopatikana au vinavyotolewa ni kama kumpa mtoto mdogo pipi na ujiti wake.
Kama mnataka ushauri wa bure basi majeshi ya upinzani na nguvu zake zote pamoja na rasilimali waliyokuwa nayo waielekeze katika mambo ya Sheria za Nchi katika wakati huu tulio nao wa utandawazi ,hakuna upinzani utakaofanikiwa kama vita na adui sheria havijadhibitiwa ,hivyo sera za vyama vya upinzani kuhusiana na mikakati na uongozi wa Nchi zisimamishwe na sasa ni wakati wa kubadilisha dira na kuelekeza majeshi katika kugombania mabadiliko ya sheria na KATIBA ya NCHI ili ziendane na wakati na anaesema hakuna sababu ya kubadilisha katiba kwa sasa huyo aisabiwe ni ADUI wa TAIFA la TANZANIA alaniwe vikali sana na ikiwezekana ahukumiwe kifungo cha maisha.
Kwa habari nilizopokea hivi punde, Katibu wa CHADEMA Kiteto- amekatwa mapanga na watu wasiojulikana kwa sababu ambazo bado naendelea kuzithibitisha kabla hatujatamka chochote. Lakini habari zingine nilizopokea hivi sasa ni kuwa sasa vyombo vya dola vimeanza kunyanyasa wananchi ambao walielekea kuunga mkono upinzani. Leo hii kwa muda wa zaidi ya masaa mawili sasa Mwenyekiti wa Vijana wa CHADEMA wilaya ya Kiteto amewekwa ndani bila sababu maalum. Yapo maeneo ambayo wananchi wanalalamika kunyimwa huduma kwa waliunga mkono upinzani. Huko ndipo tunapopelekwa kama taifa. Nimeweka suala hili hadharani mapema kabisa ili vyombo vya habari na taasisi za haki za binadamu mumulike yanayoendelea Kiteto. Nitaendelea kuwajulisha kadiri ninavyopata taarifa zaidi. Kuhusu nini CHADEMA tunafanya baada ya kupokea habari hizi; ni siri kwa sasa.
JJ
Kwa habari nilizopokea hivi punde, Katibu wa CHADEMA Kiteto- amekatwa mapanga na watu wasiojulikana kwa sababu ambazo bado naendelea kuzithibitisha kabla hatujatamka chochote. Lakini habari zingine nilizopokea hivi sasa ni kuwa sasa vyombo vya dola vimeanza kunyanyasa wananchi ambao walielekea kuunga mkono upinzani. Leo hii kwa muda wa zaidi ya masaa mawili sasa Mwenyekiti wa Vijana wa CHADEMA wilaya ya Kiteto amewekwa ndani bila sababu maalum. Yapo maeneo ambayo wananchi wanalalamika kunyimwa huduma kwa waliunga mkono upinzani. Huko ndipo tunapopelekwa kama taifa. Nimeweka suala hili hadharani mapema kabisa ili vyombo vya habari na taasisi za haki za binadamu mumulike yanayoendelea Kiteto. Nitaendelea kuwajulisha kadiri ninavyopata taarifa zaidi. Kuhusu nini CHADEMA tunafanya baada ya kupokea habari hizi; ni siri kwa sasa.
JJ
Labda ili tuendelee kuishi kwa amani, hatuna budi kukubali yaishe; yaani tuwazirie nchi maana ukiwapinga wanakutafuta, ukionesha mawazo yako kinyume nao wanaanza kujiuliza kwanini; na ukidiriki kuwanyoshea kidole wanang'aka! Hatuwezi kuishi kwenye nchi kama vile tumekopa. Hili naona bado nigumu. JJ tupatieni contacts Kiteto haya mambo yatafikia kikomo one of these days..! they sure will.
Upumbavu huu utatuisha lini watanzania? Huku ndani ya CCM mbona hamnazo wako wengi? Inakuaje hii jamani? CCM ni mabingwa wa kuhubiri amani na upendo kwenye majukwaa bila kusahau kukemea rushwa. Lakini hawa ndiyo mabingwa wa kupokea rushwa na kuvunja amani miongoni mwa jamii zetu. IGP Mwema upo au na wewe ni moja wa greenguards?
Polisi wametoa tamko lolote? Je, wale waliopigwa kabla ya uchaguzi kuna yoyote aliyeshitakiwa?
Kuna tofauti gani na warusha mishale wa Kenya?